The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

Weeee!!!turkana si iliwatia presha katika ule uzi wa battle....
 
Acheni zile story zenu za kitoto eti hoooo tuna shirika kubwa la ndege kumbe kunyaland mnamiliki ndege tatu tu nyingine zote ni mali ya wawekezaji! ni mpumbavu kama wewe tu halifahamu hili.
Ahahaaa...stori za vijiweni nenda kw jukwaa la tanzania hko
 
Acheni zile story zenu za kitoto eti hoooo tuna shirika kubwa la ndege kumbe kunyaland mnamiliki ndege tatu tu nyingine zote ni mali ya wawekezaji! ni mpumbavu kama wewe tu halifahamu hili.
Na nyinyi mko na shirika la ndege? Ama ile yenu ya kubeba mitungi ya chang'aa kutoka Dar kwenda Mwanza nayo ni shirika?
 
Westlands kuna baridi...weather ni different kiasi
 
What is the distance kati ya westlands na upperhill...
 
Watu wengi hawana time yakupga picha maeneo yalodevelop huku dar mfano masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, upanga, ilala, mbezi beach, makongo, morocco, new makumbusho, mwenge, sinza, ubungo etc nyie mnapicha nyingi za maeneo mbal mbal ya nairob hadi kwe majumba ya watu binafsi but watz wengi wanapicha za posta tu tena za posta ni nying kuliko kkoo japo zimekarbiana. Sijui tatzo nn lakn kwenye swala la upigaj picha za miji hapa tz halipo
Huu mji kila picha naziona hizo jumba tatu Sasa nashangaa Ni kubwa kivipi hebu nielezee?
 
Ni kwa sababu maeneo hayo unataja hayapo deveoped.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…