The World Celebrates Wanyama's Goal, making Kenya proud again

The World Celebrates Wanyama's Goal, making Kenya proud again

We are talking about wanyama
So!!! Umekuja kutoka kooote huko kuja kutueleza habari za wanyama. How stupid you are!!? Kama tukianza kuzungumzia watu mbalimbali humu JF tutapata vitu vya maana kweli? I think this is the level of your stupidity.
 
So!!! Umekuja kutoka kooote huko kuja kutueleza habari za wanyama. How stupid you are!!? Kama tukianza kuzungumzia watu mbalimbali humu JF tutapata vitu vya maana kweli? I think this is the level of your stupidity.
Wewe unacelebratingi mzungu akikuja Tanzania.....sisi wazungu wanasheherekea mkenya...ka hug transformer kama ni uchungu....Hakuna mtz atawai fika iyo level
 
Wewe unacelebratingi mzungu akikuja Tanzania.....sisi wazungu wanasheherekea mkenya...ka hug transformer kama ni uchungu....Hakuna mtz atawai fika iyo level
Yaani kufurahiwa na wazungu is very big issue to you!!? How stupid your!!? Inamaana kila anayefurahiwa na wazungu unakuja kuleta mada humu. Hizo akili za kitumwa.
 
Yaani kufurahiwa na wazungu is very big issue to you!!? How stupid your!!? Inamaana kila anayefurahiwa na wazungu unakuja kuleta mada humu. Hizo akili za kitumwa.
wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge buda
 
wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge buda
Mimi kinachonishangaza ni wewe kuona kama kitu kipya! Mbona jambo la kawaida sana.
Kuna wachezaji kibao tu Nchi za Tanzania, Nigeria, Cameroon, SA nk. Likini siyo washamba kama wewe.
 
Mimi kinachonishangaza ni wewe kuona kama kitu kipya! Mbona jambo la kawaida sana.
Kuna wachezaji kibao tu Nchi za Tanzania, Nigeria, Cameroon, SA nk. Likini siyo washamba kama wewe.
hakuna mchezaji wa tanzania anayecheza europe..nyinyi game mnaweza ni uchawi pekee
 
wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge buda
Ninauhakika wewe siyo shabiki wa mpira wa miguu. Kama ungekuwa unajuwa issue za mpira wa miguu usingeropoka hivi. Fuatilia mambo wewe!!!
 
hakuna mchezaji wa tanzania anayecheza europe..nyinyi game mnaweza ni uchawi pekee
Mbwana Sammata anayechezea Gent Belgium nikumbushe, Belgium ni Kibera?, ninyi wakenya ni limbukeni sana, mnapenda sana sifa za kijinga wakati huduma muhimu kwa wananchi ikiwemo maji ya kunywa hampati
 
Back
Top Bottom