hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yeah Africa Ni nyoko .... Mimi mwenyewe nimetoka kupigwa tukio hapa nilipo Sina hata hamu (kidding) ... But Mimi mwenyewe naamini kwamba nikiwa single huwa ndio nakuwa salama and ilove thatNi hatari kuwekeza hisia zako za mapenzi huku Africa maana watu wengi ni waongo Sana, ukicheza kidogo unaumizwa tu heri kuishi kimachale na kupeana space kabisa, na before commitments ni Bora kuambiana lengo lenu la mahusiano in case of anything mtu ha fall mazima na I don't allow mtu kuingia ndani sana