Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Mmeshikiliwa akili na amstadam halafu mnajikuta wazungu kuliko wazungu wenyewe
Wala hujakosea.
Screenshot_2020-09-28-19-00-29-1.jpg
 
Nadhani its about time tuseme wazi kabisa kuwa the west are our enemies na tufunge balozi zao hapa kwetu na zetu huko kwao!
Zaidi ya hapo shut up na acha demokrasia ichukue mkondo wake!
 
It should be remembered that after Nyerere retired Tanzanians decided to turn to western countries model of life.

We privatized every thing including public toilets under President Mwinyi and Mkapa.

Then we came to Under Kikwete we gave all western investors whatever they wanted under whatever conditions they wanted whether they are demonic or satanic.

We were beloved children of the western Countries that is why we got two American beloved daddy pesidents visiting TANZANIA .Daddy president Bush and Dadty President Obama visited us to part us on our backs as their beloved out of wedlock children!!

But when 2015 ELECTIONS came they joined forces with opposition parties to kick out CCM .No appreciation at all after all good things CCM did to them up to 2015 they decided to repay CCM by kicking it out!!!!!

CCM we decided ok we will fight to stay in power and we managed.We are in power.

After that our relationship with the west is cautious one they are not reliable friends they can change any time like wheather .That is why the Belgian Tundu Lisu who is a planted candidate by the west is not well received by many majority Tanzanians.

We have not forgotten what the west wanted to repay CCM for its kindness in 2015.Pain hangover is still in our hearts we will vote For Magufuli.
Hiii broken....vp?
 
Ujumbe umemfikia Amstadam na vibaraka wake. Naomba nije niweke lugha ya Taifa baadae kidogo

Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.

Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.

Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa

Cc@YEHODAYA
Mmekutana wapuuzi watupu Sasa hapo ameandika nini?
 
Nyerere was under constant economic pressure from the west. They had planned to undermine his legitimacy by making sure ujamaa policy never take strength and become something credible.
Ni shida sana hawa jamaa wa magharibi
Baba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazungu
 
Baba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazungu
Sweden
 
Mmekutana wapuuzi watupu Sasa hapo ameandika nini?
Hujaelewa????? Rudisha akili zako toka kwa amstadam uelewe sasa narudia Mara ya mwisho kwako

"Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.

Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.

Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa
John Pombe Joseph Magufuli mwanaume wa Karne, mzalendo halisi na kiboko ya CoronaVirus dunia nzima "
 
Hujaelewa????? Rudisha akili zako toka kwa amstadam uelewe sasa narudia Mara ya mwisho kwako

"Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.

Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.

Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa
John Pombe Joseph Magufuli mwanaume wa Karne, mzalendo halisi na kiboko ya CoronaVirus dunia nzima "
Yaani badala ya kumshawishi wenzako aende kwa Ras Simba mnapongezana ujinga wa kuandika utopolo n Kimombo cha ugoko
 
Back
Top Bottom