The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

Hasira zina kazi yake. Kuonesha kuwa jambo hili limekwaza sana kufikiria sisi sooote hatujielewi. Hapo ndo pamenipa hasira sana ....mpaka natoka moshi....
Sorry mkuu punguza hizo jazba maisha ndio hayahaya. Shauri yako
 
Brother hii topic ni pana sana, inahitaji muda na utulivu mkubwa. Kwahiyo, nikitulia nitakujibu kwa ufasaha kabisa, though nitaandika kutoka kwenye perspective ya BIBLIA TAKATIFU.

Kwa sasa elewa tu kwamba, the greatest commodity of exchange ili kumuwezesha mtu kupata nafasi, vyeo, biashara na utajiri ambavyo binadamu wanakimbizana usiku na mchana kuvipata, sio fedha (mfano US $)kama watu wengi wanavyodhani. Fedha na utajiri unaoonekana katika ulimwengu huu wa mwili ni matokeo tu.

The greatest commodity of exchange katika ulimwengu huu ni NAFSI ZA WANADAMU. Kama umeikabidhi nafsi yako kwa MUNGU/YAHWE, tambua kabisa kila unachokitaka katika maisha yako, katika misingi ya uhalali na taratibu za YAHWE, utakipata huko. Wapo waliouza nafsi zao kwa shetani ili wapate wayatakayo humu duniani (hawa ni wengi sana). Kuikabidhi nafsi yako huko kunafanyika kwa njia ya ibada.

F45BE5AE-C044-4D5C-A170-E2458B54AB2F.png


Moja ya quotes bora kuwahi kusemwa na Yesu.
 
Mwanadamu kwaumba na roho ambayo ni immortal na Mwili ambao ni mortal hivyo inamuwezesha mwanadamu kuweza kuishi sehemu yoyote ile, duniani au mbinguni ambacho ni kitu malaika,shetani au wanyama na mimea wamenyimwa. Mwanadamu kwakua ana roho yenye uungu na mwili wa kibanaadamu amepewa chaguzi la yeye kuweza kuishi uungu kwa kutenda mema maishani mwake au uushetani kwa kutenda ubaya maishani mwake. Hicho kitendo cha kuchagua ndio kinaufanya tuwe viumbe tuliopendelewa zaidi kuliko kiumbe chochote.

**hayo maneno hapo juu imeweka tafsiri yako,sio kweli ni tafsiri za huo Mchoro.Kwanza Da Vinci alikuwa haamini mambo ya uwepo wa Mungu.
 
Mwanadamu kwaumba na roho ambayo ni immortal na Mwili ambao ni mortal hivyo inamuwezesha mwanadamu kuweza kuishi sehemu yoyote ile, duniani au mbinguni ambacho ni kitu malaika,shetani au wanyama na mimea wamenyimwa. Mwanadamu kwakua ana roho yenye uungu na mwili wa kibanaadamu amepewa chaguzi la yeye kuweza kuishi uungu kwa kutenda mema maishani mwake au uushetani kwa kutenda ubaya maishani mwake. Hicho kitendo cha kuchagua ndio kinaufanya tuwe viumbe tuliopendelewa zaidi kuliko kiumbe chochote.

**hayo maneno hapo juu imeweka tafsiri yako,sio kweli ni tafsiri za huo Mchoro.Kwanza Da Vinci alikuwa haamini mambo ya uwepo wa Mungu.
Hahahahah jamaa licha ya kua Karibu na Pope lakini alijua dini ni upuuzi kama upuuzi Mwingine maana aliyashuhudia na alijua Siri nyuma ya pazia!
 
Hivi mchoro huo sisi binafsi unatusaidia nn kwenye maisha haya ya kawaida..? Je Kuna faida zozote za kiroho au kimwili au kimafanikio ukiapply kupitia huo mchoro?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Remember Alan Turing? was a British computer scientist ambaye ndio alikuja na hizi algorithms unazotumia sasa kwenye smart phone yako or computer kuja kutukana watu , kuwa straight doesnt mean you are smarter or anything better, hata apple CEO ni gay lakini mchango wake kwa binadamu ni mkubwa kuliko wewe
Sahihi
 
Uzi mzuri lkn kwangu sijui kwanini inakuwa ngumu kuamini kama hiyo picha inamafumbo mengi kama inavyoainishwa!!, mengine kama vile yanakuzwa tu nawatu na kuitafsiri waonavyo!!.

Ila nahisi na mweka mada unamaana yako kutuwekea picha hiyo!,nahisi kabisa kuna kaujumbe unataka kukafikisha ila lazima ukafikishe kwa siri!.. hata hivyo usitilie maanani ni kuhisi kwangu tu!..

Elezea hayo mapozi 12 uliyoyaona nje na hayo yanayoonekana!.
Ok
 
Sina hakika na mengine lakini kuhusu kutafsiri agano jipya kwenda Kigiriki nadhani utakua umefanya typing error, agano jipya lote liliandikwa kwa lugha ya Kigiriki/Kiyunani cause hi ndio ilikua lugha ya kimataifa ya wakati ule so ili watu wote waelewe unachotaka kukisema, ilikua lazima utumie lugha hiyo kama ilivo Kingereza leo. Maneno kama Kristo, Biblia, Ubatizo, Sabato nk ni maneno ya Kigiriki/Kiyunani ambayo kwa lugha zingine ilikua huwezi kupata neno moja, mfano Biblos/Bible/Biblia; kwa Kiyunani/Kigiriki Biblos ni mkusanyiko wa vitabu vyenye them moja, so baada ya kukosekana neno moja kama ilivo Kigiriki then lugha zingine zikatohoa from the original.
 
Kwa mpangilio wako unataka kuniambia kwamba Shetani anazidiwa hata na paka
Maana ya msemaji NI Kwamba: wanyama na mimea, alipewa mwanadamu na Mungu vitumike.., hvyo hii ni inshu ya hadhi.., shetani hakupewa chochote na Mungu Ili vimtumikie.., ndiyo maana anastahili kukaa mwisho kihadhi.
 
N
"Marcus Vitruvius Pollio Ndani ya kitabu hicho alieleza kwamba kitovu ndio sehemu ya katikati katika mwili wa mwanadamu"

Na Da Vinci katika mchoro wake anasema
"Sehemu za siri zinapoanzia ndio katikati ya mtu"

Kama Da Vinci alichora mchoro kutokana na kitabu cha Vitruvius,Je unadhani ni nani alikuwa sahihi juu ya mwili wa binadamu, maana naona wanapishana maelezo?
Noma sana.
 
Back
Top Bottom