Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Ndo ilikua silaha yao yan saiv hawaamin kua hicho kichaka hakipo tena...mimi nimempa hii picha hapa anijibu lkn naona hana hoja.Wanatafuta pa kushika maana walikazania INTERNATIONAL achievements
Saivi hawana hoja kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena hio GOLDEN BOOTMe namuangalia nacheka tu hapa anaruka ruka na hoja ambazo hazihusiani na hii tread...nimemwambia Cr7 hajawah kua hata mara moja mchezaj bora wa michuano katika international stage na tuzo yake ya juzi ya Golden boot ndo mafanikio yake ya kwnz ..wkt Messi anazo tuzo 4 za mchezaj bora wa michuano na Golden boot 2 kwenye international stage..naona amekataa kbs hata quote iyo comment yng maana naona hana hoja kbs hata kdg....walikua wanajificha kwenye International stage saiv wanatafuta kichaka kingne kwa tochi.
Mwache avute pumzi kwanza aje na PDF nyingine [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ya KURANdo ilikua silaha yao yan saiv hawaamin kua hicho kichaka hakipo tena...mimi nimempa hii picha hapa anijibu lkn naona hana hoja.View attachment 1861971
Unataka nikuletee na data za International? Hivi huoni hata aibu kulinganisha hawa wawili international?We muache abishane anavoweza december ya 7 kapuni..nimemwambia khs kigezo cha international hajajib hata kdg wkt hcho ndo kilikua kichaka chao wanajificha.
Hapa ukaamua uchunie Appearence kuweka sio? Sababu Copa America inachezwa karibia kila mwaka Messi ana Appearence zaidi ya Ronaldo.#MESSI TEAM YAKE YA TAIFA HAJAIFANYIA KITU.
Saiv mtatafuta sana pa kujificha.View attachment 1861972
Mkuu nime eka data hapo from 2011 mpaka 2018 Ronaldo kafunga 30 knockout goals kwenye 30 games at same time Messi kafunga matano tu.Usijisahaulishe NUMBER OF GAMES [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Knock out" games?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nime eka data hapo from 2011 mpaka 2018 Ronaldo kafunga 30 knockout goals kwenye 30 games at same time Messi kafunga matano tu.
Ronaldo Hana time na makundi, kuna Msimu alimaliza makundi na goli 1 kama sijakosea, ilivyoanza tu knockout alifunga mpaka kuwa top scorer. Kama unashinda kuelewa hili sijui utaelewa lipi.
Aibu uone wewe nione mimi...wewe ujue sijui unabishana nini hata sioni hoja zako ni mfu..unafunga magoal sawa lkn kama magoal yako hayana impact sana hayana maana ..kwa sbb unaisaidiaje team wkt hata mchezaj bora wa michuano wewe huna..unaweza kua unafunga magaol tu yasio na maana sana...ndo maana nakwambia nijibu kwa picha hii kua cr7 na yy kafanikiwa kwa hata individually tuzo zake zinaonesha..mbn me nimekuletea picha wewe hutak toa ushahid wa individually awards kuonesha kwl alikua bora katika Major International tournaments.Unataka nikuletee na data za International? Hivi huoni hata aibu kulinganisha hawa wawili international?
Argentina ni club kubwa yenye vipaji kibao wakati Ronaldo amejikongoja na kina pepe, Eder, Danilo etc mpaka uzee wake ndio portugal angalau sasa hivi ina vipaji.
Hizi ni data zao International
Tuanze na magoli
Tuweke sawa Ronaldo amevunja Record ya Dunia ya magoli ya Kimataifa hivyo yeye sasa hivi ndio top.
Magoli yote mechi za Kimataifa
-Ronaldo mechi 179 Goli 109 kila dakika 131 Ronaldo anafunga Goli.
-Messi mechi 151 goli 76 kila dakika 165 Messi anafunga Kimataifa.
Ukiangalia hizo data unaweza kuona kama wanakaribiana vile, ila hazielezei ukweli, tuzigawanye kwenye makundi mawili mechi za kirafiki zisizo na maana na mechi za michuano.
Mechi za kirafiki.
-Ronaldo mechi 51 Goli 19 tu anafunga Goli kila dakika 171 mechi za kirafiki.
-Messi mechi 47 na Goli 34 anafunga Goli kila dakika 108.
