Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Lumumba n kimombo wapi wapi hii lugha kwenu ni kikwazo inajulikana
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
 
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
Nyerere alikua anapiga ngeli kama Native Speaker vile na alikua mzalendo kuliko Rais yoyote yule+CCM wote.

Achana na nyie mnaosema kuongea kiswahili ni uzalendo na 'intraprinyaa' yenu.
 
Kimombo unachokijua wewe tangu kumekucha kimekuingizia sh ngapi?

Mnakaa kumsema mtumlitaka aongee kama native speaker?

Kiswahili lugha yetu wacha tutambe nayo buana
Sema hamkijui msijifichie kwenye Kiswahili bwiga nyie
 
Mkuu, jitihada zote hizi ni kuwafikia Mabeberu au ..... Anyway, jaribu kuedit kidogo!!
 
Tutampa kura Tundu Lissu regardless of West, East, North or South. We will vote independently for TL. Ni yeye 2020.
 
"like whether"πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ..,aisee siyo lazima utumie lugha ya malkia, unaweza kuonekana ndina kumbe una akili zako timamu.

Buku 7 wamekuja na mfumo wa kutumia inglishi ili wachache wachangie
 
2015 was a turning point for our relationship with the west
Tukujibu kwa kiswahili.Huwezi kuwa na maendeleo Kama ushirikiani na mabeberu.Madikteta wote ujitenga na mabeberu sababu mabeberu uwapigia kelele wasiuwe watu,kuiba Kodi za wananchi,kuuwa uchumi, kupambana na upinzani badala ya kupambana na maendeleo.
 
Hii picha ya Robert Amstadam unaipenda sana eee
Kiboko ya madikteta duniani.Amewanyoosha madikteta Sugu sembuse uchwara.soma cv yake ana dili na Paul biya wa Cameroon,ana dili na m7.Madikteta yote lzm yashughulikiwe duniani ili kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi duniani
 

Ujamaa hauwezekani afrika kwani unachochea uvivu na tabia ya kutopenda kufanya kazi.Mfumo sahihi wa uchumi ni ule walioutumia wakoloni yaani asiyefanya kazi na asile
 
Kiboko ya madikteta duniani.Amewanyoosha madikteta Sugu sembuse uchwara.soma cv yake ana dili na Paul biya wa Cameroon,ana dili na m7.Madikteta yote lzm yashughulikiwe duniani ili kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi duniani
Ndivyo mnavyojazana hivyo😁😁😁😁😁😁
2810
 
Niko kijiji flani nimepita hapa. Aisee maisha magumu jamani. Leo nimeamini ndio maana mtumzima akilipwa buku 7 anawehuka na kuropoka Jf. Watu wakikaa wawili wawili wanaambiana live tusiichague CCM. Hapa wananchi tukikaza kidogo tu hiki chama kinafutika. Ukweli Tanzania itatuchukua miaka 1000 kumpata mtu kama Lissu.
 

Yawezekana wapo wa buku saba, lakini wengine tulipata hizo 7000 x 7,000,000 = . . . . . . . . . miaka 15 iliyopita.

Utafiti hupingwa na utafiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…