Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Lumumba n kimombo wapi wapi hii lugha kwenu ni kikwazo inajulikana
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
 
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
Nyerere alikua anapiga ngeli kama Native Speaker vile na alikua mzalendo kuliko Rais yoyote yule+CCM wote.

Achana na nyie mnaosema kuongea kiswahili ni uzalendo na 'intraprinyaa' yenu.
 
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
Sema hamkijui msijifichie kwenye Kiswahili bwiga nyie
 
It should be remembered that after Nyerere retired Tanzanians decided to turn to western countries model of life.

We privatized every thing including public toilets under President Mwinyi and Mkapa.

Then Under Kikwete we gave all western investors whatever they wanted under whatever conditions they wanted whether they are demonic or satanic.

We were beloved children of the western Countries that is why we got two American beloved daddy pesidents visiting TANZANIA .Daddy president Bush and Dadty President Obama visited us to part us on our backs as their beloved out of wedlock children!!

But when 2015 ELECTIONS came they joined forces with opposition parties to kick out CCM .No appreciation at all after all good things CCM did to them up to 2015 they decided to repay CCM by kicking it out!!!!!

CCM we decided ok we will fight to stay in power and we managed.We are in power.

After that our relationship with the west is cautious one they are not reliable friends they can change any time like wheather .That is why the Belgian Tundu Lisu who is a planted candidate by the west is not well received by many majority Tanzanians.

We have not forgotten what the west wanted to repay CCM for its kindness in 2015.Pain hangover is still in our hearts we will vote For Magufuli.
Mkuu, jitihada zote hizi ni kuwafikia Mabeberu au ..... Anyway, jaribu kuedit kidogo!!
 
Ushamba mzigo.... poleni mnooo
Connect.
Screenshot_2020-10-01-17-36-59-1.jpg
 
Tutampa kura Tundu Lissu regardless of West, East, North or South. We will vote independently for TL. Ni yeye 2020.
 
2015 was a turning point for our relationship with the west
Tukujibu kwa kiswahili.Huwezi kuwa na maendeleo Kama ushirikiani na mabeberu.Madikteta wote ujitenga na mabeberu sababu mabeberu uwapigia kelele wasiuwe watu,kuiba Kodi za wananchi,kuuwa uchumi, kupambana na upinzani badala ya kupambana na maendeleo.
 
Hii picha ya Robert Amstadam unaipenda sana eee
Kiboko ya madikteta duniani.Amewanyoosha madikteta Sugu sembuse uchwara.soma cv yake ana dili na Paul biya wa Cameroon,ana dili na m7.Madikteta yote lzm yashughulikiwe duniani ili kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi duniani
 
Baba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazungu

Ujamaa hauwezekani afrika kwani unachochea uvivu na tabia ya kutopenda kufanya kazi.Mfumo sahihi wa uchumi ni ule walioutumia wakoloni yaani asiyefanya kazi na asile
 
Kiboko ya madikteta duniani.Amewanyoosha madikteta Sugu sembuse uchwara.soma cv yake ana dili na Paul biya wa Cameroon,ana dili na m7.Madikteta yote lzm yashughulikiwe duniani ili kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi duniani
Ndivyo mnavyojazana hivyo😁😁😁😁😁😁
2810
 
Niko kijiji flani nimepita hapa. Aisee maisha magumu jamani. Leo nimeamini ndio maana mtumzima akilipwa buku 7 anawehuka na kuropoka Jf. Watu wakikaa wawili wawili wanaambiana live tusiichague CCM. Hapa wananchi tukikaza kidogo tu hiki chama kinafutika. Ukweli Tanzania itatuchukua miaka 1000 kumpata mtu kama Lissu.
 
Niko kijiji flani nimepita hapa. Aisee maisha magumu jamani. Leo nimeamini ndio maana mtumzima akilipwa buku 7 anawehuka na kuropoka Jf. Watu wakikaa wawili wawili wanaambiana live tusiichague CCM. Hapa wananchi tukikaza kidogo tu hiki chama kinafutika. Ukweli Tanzania itatuchukua miaka 1000 kumpata mtu kama Lissu.

Yawezekana wapo wa buku saba, lakini wengine tulipata hizo 7000 x 7,000,000 = . . . . . . . . . miaka 15 iliyopita.

Utafiti hupingwa na utafiti.
 
Back
Top Bottom