The US gives TZ, UG & RW one week to reverse ban on mitumba or else....Cowards KE are 'safe'

The US gives TZ, UG & RW one week to reverse ban on mitumba or else....Cowards KE are 'safe'

Bullll sheeeet USA ! UNADHAN BILA WEWE NA MIKOPO YAKO (MISAADA YA KUKOPESHWA), MAISHA AFRIKA MF. TZ YETU HAYAPO ? WEWE SIYO MUNGU BWANAAAH ! HATUTAKI WEW KUINGILIA MASUALA YETU.ACHANA NA SS FANYA YAKO, CC TUNAMTEGEMEA MUNGU TUU.
Mkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.

Namna ya kuua mitumba ni kuongeza uzalishaji wa viwanda vya nguo vya ndani kwa gharama nafuu
 
Hivi hizo nguo za Tanzania ndo zinapatikanaga wapi ?? Mbona sijawai kuziona zaidi ya kanga na vitenge na Yale majezi ???
 
Naona mnataka watu watembee uchi.....tatizo watanzania..wakijiona wanaishi mijini wanafikir Tz nzima ipo hivyo....au sababu wachangiaji wengi wa humu tunaamini kidogo wanajiweza kidogo....hivi hizo nguo za dukani wangapi wataziweza kwa bei.....pita mwenge pale uone wadada wanavyopata nguo kwa elf 3,000...mnafikiri mkipiga marufuku watu level cha chini wataweza kununua hizo za madukani....??
Hao wanasiasa wao hawavai mtumba....so haiwezi waaffect....hao wahindi na hivyo viwanda vyao hawavai mitumba...hawataona effect....tusijiangalie asilimia ndogo tu ya watu tuangalie uhalisia wa watu wengi nchi nzima....
Hao wahindi wajenge tu hivyo viwanda, wazalishe nguo....serikali na wananchi watengeneze aajira zaidi....uchumi wa mtu mmojammoja ukikua...watu wataacha tu wenyewe kuvaa mitumba ya ajabu ajabu..
 
Mkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.

Namna ya kuua mitumba ni kuongeza uzalishaji wa viwanda vya nguo vya ndani kwa gharama nafuu
Akuna kitu kama hicho tunao uwezo wa Kuban mitumba na wasivunje mkataba kumbuka tz tuna akiba kubwa ya uranium ambayo marekani ndiyo anaifuatilia na kutaka kuwekeza tena tuna helium gasi hizi bidhaa Mbili tu zinatosha kumkunga mkia mmarekani kukizitumia vizuri
 
Jamani wacheni kuishangilia serikali ktk hili issue ya mitumba imetutoa mbali sana na mitumba imetufanya hata ss maskini kuonekana smart,Je ni wangapi watamudu hizo nguo za viwandani? Je upatikanaji wake utaweza Ku cover au kureplace mitumba .na mwisho itatokea mji mzima kuvaa nguo za kufanana yaani unakuta nusu ya watu wametia njano tupu maana hivi viwanda ndivo vinavozslisha bikiamua no buluu basi ni wiki nzima
 
Akuna kitu kama hicho tunao uwezo wa Kuban mitumba na wasivunje mkataba kumbuka tz tuna akiba kubwa ya uranium ambayo marekani ndiyo anaifuatilia na kutaka kuwekeza tena tuna helium gasi hizi bidhaa Mbili tu zinatosha kumkunga mkia mmarekani kukizitumia vizuri
Kawaulize wakulima wa Mbaazi nini kimewapata msimu uliopita wa kilimo; kuwa na mahusiano mazuri na wabia wetu wa biashara ni jambo jema kwa ustawi wa watu wetu
 
Jamani wacheni kuishangilia serikali ktk hili issue ya mitumba imetutoa mbali sana na mitumba imetufanya hata ss maskini kuonekana smart,Je ni wangapi watamudu hizo nguo za viwandani? Je upatikanaji wake utaweza Ku cover au kureplace mitumba .na mwisho itatokea mji mzima kuvaa nguo za kufanana yaani unakuta nusu ya watu wametia njano tupu maana hivi viwanda ndivo vinavozslisha bikiamua no buluu basi ni wiki nzima
Utavaa mitumba mpaka lini? Subiri mitumba ya humuhumu ndani nguo wakishavaa wenye nazo wakizichoka wanakuuzia wewe
 
Kawaulize wakulima wa Mbaazi nini kimewapata msimu uliopita wa kilimo; kuwa na mahusiano mazuri na wabia wetu wa biashara ni jambo jema kwa ustawi wa watu wetu
Kacheki akili yako kama ipo sawa nani kakataa uhusiano mzuri wao ndiyo awataki uhusiano kwani nchi kukataa mitumba ni uhalifu
Na kuusu mitumba kutusaidia tunajua ila watu wanashindwa kujua kwamba kabla ya mitumba kuja tz ni nini kilisababisha Tanzania tuvae nguo zenye vilaka tatizo nyerere alizuia sekta binafsi viwanda vilikua vya serikali ila Kwa sasa aiwezekani kukwama Kwa sababu sekta binafsi ndiyo itakayo jenga na kuendesha viwanda ikisaidiana na serikali na pia ban IPO mikononi mwetu tukiona tunakwama tuna iondoa Kwa muda
 
Mkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.

Namna ya kuua mitumba ni kuongeza uzalishaji wa viwanda vya nguo vya ndani kwa gharama nafuu
Nadhani upo A-cir mkuu, na Mimi nipo hapa lkn MUNGU WETU ALITUJALIA AKILI PIA, TUNAWEZA KUITUMIA VZR TUKAJITEGEMEA VZR TUU NA KUWA MOJAWAPO YA NCHI YA ULIMWENGU WA KWANXA MIMI NINAAMINI.HII YA KUTEGEMEA MTU MWENZIO KTK MAMBO FLANIFLANI KM UCHUMI AFYA ULINZI N.K KM VILE MTU HANA AKILI YA KUPEWA NA MUNGU, SIYO VZR.
 
Back
Top Bottom