Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya kwanza kabisa ni ya Wanjigi na mkewe, wakiwa nyumbani kwao baada ya polisi kuondolewa na amri ya mahakama iliyopelekwa na James Orengo, nadhani mapozz yao ndo yamefanya watu waige as it somehow looks funny. Wengine wamepatia kidogo na wengine wameongezea manjonjo. Kwa Tanzania ilitokea ile “Wasira style”, ambapo kifungo kimoja cha suti cha chini kilikosewa hivyo suti ikawa kama imeiunuka upande mmoja.Mkuu naomba unifafanulie hizo picha mbona wote wamepiga style moja
Sasa embu leta ufafanuzi, ni Kenya kuna unemployment kubwa mpaka watu wote waige ige wanjigi au ni coincidence.
Haki nyang'au mna mambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angalau mkuu acha wajifariji maana wanapoelekea soon pale taveta patajaa
Hizo picha zina maana gani naona wengi wamepiga kwa style inayo karibia kufanana