The UEFA Champions League 2020/21 Special Thread

The UEFA Champions League 2020/21 Special Thread

PSG ni timu ambayo haitakaa ichukue uefa kwa siku za hapa machoni labda wape miaka 6+ Shauku ya mtu huponza kukosa kitu wana timu ya kusumbua kina Caen..Nantes sio ya kutwaa UEFA..Hata Waingie na Monchegladbach hawawezi kutwaa Ndoo..
Nimeitunza hii comment.

Jana ilisemwa hiv hiv Man U hampigi Psg, lakin kakungutwa
 
Nimeitunza hii comment.

Jana ilisemwa hiv hiv Man U hampigi Psg, lakin kakungutwa
PSG Now ishakua Pisi ya United ambayo kwa sasa wanajenga kikosi mara ya 2 now anaenda kufa..Stade des Prnce
Madrid kapigwa kwake....tayr mwanzo mbaya..anaeza tolewa makundi
Madrid Kamwe hatokaa Atolewe Kwenye Makundi Labda Dunia Isogee Sayari ya nne Unajua nn.Kipara kafeli kimbinu..Aljua atanufaika na home Ground..Kngne alkua na mambo 2 kichwan Game ya Shakhtar na El Classico Kaa ukijua Hajarudiana na Shakhtar..Kuna Kibonde Monchegladbach game 2 usisahau Inter huwag ni wakali kwao serie A Msimu uliopita walichkua point 1 kwa barca
 
Kingne Mafuta na Maji yalishajitenga toka Game ya R of 16 Varane anajifunga Kwa Man City leo tena wameanzia walipoishia..Ukwel ni kwamba Combnation ya Varane na Cavarjal haipo bila uwepo wa Ramos Shimo Linaokena..Pia Sub ya Kroos altakiwa aanze au Sub angeifany mapema.... OG La Varane ni kosa lake ad Marcelo anakimbia kuja kuziba pale kat jiulize Carvajal alkua wapi nayy mwnywe alkua wapi ad jamaa anapiga pas ya kisigino?..
 
PSG Now ishakua Pisi ya United ambayo kwa sasa wanajenga kikosi mara ya 2 now anaenda kufa..Stade des Prnce

Madrid Kamwe hatokaa Atolewe Kwenye Makundi Labda Dunia Isogee Sayari ya nne Unajua nn.Kipara kafeli kimbinu..Aljua atanufaika na home Ground..Kngne alkua na mambo 2 kichwan Game ya Shakhtar na El Classico Kaa ukijua Hajarudiana na Shakhtar..Kuna Kibonde Monchegladbach game 2 usisahau Inter huwag ni wakali kwao serie A Msimu uliopita walichkua point 1 kwa barca
Kipara awaze el classico wakati UEFA ndy mashindano makubwa...kama ni hivyo mbn kapanga kikosi kamili.
Na hata wakirudiana wanaeza wasichomoe

Kiufupi ni kua alikua anatembelea nyota ya wachezaji na ndy hao hana mbinu ya kimchezo saivi
 
Kipara awaze el classico wakati UEFA ndy mashindano makubwa...kama ni hivyo mbn kapanga kikosi kamili.
Na hata wakirudiana wanaeza wasichomoe

Kiufupi ni kua alikua anatembelea nyota ya wachezaji na ndy hao hana mbinu ya kimchezo saivi
Hajachezesha kikosi kamili ndio maan hukumwona Ramos wala Benzema..Ulimwona Eder Militao..Na wengineo ambao hawajachemistry
 
Hajachezesha kikosi kamili ndio maan hukumwona Ramos wala Benzema..Ulimwona Eder Militao..Na wengineo ambao hawajachemistry
Ramos ni majeruhi kwahiy usiseme hajachezesh kikosi kamili...Benzema mbn amecheza pamoja na kwamba huyo dogo mwngn nae alicheza..kifupi ni kua Ronaldo ndy alikua anamsafish zidane
 
Bayern Munich extended the longest winning run by a team in European Cup/UEFA Champions League history to 12 games, while they’ve now kept a clean sheet over half of the fixtures in this run (7/12) 👑
 
Kingne Mafuta na Maji yalishajitenga toka Game ya R of 16 Varane anajifunga Kwa Man City leo tena wameanzia walipoishia..Ukwel ni kwamba Combnation ya Varane na Cavarjal haipo bila uwepo wa Ramos Shimo Linaokena..Pia Sub ya Kroos altakiwa aanze au Sub angeifany mapema.... OG La Varane ni kosa lake ad Marcelo anakimbia kuja kuziba pale kat jiulize Carvajal alkua wapi nayy mwnywe alkua wapi ad jamaa anapiga pas ya kisigino?..
Mhhhhhh!!!!Hivi Vitu Deep Sanaaa!!!!!


Carvajal[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mhhhhhh!!!!Hivi Vitu Deep Sanaaa!!!!!


Carvajal[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio ivyo wanaboa bhna Inabidi wajipange waaminishe dunia kuwa zile rebbLe hawakubahatisha..Mm ningeambiwa niwashauri ningeeaambia wawaache wakongwe licha ya umuhimu wao ila umri ushapiga hodi..kwa kipind hiki waanze kuvalishana namba maingizo mapy na wakongwe kama Benzema..Varane..Carvajal..Marcelo na Casemiro..kuna vijana kama Mendy.. Valverde..Jovic na Rodryigo..ambao mara kwa mara hawapat nafasi..
 
Ndio ivyo wanaboa bhna Inabidi wajipange waaminishe dunia kuwa zile rebbLe hawakubahatisha..Mm ningeambiwa niwashauri ningeeaambia wawaache wakongwe licha ya umuhimu wao ila umri ushapiga hodi..kwa kipind hiki waanze kuvalishana namba maingizo mapy na wakongwe kama Benzema..Varane..Carvajal..Marcelo na Casemiro..kuna vijana kama Mendy.. Valverde..Jovic na Rodryigo..ambao mara kwa mara hawapat nafasi..
Carvajal Majeruhi.

Namba Mbili Alicheza Mendy.
 
Mechi ya mapema kabisa muda si mrefu ni Lokomotiv vs Bayern, Shakhter Vs Inter
 
Lokomotiv Moscow have an equaliser against Bayern Munich! Aleksei Miranchuk with the goal from close range. 1-1
IMG_20201027_223217_284.JPG
 
Back
Top Bottom