joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mimi siongei kukufurahisha naongea ninacho kiamini na kukiona nimeshashuhudia kwa wengi na kusikia kwa wengi na mwisho wa siku wote wanaongea kilekile cha kulalamika wake zao wamewatengeneza.
Mimi ni baba yangu mdogo na Mjomba wangu wote wanahela na wote watoto zao wamesoma USA na CANADA nje,lkn wengi hawa kuwasidia mama zao mpaka wakikaa chini wakijiuliza kwanini walifanya hivyo hawana majibu na wote sasa hivi wote wametafuta nyumba ndogo.
Huwezi amini yaani hawa siku kukifanyika kumbukumbu ktk makaburi ya bibi na babu,yaani wao msiba unaanza upya wanalia kama watoto wadogo,sababu wanajiuliza majibu hawana.
Nina mwanangu yaani kama kaka yangu,mpaka sasa hajui kwa nini hajamsaidia mdogo wake wakati uwezo anao (ana nyumba,gari kali hizi million milioni hazimpigi chenga) matokeo yake,dogo alikuwa anazagaa zagaa wakati yy ndio kamtoa kijiji KONDOA ili amsomeshe VETA umeme ,lkn dogo kakaa ww wee kwa kaka yake sasa hivi anakula bange na gongo kama hana akili nzuri.
Hawa wote watatu wana wachukia wake zao wa ndoa,mimi sasa jiulize kwa nini wana wachukia wake zao.
NARUDIA TENA NGUMU SANA KUVUNJA BOND YA MAMA NA MWANAMME,kwa kisingizio cha UCHI na WATOTO kwani hivi vinapatikana kwa wanawake wengine.Kama huamini ktk tunguli basi sawa ila libwata lipo,baadhi ya wengi wenu ndio wateja wakubwa wa waganga.
Ndio maana ktk maisha yangu sitokuja kuoa mwanamke MSHIRIKINA au SLAY QUEEN au wale wa 50/50.
Mshirikina najua atanitenganisha na ndugu zangu pamoja na wazazi wangu,Slay Queen huyu kupiga hatu kimaendeleo kazi sababu kila siku siku yy anataka kwenda na wakati (simu ,magari,nguo anataka kubadilishiwa kila mara),50/50 nyumba inakuwa kama kijiji cha kambale baba ndevu,mke ndevu.
Ila ktk hao wote MSHIRIKINA ndiye mbaya sana na kwa bahati mbaya wanawake wengi wenu mnaangukia ktk kundi hili.
Mimi ni baba yangu mdogo na Mjomba wangu wote wanahela na wote watoto zao wamesoma USA na CANADA nje,lkn wengi hawa kuwasidia mama zao mpaka wakikaa chini wakijiuliza kwanini walifanya hivyo hawana majibu na wote sasa hivi wote wametafuta nyumba ndogo.
Huwezi amini yaani hawa siku kukifanyika kumbukumbu ktk makaburi ya bibi na babu,yaani wao msiba unaanza upya wanalia kama watoto wadogo,sababu wanajiuliza majibu hawana.
Nina mwanangu yaani kama kaka yangu,mpaka sasa hajui kwa nini hajamsaidia mdogo wake wakati uwezo anao (ana nyumba,gari kali hizi million milioni hazimpigi chenga) matokeo yake,dogo alikuwa anazagaa zagaa wakati yy ndio kamtoa kijiji KONDOA ili amsomeshe VETA umeme ,lkn dogo kakaa ww wee kwa kaka yake sasa hivi anakula bange na gongo kama hana akili nzuri.
Hawa wote watatu wana wachukia wake zao wa ndoa,mimi sasa jiulize kwa nini wana wachukia wake zao.
NARUDIA TENA NGUMU SANA KUVUNJA BOND YA MAMA NA MWANAMME,kwa kisingizio cha UCHI na WATOTO kwani hivi vinapatikana kwa wanawake wengine.Kama huamini ktk tunguli basi sawa ila libwata lipo,baadhi ya wengi wenu ndio wateja wakubwa wa waganga.
Ndio maana ktk maisha yangu sitokuja kuoa mwanamke MSHIRIKINA au SLAY QUEEN au wale wa 50/50.
Mshirikina najua atanitenganisha na ndugu zangu pamoja na wazazi wangu,Slay Queen huyu kupiga hatu kimaendeleo kazi sababu kila siku siku yy anataka kwenda na wakati (simu ,magari,nguo anataka kubadilishiwa kila mara),50/50 nyumba inakuwa kama kijiji cha kambale baba ndevu,mke ndevu.
Ila ktk hao wote MSHIRIKINA ndiye mbaya sana na kwa bahati mbaya wanawake wengi wenu mnaangukia ktk kundi hili.
Hayo ya kuamini uchi ni yako my point was clear kutofautisha hyo tofauti ya roles and responsibilities za hao watu wawili, pia wewe kuacha kumhandle mzazi wako ni uzembe wako wallah haihusiani na uchi maana ka ni uchi kila mtu anao wa kwake, let's be responsible for our actions and stop blaming other's for our failure. Hivi unaachaje kumtunza mamako usingizie mke na kurogwa mhhhhh mbona Kuna tatizo hapo.