Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ndio uone sasa huo ni ushahidi marketing haifanyi kazi kwenye soka? Sababu hio ligi ina mpunga wa kutosha.Mkuu nani anashabikia ligi ya US labda kikapu tu na American football na sio SOCCER
Critopenalt RonapenaltoHadi hivi sasa goal machine ni cr7 tu
Ukiachana na goals za penalty pengine cr7 tusingemuita goals machine
Hili la wingi.wa.mechi wanariruka kama hawalioni wanajitia UPOFU[emoji41]Ronaldo hamfikii Messi uwezo wa kufunga magoli.
Statistics zinaonesha
Ronaldo ana Mechi nyingi kuliko Messi lakini kamzidi magoli machache, anatumia Muda mwingi kufunga goli Na inabidi awe karibu Na goli...
Messi ana Mechi chache magoli mengi,anatumia mda mchache kufunga goli Na ana magoli mengi ya nje ya box kuliko Ronaldo.
Actually u'goal machine wa Ronaldo Ni kwenye penalty
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wanajifanya numbers hawazioni we waache tu wabishane wanavoweza uzur mwenye akil timamu ya mpr anaona hawa wengne wanaleta hoja za vijiweni kwenye kahawa tu.
Historia inbeba na si Argentina pekee na duniani kwa ujumla aliyoyafanya ndio Mesi anafanya saiviHivi kwanini hadi Leo Maradona Anaabudiwa Huko Argentina badala ya Messi? Maradona ana Baloon Dor 6? Maradona ana magoli mengi?
Kama na wewe huoni achievement hio ya knockout pia utakuwa na tatizo.
Achana na kura unahisi kwann anashinda??????mbona facts zipo mbele ya macho yako ila unachagua kufunga macho kama MBUNI??Yani mimi nilieleta data kabisa Kura nzima zilivyopigwa sijaleta namba? Ila wewe unaeandika comment karibia ya 20 bila ya proof wala source yoyote Bali maneno tu ya mdomoni na tweet zilizobase kwenye emoticon ndio una concrete number?
US and CHINA Wtashindana kwa hela sio ubora wa SOCCERNdio uone sasa huo ni ushahidi marketing haifanyi kazi kwenye soka? Sababu hio ligi ina mpunga wa kutosha.
Even miaka kadhaa iliopita Ligi ya China walikuwa wanalipa Kuliko Ulaya tuliona Oscar na Tevez walivyo kuwa wakilipwa, Tumeona makocha mpaka kina Benitez wakikimbilia huko na haikua maarufu.
Huu ni Ushahidi Epl inapendwa kwa ubora wake na sio marketing.
Angalia hata jukwaa letu la michezo ni thread gani zipo active Zaidi.
Ndio mjibu mwenzako huko Juu, Hela na marketing haisababishi watu wa angalie mpira, Timu zote anazoziona Epl zimeanza kupata hela miaka ya Karibuni, kuna wakati hata kuitafuta TOP 10 ya wachezaji ghali hupati wa Epl.US and CHINA Wtashindana kwa hela sio ubora wa SOCCER
OBI, OSCAR TEVEZ, BACKERM, T. HENRY wanaenda huko KUMALIZIA MAISHA YAO YA SOCCER
Mkuu ulaya tunampima mcheza kwa UCL na sio local league.Ndio mjibu mwenzako huko Juu, Hela na marketing haisababishi watu wa angalie mpira, Timu zote anazoziona Epl zimeanza kupata hela miaka ya Karibuni, kuna wakati hata kuitafuta TOP 10 ya wachezaji ghali hupati wa Epl.
Hata clear chances Ronaldo ndo anaongoza kukosa magoli ya clear chancesHili la wingi.wa.mechi wanariruka kama hawalioni wanajitia UPOFU[emoji41]
Sikatai UCL ni ligi Bora. Ila hata Hio UCL sasa hivi uingereza inaongoza, msimu uliopita tu kati ya Timu nne zilizoshiriki fainali za ulaya tatu zilikuwa za Uingereza.Mkuu ulaya tunampima mcheza kwa UCL na sio local league.
Shinda kijijini kwako tukutane kwa MABIBGWA
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hata clear chances Ronaldo ndo anaongoza kukosa magoli ya clear chances
Achana na ENGLANDSikatai UCL ni ligi Bora. Ila hata Hio UCL sasa hivi uingereza inaongoza, msimu uliopita tu kati ya Timu nne zilizoshiriki fainali za ulaya tatu zilikuwa za Uingereza.
Country coefficients | UEFA Coefficients
UEFA.com is the official site of UEFA, the Union of European Football Associations, and the governing body of football in Europe. UEFA works to promote, protect and develop European football across its 55 member associations and organises some of the world’s most famous football competitions...www.uefa.com
Pitia hapo utaona Epl ni ya kwanza na la liga ni ya Pili coeficient za uefa.
We muache abishane anavoweza december ya 7 kapuni..nimemwambia khs kigezo cha international hajajib hata kdg wkt hcho ndo kilikua kichaka chao wanajificha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatakaa akuelewe mkuu ila namba hazidanganyi na anajua ila UNAZI ndio unamsumbua
Ndo maana Nimekwambia tunazunguka Circle, Ronaldo by far ni mchezaji Bora UCL sio sababu ya magoli ya makundi against Galatasaray, rubin kazan na vitimu vidogo Bali against timu kubwa na hatua muhimu zaidi.
Kuna mada anakimbia kimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We muache abishane anavoweza december ya 7 kapuni..nimemwambia khs kigezo cha international hajajib hata kdg wkt hcho ndo kilikua kichaka chao wanajificha.
Yaan saiv washabik wa cr7 ni kama wamepagawa hawajui hata wanatetea nini wapo tu ilimrad wamebisha.Mbona unakazania "hatua muhimu" badala ya end results??? Hapa inaonekana una shida sehemu
Usijisahaulishe NUMBER OF GAMES [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana Nimekwambia tunazunguka Circle, Ronaldo by far ni mchezaji Bora UCL sio sababu ya magoli ya makundi against Galatasaray, rubin kazan na vitimu vidogo Bali against timu kubwa na hatua muhimu zaidi.
Messi ana UCL 4 na hizo 3 ndio kazi hangaika ile ya 2006 hata namba Alikuwa Hana ni kina Ronaldinho waliofanya kazi.
Ila Ronaldo Ana champions league 5 na zote Amepambana mpaka kuipa Timu ubingwa.
Data nimewapa Huko nyuma za kutosha tu.
Wanatafuta pa kushika maana walikazania INTERNATIONAL achievementsYaan saiv washabik wa cr7 ni kama wamepagawa hawajui hata wanatetea nini wapo tu ilimrad wamebisha.
Me namuangalia nacheka tu hapa anaruka ruka na hoja ambazo hazihusiani na hii tread...nimemwambia Cr7 hajawah kua hata mara moja mchezaj bora wa michuano katika international stage na tuzo yake ya juzi ya Golden boot ndo mafanikio yake ya kwnz ..wkt Messi anazo tuzo 4 za mchezaj bora wa michuano na Golden boot 2 kwenye international stage..naona amekataa kbs hata quote iyo comment yng maana naona hana hoja kbs hata kdg....walikua wanajificha kwenye International stage saiv wanatafuta kichaka kingne kwa tochi.Kuna mada anakimbia kimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]