The whole of Kenya in total darkness

The whole of Kenya in total darkness

Kenya Energy Situation - energypedia.info
Hii ndiyo situation ya umeme Kenya by December 2016, mnazalisha 2300MW, na mahitaji yenu ni 1600MG, huo ni uzalishaji na mahitaji, tatizo ni usafirishaji na usambzaji wa umeme, hiyo taarifa hapo inaonyesha connectivity ni 36% by December 2016, lakini kuna eneo niliona imefikia 63% by September 2017, bado umeme wa maji unwongoza, ukifuatiwa na geotherm
kama una data zingine za karibuni tafadhali ziweke acha maneno matupu.
That's old data, Geothermal power is currently the biggest source of power in Kenya.
 
That's old data, Geothermal power is currently the biggest source of power in Kenya.
Please produce the most recent data available, don't forget this data is by December 2015, only one year ago.
 
Pambavuuuu zao hawa KPLC wameturudisha nyuma hadi tunaishi kama Watanzania, hapa nilitegemea kufanya kazi usiku inabidi nibebe laptop na kwenda TRM naona wao wamewasha generators.
Damnnnn wawajibishwe nchi hii mahali tumefikia hatufai kuwa na upumbavu wa miaka ya themanini.
Mkuu kelele zote hizi huna hata backup ya generator ndogo au Solar system?
 
Mkuu kelele zote hizi huna hata backup ya generator ndogo au Solar system?
Back up hununuliwa kama inahitajika mara kadhaa. Huwezi kununua kama kukosa umeme ni mara moja kwa mwaka.
 
Mkuu kelele zote hizi huna hata backup ya generator ndogo au Solar system?

Subiri nitakuonyesha picha ya inverter yangu hapo Bongo, maana huko ndiko inahitajika.
 
Taarifa hii ni mpya kabisa, asante sana kwa kunijuza, hii pia inaonyesha kwamba production ni 2,327MW by September 2017, hebu tuonyeshe percentage of connectivity, hapo ndipo kwenye kiini cha mjadala huu
Thats 2016 source from the Ministry of Energy, article ndio iliandikwa 2017.
 
Subiri nitakuonyesha picha ya inverter yangu hapo Bongo, maana huko ndiko inahitajika.
Kwa hilo Giza masaa yote hayo inverter haiwezi fua dafu itazima.Ulitakiwa umiliki generator ndogo!
 
Back up hununuliwa kama inahitajika mara kadhaa. Huwezi kununua kama kukosa umeme ni mara moja kwa mwaka.
Acha mijisifa ya kijinga unaongelea hii Kenya hii hii au nchi ya uingereza?
 
Acha mijisifa ya kijinga unaongelea hii Kenya hii hii au nchi ya uingereza?
Hii hii Kenya ndo anayoiongelea. 2017, mitaa ya kwetu nimeona interruption ya stima mara moja, ilikuwa masaa kadhaa. Nadhani ni mwezi wa agosti au oktoba. Walikuwa wameitangaza gazetini. Maintainance. Huku kwetu jana stima ilikuwa kama kawa, hata ilipozimwa na nyani huku stima hazikupotea. Mimi sina generator na jirani zangu pia hawana. Hongera zao Kenya power.
 
Kwa hilo Giza masaa yote hayo inverter haiwezi fua dafu itazima.Ulitakiwa umiliki generator ndogo!

Kuna mtaalam aliunganisha battery tatu na inverter design ambayo naweza kwenda hata siku mbili napiga kazi zangu bila matatizo. Majirani zangu wahindi hapo Dar ndio walikua wanapiga hayo majenereta hadi kero.
 
These Tanzanians mind so much about 254, mimi hata sijui nini kinaendelea Tanzania since Magufuli was elected president. That was the last major news from TZ tuliskia huku. Stima inapotea kwa major cities Kenya inakua breaking News TZ hahaha.
most of Tanzanian they dont care abt Kenya news they know a lot about Sadc
 
Kuna mtaalam aliunganisha battery tatu na inverter design ambayo naweza kwenda hata siku mbili napiga kazi zangu bila matatizo. Majirani zangu wahindi hapo Dar ndio walikua wanapiga hayo majenereta hadi kero.
Hiyo itakuwa ni ile Virus Invertor, kwenye ile filamu ya 3 Idiots. Uliitizama hiyo movie jombaa?
 
Back
Top Bottom