The Ugly truth: Tunaishi kwenye dunia iliyojaa watu wenye ubinafsi wa kihisia

The Ugly truth: Tunaishi kwenye dunia iliyojaa watu wenye ubinafsi wa kihisia

Mimi siongei kukufurahisha naongea ninacho kiamini na kukiona nimeshashuhudia kwa wengi na kusikia kwa wengi na mwisho wa siku wote wanaongea kilekile cha kulalamika wake zao wamewatengeneza.

Mimi ni baba yangu mdogo na Mjomba wangu wote wanahela na wote watoto zao wamesoma USA na CANADA nje,lkn wengi hawa kuwasidia mama zao mpaka wakikaa chini wakijiuliza kwanini walifanya hivyo hawana majibu na wote sasa hivi wote wametafuta nyumba ndogo.

Huwezi amini yaani hawa siku kukifanyika kumbukumbu ktk makaburi ya bibi na babu,yaani wao msiba unaanza upya wanalia kama watoto wadogo,sababu wanajiuliza majibu hawana.

Nina mwanangu yaani kama kaka yangu,mpaka sasa hajui kwa nini hajamsaidia mdogo wake wakati uwezo anao (ana nyumba,gari kali hizi million milioni hazimpigi chenga) matokeo yake,dogo alikuwa anazagaa zagaa wakati yy ndio kamtoa kijiji KONDOA ili amsomeshe VETA umeme ,lkn dogo kakaa ww wee kwa kaka yake sasa hivi anakula bange na gongo kama hana akili nzuri.

Hawa wote watatu wana wachukia wake zao wa ndoa,mimi sasa jiulize kwa nini wana wachukia wake zao.

NARUDIA TENA NGUMU SANA KUVUNJA BOND YA MAMA NA MWANAMME,kwa kisingizio cha UCHI na WATOTO kwani hivi vinapatikana kwa wanawake wengine.Kama huamini ktk tunguli basi sawa ila libwata lipo,baadhi ya wengi wenu ndio wateja wakubwa wa waganga.

Ndio maana ktk maisha yangu sitokuja kuoa mwanamke MSHIRIKINA au SLAY QUEEN au wale wa 50/50.

Mshirikina najua atanitenganisha na ndugu zangu pamoja na wazazi wangu,Slay Queen huyu kupiga hatu kimaendeleo kazi sababu kila siku siku yy anataka kwenda na wakati (simu ,magari,nguo anataka kubadilishiwa kila mara),50/50 nyumba inakuwa kama kijiji cha kambale baba ndevu,mke ndevu.

Ila ktk hao wote MSHIRIKINA ndiye mbaya sana na kwa bahati mbaya wanawake wengi wenu mnaangukia ktk kundi hili.
Hayo ya kuamini uchi ni yako my point was clear kutofautisha hyo tofauti ya roles and responsibilities za hao watu wawili, pia wewe kuacha kumhandle mzazi wako ni uzembe wako wallah haihusiani na uchi maana ka ni uchi kila mtu anao wa kwake, let's be responsible for our actions and stop blaming other's for our failure. Hivi unaachaje kumtunza mamako usingizie mke na kurogwa mhhhhh mbona Kuna tatizo hapo.
 
Wasaalam!

Ni ukweli pasi na shaka, hakuna kitu kizuri duniani kama mapenzi, kupendwa, iwe na ndugu (familia), rafiki ama mpenzi.

Love is most beautiful feeling in the world, yet people are afraid to be in it. [emoji36]

Whether we know it or not most of us are afraid of really being in love.

Kupitia nyuzi mbalimbali ndani ya majukwaa ya JF ama nje ya majukwaa hayo watu wengi wanaonekana kuhalalisha swala la kuingia kwenye mahusiano nusu nusu "mguu nje, mguu ndani" kwa kigezo cha kuepuka kuumia itapotokea uhusiano kuvunjika or whatever.

People afraid of investing their emotions kwa wapenzi wao au mahusiano yao kwa kigezo tu cha kuogopa kuumizwa.

Our fears may manifest themselves in different ways or show themselves at different stages of relationship, we all harbor defenses that we believe on some level will protect us from getting hurt.

These defenses may offer us a false illusion of safety or security, but they keep us from attaining the closeness we most desire.

I wonder how can someone be in relationship na aka control kiwango cha kumpenda mtu huku akijiangalia nafsi yake kujilinda na kuumia na maumivu ya mapenzi hapo baadae, for me that is "Selfishness" tunatengeneza mazingira ya kuua mahusiano yetu mwanzoni kabisa, kwa hisia zetu za ubinafsi.

Love must be unconditionally as affection without any limitations/conditions.

Jamii, vijana tumejawa na ubinafsi wa kihisia huku kila mtu akiingia kwenye mahusiano kwa kujihami, tunawezaje kutegemea mahusiano kufika mbali kwa minajiri hiyo?

What drives our fears of intimacy? What keeps us from finding and keeping the love we say we want?

We have to stop being so emotionally selfish.

Selfishness destroys relationship, let's be real and honestly to our feelings.

No matter umekutana na changamoto gani kwenye mahusiano yako yaliyopita, tambua dunia bado ina watu wazuri sana wanaoishi. Set yourself free from the heavy burden of your past and let love leads.


Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Naunga mkono hoja

True love isn't hard to find
Is just very hard for us to show
 
Mimi siongei kukufurahisha naongea ninacho kiamini na kukiona nimeshashuhudia kwa wengi na kusikia kwa wengi na mwisho wa siku wote wanaongea kilekile cha kulalamika wake zao wamewatengeneza.

Mimi ni baba yangu mdogo na Mjomba wangu wote wanahela na wote watoto zao wamesoma USA na CANADA nje,lkn wengi hawa kuwasidia mama zao mpaka wakikaa chini wakijiuliza kwanini walifanya hivyo hawana majibu na wote sasa hivi wote wametafuta nyumba ndogo.

Huwezi amini yaani hawa siku kukifanyika kumbukumbu ktk makaburi ya bibi na babu,yaani wao msiba unaanza upya wanalia kama watoto wadogo,sababu wanajiuliza majibu hawana.

Nina mwanangu yaani kama kaka yangu,mpaka sasa hajui kwa nini hajamsaidia mdogo wake wakati uwezo anao (ana nyumba,gari kali hizi million milioni hazimpigi chenga) matokeo yake,dogo alikuwa anazagaa zagaa wakati yy ndio kamtoa kijiji KONDOA ili amsomeshe VETA umeme ,lkn dogo kakaa ww wee kwa kaka yake sasa hivi anakula bange na gongo kama hana akili nzuri.

Hawa wote watatu wana wachukia wake zao wa ndoa,mimi sasa jiulize kwa nini wana wachukia wake zao.

NARUDIA TENA NGUMU SANA KUVUNJA BOND YA MAMA NA MWANAMME,kwa kisingizio cha UCHI na WATOTO kwani hivi vinapatikana kwa wanawake wengine.Kama huamini ktk tunguli basi sawa ila libwata lipo,baadhi ya wengi wenu ndio wateja wakubwa wa waganga.

Ndio maana ktk maisha yangu sitokuja kuoa mwanamke MSHIRIKINA au SLAY QUEEN au wale wa 50/50.

Mshirikina najua atanitenganisha na ndugu zangu pamoja na wazazi wangu,Slay Queen huyu kupiga hatu kimaendeleo kazi sababu kila siku siku yy anataka kwenda na wakati (simu ,magari,nguo anataka kubadilishiwa kila mara),50/50 nyumba inakuwa kama kijiji cha kambale baba ndevu,mke ndevu.

Ila ktk hao wote MSHIRIKINA ndiye mbaya sana na kwa bahati mbaya wanawake wengi wenu mnaangukia ktk kundi hili.
Nafuatilia mjadala kwa umakini
 
Umaeongea kwa uchungu Sana mkuu, it seems kuna mengi na makubwa umepitia kwenye uhusiano/mahusiano yako........naomba Mungu akuponye na akupe nguvu ya kuanza upya.

Dunia bado Ina watu wengi wazuri wanaishi, usikate tamaa.



Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Asante saba Mkuu. May we heal. Lakini muhimu kuliko yote tuasiache kuwa positive. Inasaidia sana. All will be well
 
Hakuna kitu kibaya kama kuingia mzima mzima maana hakuna binadamu asiyebadilika.
Wote tuna tabia ya kubadilika kutokana na experiences mpya au kukutana na watu wapya.

Anaekupenda leo yawezekana asikupende kwa kiwango kile kile kesho au la asikupende kabisa kwa kukutana na mtu ambaye anablend nae vizuri kuliko wewe.

Binadamu sio mbwa kusema u_mtrain akuone vile vile kila siku ila ataamua yeye kukaa ama kuondoka pale atakapokutana na mabadiliko.
Nakubali kwamba binadamu hubadilika. Lakini mashaka yanapokua makubwa basi mbeleni si mazuri yajayo. Kuishi kwa machale si kuzuri.
 
Some people are not really selfish....they are afraid!

hatuogopi kupenda tunaogopa kuumia....na maumivu tunayajua mana tushayapitia...so we build walls around our hearts.,
 
Some people are not really selfish....they are afraid!

hatuogopi kupenda tunaogopa kuumia....na maumivu tunayajua mana tushayapitia...so we build walls around our hearts.,

Its another kind of selfishness though 😅



Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Bado huko kuingia nusu nusu sio solution, lakini pia you can still share with us, how can you able to do that, kupenda nusu nusu. [emoji36]




Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Ni battle lakini mara nyingi inatokea pale unapokosa kuamini tena au ile excitment ama thrill ya love itself. Hii inapelekea kuwa na expectations ndogo kiasi cha hisia kutokukutawala tena yaani hutozidharau redflags zikitokea au kuona life is impossible without that person.
 
Ni battle lakini mara nyingi inatokea pale unapokosa kuamini tena au ile excitment ama thrill ya love itself. Hii inapelekea kuwa na expectations ndogo kiasi cha hisia kutokukutawala tena yaani hutozidharau redflags zikitokea au kuona life is impossible without that person.
Aisee, so simply ni kuwa mapenzi yanakuwa si kitu kikubwa , chenye maana ama kipaumbele kwenye maisha yako, right?



Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Yeah true, na kuna point inafikia unaona kabisa kwa akili hizi za kibinadamu huwezi tena kufanya jambo au maamuzi kwa utashi wako pekee, that's the time you need GOD. 😊


Let's meet at the top, cheers 🍻
haswaa mkuu
 
Back
Top Bottom