The truth behind wrangle between Wanjigi and Kenyatta

The truth behind wrangle between Wanjigi and Kenyatta

lool....The Jimi Wanjingi Challenge....Mrs Wanjingi ana macho ya (as Kenyans would say it) ufisilet...Namuona hata Moses Kuria Na Waiguru....
 
Mkuu naomba unifafanulie hizo picha mbona wote wamepiga style moja
Picha ya kwanza kabisa ni ya Wanjigi na mkewe, wakiwa nyumbani kwao baada ya polisi kuondolewa na amri ya mahakama iliyopelekwa na James Orengo, nadhani mapozz yao ndo yamefanya watu waige as it somehow looks funny. Wengine wamepatia kidogo na wengine wameongezea manjonjo. Kwa Tanzania ilitokea ile “Wasira style”, ambapo kifungo kimoja cha suti cha chini kilikosewa hivyo suti ikawa kama imeiunuka upande mmoja.
 
SC20171021-143609-1.jpg
SC20171021-143620-1.jpg
DMmL2VrXUAIJy4d.jpeg
 
Sasa embu leta ufafanuzi, ni Kenya kuna unemployment kubwa mpaka watu wote waige ige wanjigi au ni coincidence.
Haki nyang'au mna mambo

Angalau mkuu acha wajifariji maana wanapoelekea soon pale taveta patajaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hehehehehe wewe Lewis254 chizi kuruka, haya na mimi natupiamo
Wetangula bana..

22552590_1852988974715392_6996035257024711211_n.jpg


22528432_10155402246536943_2587790201943087957_n.jpg
 
Back
Top Bottom