The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

Watu wengi hawana time yakupga picha maeneo yalodevelop huku dar mfano masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, upanga, ilala, mbezi beach, makongo, morocco, new makumbusho, mwenge, sinza, ubungo etc nyie mnapicha nyingi za maeneo mbal mbal ya nairob hadi kwe majumba ya watu binafsi but watz wengi wanapicha za posta tu tena za posta ni nying kuliko kkoo japo zimekarbiana. Sijui tatzo nn lakn kwenye swala la upigaj picha za miji hapa tz halipo
Ama wanaochukia zile sehemu chache nzuri?
 
Mombasa haifikii hata robo kwa zanzibar japo zenji is an old city but it is full of alot of luxuryz and investments. Dar is huge and developed so usidhalilishe Dar.
Dar es salaam Ni ya kulinganishwa na Mombasa. Nairobi sio ligi ya EAC.
 
Dar es salaam Ni ya kulinganishwa na Mombasa. Nairobi sio ligi ya EAC.

Hapo Na Mako Makuu Ya Airtel Tanzania na Vodacom Tanzania Dar Es Salaam
images (3).jpeg
DSC_0157.jpg
 
Wakenya hawawezi kupiga picha Kibra (Kibera) wakaipost
Watu wengi hawana time yakupga picha maeneo yalodevelop huku dar mfano masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, upanga, ilala, mbezi beach, makongo, morocco, new makumbusho, mwenge, sinza, ubungo etc nyie mnapicha nyingi za maeneo mbal mbal ya nairob hadi kwe majumba ya watu binafsi but watz wengi wanapicha za posta tu tena za posta ni nying kuliko kkoo japo zimekarbiana. Sijui tatzo nn lakn kwenye swala la upigaj picha za miji hapa tz halipo
 
Back
Top Bottom