ojey
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 1,148
- 816
That's old data, Geothermal power is currently the biggest source of power in Kenya.Kenya Energy Situation - energypedia.info
Hii ndiyo situation ya umeme Kenya by December 2016, mnazalisha 2300MW, na mahitaji yenu ni 1600MG, huo ni uzalishaji na mahitaji, tatizo ni usafirishaji na usambzaji wa umeme, hiyo taarifa hapo inaonyesha connectivity ni 36% by December 2016, lakini kuna eneo niliona imefikia 63% by September 2017, bado umeme wa maji unwongoza, ukifuatiwa na geotherm
kama una data zingine za karibuni tafadhali ziweke acha maneno matupu.