The waste president ever!!!

The waste president ever!!!

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Ndugu yangu, hamna haja ya kumtupia yeyote lawama zaidi ya yule mkubwa wa mabakamabaka wa wa wakati ule mwenyeji wa Magu masanzakona na huyu wa sasa!
Mnaona mtu anaharibu na wakati mmeapa kuilinda katiba?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU
Kukweli jiwe hatosahaulika maana amefanya maovu makubwa na ya kutisha sana. Ameula, ameteka, amepora mali za watu na amepiga watu risasi.

This monster it is a million times better that he died and left this country in peace. Jiwe was a disgrace to our country.
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.

All because he narrowed the channels that you could use to accumulate wealth?

Everyone has got flaws so even Magufuli was not perfect but he was a good leader.

Your campaign is to stain the efforts that had been made by Late Magufuli to develop the country.

Kikwete left the country very disorganized but Magufuli came and put it back together as a man of good will.

Tanzania will never get a president like JPM and that’s not hilarious and he said “ Mtanikumbuka kwa mazuri sio kwa mabaya”..The hell is coming
 
Hakuna anayependa haki halafu akapambana na rushwa gizani. Pambana na rushwa kwenye mwanga ndo tujue unapambana na rushwa kweli. Ni kipindi Cha jpm ambapo vyombo vya habari vyote havikuruhusiwa kuhoji chochote labda kumsifia tu
Hivi ndo vitu vinavyonshangaza mtu anavyosema alikua anapambana na rushwa huku vyombo vya habari ameviweka gizani
 
All because he narrowed the channels that you could use to accumulate wealth?

Everyone has got flaws so even Magufuli was not perfect but he was a good leader.

Your campaign is to stain the efforts that had been made by Late Magufuli to develop the country.

Kikwete left the country very disorganized but Magufuli came and put it back together as a man of good will.

Tanzania will never get a president like JPM and that’s not hilarious and he said “ Mtanikumbuka kwa mazuri sio kwa mabaya”..The hell is coming
Hapana JPM was a serial killer
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Daah wengi tunatamani JPM hata angemalizia hii 5 iliyobaki..tungekua mbali sana.
Ila ndo hivo bhana Itoshe tu kusema Apumzike kwa amani Mwamba yule.
 
At least hakua mnafiki kama huyu Mama. Kujidai mwanademokria halafu anatumia mabilioni kuanzisha michakato ya kuhadaa watu tu. Anaahidi Sheria za kidemokrasia, anatumia Milions ya michakato, halafu analeta Sheria ambayo ni sawa tu na ya Zamani, mf Anaondoa Kipengele cha Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi na Kuweka Watumishi Waandamizi, amebadili nini? Anaahidi katiba Mpya, halafu anatumia Bilions kulipa watu miaka mitatu mfululizo, eti wakitoa elimu ya Katiba, ili tu avuke 2025, Why asitamke tu kuwa Katiba Mpya sio agenda yake kama JPM, hizo hela akajenge hata Stand kwao Kizimkazi.
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
ELECTRICALLY?
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
Mjinga mmoja tu hivi aliyeandika ujinga.
Wewe ni mbumbumbu hujui chochote.
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
I agree with you 100%... I wonder on earth how can someone praise Magufuli.
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Wewe ni mbumbu hujui kiingereza hata akili huna.mwenzako kaandika kisomi,wewe kama Sio zoba,jibu kiingereza tuone
 
Tusilazimishane kila mtu aamini anavyoona yeye.
binafsi JPM ndio Rais wangu bora katika marais wote walioongoza.
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
Absolutely Nonsensical and Rubbish.
 
Back
Top Bottom