Tustop hapa kwanza unaona Messi alivyo bingwa wa kufunga Mechi zisizo na umuhimu? Angalia alivyomkimbiza Ronaldo mechi za kirafiki.
Tuje sasa hatua muhimu magoli kwenye michuano.
-Ronaldo mechi 128 Goli 90 ana Goli kila dakika 122
-messi mechi 104 na goli 42 tu. Anafunga Goli kila baada ya dakika 210.
Hivyo unaona gape la Ronaldo na Messi ni kubwa kupita Maelezo kwenye Michuano ya Kimataifa na Messi ni Mkali mechi za kirafiki.
Kombe? Kwani ukishinda knockout Unapata nini?"Knock out" games?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho wa siku?????
Huyu kama hujajua mkuu ni mfia maji uwa anatapa tapa anavokufa lkn muache anaelewa vzr sana anakaza fuzu tu kwa kua hawez kubal maana roho inamuuma..walisema team ya taifa Messi kapata kombe saiv wanaanza chimba details ambazo ni less relevant kwny comparison hii..muache anaelewa lkn anajifny haelewi."Knock out" games?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho wa siku?????
Yaani hako kakikombe kamoja ka UCL ndio.kamekuwa hoja baada ya copa America kushindwa?Kombe? Kwani ukishinda knockout Unapata nini?
Mimi nimemwambia ku izo UCL ambazo ndo amekazania #Messi ana 4 #cr7 anazo 5..kamzid Messi atujakataa lkn tunasema tena hapo hapo ukichukua idadi ya Mechi na magoal na assist ukiweka katika ratio Messi yuko juu ana wastan mzr wa kufunga na kuassist ukicompare na idadi ya mechi."Knock out" games?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho wa siku?????
Kumbe na wewe umenotice kua jamaa kabaki kwnye ilo kombe 1 cr7 alilo mzid Messi ndo hoja zake zote ziko hapo yan hatoki zaid ya hapo ndo kichaka chake ambacho sio hata kichaka ni sehem ya wazi ambayo kila m2 anamuona hajajificha hata bali anabishana tu kupoteza mda na siku iende akaribishwe pilau ale basi.Yaani hako kakikombe kamoja ka UCL ndio.kamekuwa hoja baada ya copa America kushindwa?
Ila huzungumzii idadi ya michezo[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Kila sehemu kakwama kabaki hapo tu[emoji851][emoji851]Kumbe na wewe umenotice kua jamaa kabaki kwnye ilo kombe 1 cr7 alilo mzid Messi ndo hoja zake zote ziko hapo yan hatoki zaid ya hapo ndo kichaka chake ambacho sio hata kichaka ni sehem ya wazi ambayo kila m2 anamuona hajajificha hata bali anabishana tu kupoteza mda na siku iende akaribishwe pilau ale basi.
[emoji23]muache ajifichd hapo anaona kama kajificha kumbe watu wanamuona vzr tu kwa kua ni hoja nyepes..hoja nzito ni tuzo na overrall numbers izo zinaonesha nan bora sio analeta mambo ya vijiweni ya kina Mzee Mpili mambo ya kua yy ana watu.Kila sehemu kakwama kabaki hapo tu[emoji851][emoji851]
Portugal bila Ronaldo isingefuzu hata Euro ama World cup, Messi anacheza na Aguero, Di Maria, Mascherano, Riquelme, Hiaguain, Lautaro Martinez na masuper star kibao, wakati Ronaldo Ana lord Eder, Danilo, pepe, rui patricio, Renato, Nani etc. Kifupi Ronaldo Ame over achieve na Portugal hasa vile Euro haichezwi Mara kwa Mara.Aibu uone wewe nione mimi...wewe ujue sijui unabishana nini hata sioni hoja zako ni mfu..unafunga magoal sawa lkn kama magoal yako hayana impact sana hayana maana ..kwa sbb unaisaidiaje team wkt hata mchezaj bora wa michuano wewe huna..unaweza kua unafunga magaol tu yasio na maana sana...ndo maana nakwambia nijibu kwa picha hii kua cr7 na yy kafanikiwa kwa hata individually tuzo zake zinaonesha..mbn me nimekuletea picha wewe hutak toa ushahid wa individually awards kuonesha kwl alikua bora katika Major International tournaments. View attachment 1862056
Atabisha akija [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]"MEN LIE WOMEN LIE BUT NUMBERS DON'T LIE" View attachment 1862078