Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Ila aliwaita wazungu wanaume aarrggg
 
Maybe you and your family , but for us who desire rule of law enforcement , constitution and human rights Implementation , we will never vote for a dictator .
 

Nife sa hivi kama nimesoma yote sina muda wa kipuuzi
 

Mama ako alibeba kituko miezi tisa
 
Wewe wote mnaakili za marehemu,iko siku mtamsifia hata akijamba
 
China sio mjamaa.. kinyume cha ujamaa si ubepari, ubepari (capitalism) ni pale wenye mitaji wanapoiongoza serikali, kama vile marekani.. Seeikali huingia vitani kwa maagizo ya corporates, china ni soko huria

Unajua uzuri wetu watanzania ni mafundi wa kuzungusha maneno. Neno hilo hilo linaweza kuwa na maana hii Dar Es Salaam na likaeleweka tofauti hapo Kibaha tu. Pia sisi ni watu wajuvi sana. Mambo yetu mengi tunayajua robo robo au nusu nusu au hata idea nayo hatuna. Ila tunayajua. Ndio maana inakuwa ngumu sana kutoka tulipo, na kuona njia rahisi ni kutupa lawama.
Eti kweli China sio mjamaa ni msoko huria? Na Tanzania je?
 
CCM tried to do all those things especially during 10 years of President Kikwete era but CCM didn't get any appreciation from opposition party or the West. When 2015 came they wanted to kick CCM out
2015 elections has given us a lesson from then on how future relationship with the west should be

We thought as CCM that may be if we surrender 100 per cent to the west CCM Will be safe but 2015 proved that theory is not correct

So we have to stand firmly as ourselves

That is why we elected Magufuli to implement our new stand and we will re. Elect him again because he is the only one who can implement the new stand
Maybe you and your family , but for us who desire rule of law enforcement , constitution and human rights Implementation , we will never vote for a dictator .
 
Tanzania sio bepari sio mjamaa, ni soko huria, kenya mabepari, si umesikia mgombea mtarajiwa analalamika kuna deep state, yaani wana hela wanaamua nani awe rais
 
Na kwa taarifa tuu mama yangu anajivunia sana mimi. Ni kati ya wamama waliobarikiwa na uzao wao
Bao lililokutunga ni bora lingemwagwa baharini tu samaki wale we ni kituko unaaibisha wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…