mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Wala hujakosea.Mmeshikiliwa akili na amstadam halafu mnajikuta wazungu kuliko wazungu wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hujakosea.Mmeshikiliwa akili na amstadam halafu mnajikuta wazungu kuliko wazungu wenyewe
typo ni vitu vya kawaida kwenye uandishi...!
'People used to die in the liver'.Bora mmemtafsiria mwenyekiti wenu.
With time mtamuelewa tuu, safari ni hatua na tuna imani na kiongozi jemadari na jasiri John Pombe MagufuliWala hujakosea.View attachment 1592858
Akili zenu aliyezichukua hakubakiza kitu kabisa kwenye hizo bongo zenu!With time mtamuelewa tuu, safari ni hatua na tuna imani na kiongozi jemadari na jasiri John Pombe Magufuli
'Kweri kweri'.With time mtamuelewa tuu, safari ni hatua na tuna imani na kiongozi jemadari na jasiri John Pombe Magufuli
Fungeni balozi once up for all,sio hizi propaganda mfu maslahi yenu yanapoguswa hasa mkisikia haki na demokrasia!Western are our enemies!
Condom 1 tu ingefanya tusiwe tunaona post za dizaini hizo mkuu.Akili zenu aliyezichukua hakubakiza kitu kabisa kwenye hizo bongo zenu!
Hiii broken....vp?It should be remembered that after Nyerere retired Tanzanians decided to turn to western countries model of life.
We privatized every thing including public toilets under President Mwinyi and Mkapa.
Then we came to Under Kikwete we gave all western investors whatever they wanted under whatever conditions they wanted whether they are demonic or satanic.
We were beloved children of the western Countries that is why we got two American beloved daddy pesidents visiting TANZANIA .Daddy president Bush and Dadty President Obama visited us to part us on our backs as their beloved out of wedlock children!!
But when 2015 ELECTIONS came they joined forces with opposition parties to kick out CCM .No appreciation at all after all good things CCM did to them up to 2015 they decided to repay CCM by kicking it out!!!!!
CCM we decided ok we will fight to stay in power and we managed.We are in power.
After that our relationship with the west is cautious one they are not reliable friends they can change any time like wheather .That is why the Belgian Tundu Lisu who is a planted candidate by the west is not well received by many majority Tanzanians.
We have not forgotten what the west wanted to repay CCM for its kindness in 2015.Pain hangover is still in our hearts we will vote For Magufuli.
Mmekutana wapuuzi watupu Sasa hapo ameandika nini?Ujumbe umemfikia Amstadam na vibaraka wake. Naomba nije niweke lugha ya Taifa baadae kidogo
Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.
Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.
Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa
Cc@YEHODAYA
Baba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazunguNyerere was under constant economic pressure from the west. They had planned to undermine his legitimacy by making sure ujamaa policy never take strength and become something credible.
Ni shida sana hawa jamaa wa magharibi
Sema kwa Kwa kweli sio Kwa kweri'Kweri kweri'.View attachment 1592875
SwedenBaba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazungu
Hujaelewa????? Rudisha akili zako toka kwa amstadam uelewe sasa narudia Mara ya mwisho kwakoMmekutana wapuuzi watupu Sasa hapo ameandika nini?
Yaani badala ya kumshawishi wenzako aende kwa Ras Simba mnapongezana ujinga wa kuandika utopolo n Kimombo cha ugokoHujaelewa????? Rudisha akili zako toka kwa amstadam uelewe sasa narudia Mara ya mwisho kwako
"Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.
Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.
Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa
John Pombe Joseph Magufuli mwanaume wa Karne, mzalendo halisi na kiboko ya CoronaVirus dunia nzima "
Aende kwa Ras Simba ili iweje? UTUMWA WA UFAHAMU UNAWATESAYaani badala ya kumshawishi wenzako aende kwa Ras Simba mnapongezana ujinga wa kuandika utopolo n Kimombo cha ugoko
Lumumba n kimombo wapi wapi hii lugha kwenu ni kikwazo inajulikanaAende kwa Ras Simba ili iweje? UTUMWA WA UFAHAMU UNAWATESA