Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeh hii kali mbona hizo nguo hazinifikii mimi. Buy Tanzania Build Tanzania!Viwanda vipya vya nguo Tanzania kipindi cha Magufuli. Hapa kazi tu!View attachment 696125 View attachment 696126 View attachment 696127 View attachment 696128 View attachment 696129 View attachment 696130 View attachment 696131 View attachment 696132
Mkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.Bullll sheeeet USA ! UNADHAN BILA WEWE NA MIKOPO YAKO (MISAADA YA KUKOPESHWA), MAISHA AFRIKA MF. TZ YETU HAYAPO ? WEWE SIYO MUNGU BWANAAAH ! HATUTAKI WEW KUINGILIA MASUALA YETU.ACHANA NA SS FANYA YAKO, CC TUNAMTEGEMEA MUNGU TUU.
Akuna kitu kama hicho tunao uwezo wa Kuban mitumba na wasivunje mkataba kumbuka tz tuna akiba kubwa ya uranium ambayo marekani ndiyo anaifuatilia na kutaka kuwekeza tena tuna helium gasi hizi bidhaa Mbili tu zinatosha kumkunga mkia mmarekani kukizitumia vizuriMkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.
Namna ya kuua mitumba ni kuongeza uzalishaji wa viwanda vya nguo vya ndani kwa gharama nafuu
Kawaulize wakulima wa Mbaazi nini kimewapata msimu uliopita wa kilimo; kuwa na mahusiano mazuri na wabia wetu wa biashara ni jambo jema kwa ustawi wa watu wetuAkuna kitu kama hicho tunao uwezo wa Kuban mitumba na wasivunje mkataba kumbuka tz tuna akiba kubwa ya uranium ambayo marekani ndiyo anaifuatilia na kutaka kuwekeza tena tuna helium gasi hizi bidhaa Mbili tu zinatosha kumkunga mkia mmarekani kukizitumia vizuri
Utavaa mitumba mpaka lini? Subiri mitumba ya humuhumu ndani nguo wakishavaa wenye nazo wakizichoka wanakuuzia weweJamani wacheni kuishangilia serikali ktk hili issue ya mitumba imetutoa mbali sana na mitumba imetufanya hata ss maskini kuonekana smart,Je ni wangapi watamudu hizo nguo za viwandani? Je upatikanaji wake utaweza Ku cover au kureplace mitumba .na mwisho itatokea mji mzima kuvaa nguo za kufanana yaani unakuta nusu ya watu wametia njano tupu maana hivi viwanda ndivo vinavozslisha bikiamua no buluu basi ni wiki nzima
Kacheki akili yako kama ipo sawa nani kakataa uhusiano mzuri wao ndiyo awataki uhusiano kwani nchi kukataa mitumba ni uhalifuKawaulize wakulima wa Mbaazi nini kimewapata msimu uliopita wa kilimo; kuwa na mahusiano mazuri na wabia wetu wa biashara ni jambo jema kwa ustawi wa watu wetu
Nadhani upo A-cir mkuu, na Mimi nipo hapa lkn MUNGU WETU ALITUJALIA AKILI PIA, TUNAWEZA KUITUMIA VZR TUKAJITEGEMEA VZR TUU NA KUWA MOJAWAPO YA NCHI YA ULIMWENGU WA KWANXA MIMI NINAAMINI.HII YA KUTEGEMEA MTU MWENZIO KTK MAMBO FLANIFLANI KM UCHUMI AFYA ULINZI N.K KM VILE MTU HANA AKILI YA KUPEWA NA MUNGU, SIYO VZR.Mkuu tusipowasikiliza kuna viwanda kama A to Z, Sunflag nk. vinafaidika na huu mkataba wa AGOA vinakwenda kukosa soko; na mind you SUNGFLA wana kiwanda Tanzania na Kenya hivyo mkataba huu ukivunjwa kwa upande wa Tanzania wataongeza uzalishaji Kenya na hivyo kukuza uchumi wa kule.
Namna ya kuua mitumba ni kuongeza uzalishaji wa viwanda vya nguo vya ndani kwa gharama nafuu