joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Bigger GDP yenye watu wanaokufa kwa njaa na ukosefu wa ajira[emoji1] [emoji1] [emoji1]failed state yenye bigger gdp..sasa nyinyi ni shit hole yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bigger GDP yenye watu wanaokufa kwa njaa na ukosefu wa ajira[emoji1] [emoji1] [emoji1]failed state yenye bigger gdp..sasa nyinyi ni shit hole yenyewe
Kenya ranked as 'failed state'Haikosei izo megawatts zao 1200 ni kidogo sana
Syria is a failed state with GDP of $107,830B[emoji12] [emoji12]failed state yenye bigger gdp..sasa nyinyi ni shit hole yenyewe
Tanzania is a shit holeSyria is a failed state with GDP of $107,830B[emoji12] [emoji12]
Kenya ranked as 'failed state'
Ka nchi kamoja kana rais mbili. Shit holeTanzania is a shit hole
Angekuwa mtanzania ndiye aliyeandika kiingereza hiki, nyege zingeanza kuwawasha " we talking"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]joto la jiwe we talking about Wanyama not your crap
But is not a failed state like Kenya[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Tanzania is a shit hole
Haha that no grammatical error there my friendAngekuwa mtanzania ndiye aliyeandika kiingereza hiki, nyege zingeanza kuwawasha " we talking"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We are talking about wanyamaBut is not a failed state like Kenya[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
This one I know, but "we talking", that one I leave it for you[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We are talking about wanyama
So!!! Umekuja kutoka kooote huko kuja kutueleza habari za wanyama. How stupid you are!!? Kama tukianza kuzungumzia watu mbalimbali humu JF tutapata vitu vya maana kweli? I think this is the level of your stupidity.We are talking about wanyama
Wewe unacelebratingi mzungu akikuja Tanzania.....sisi wazungu wanasheherekea mkenya...ka hug transformer kama ni uchungu....Hakuna mtz atawai fika iyo levelSo!!! Umekuja kutoka kooote huko kuja kutueleza habari za wanyama. How stupid you are!!? Kama tukianza kuzungumzia watu mbalimbali humu JF tutapata vitu vya maana kweli? I think this is the level of your stupidity.
Yaani kufurahiwa na wazungu is very big issue to you!!? How stupid your!!? Inamaana kila anayefurahiwa na wazungu unakuja kuleta mada humu. Hizo akili za kitumwa.Wewe unacelebratingi mzungu akikuja Tanzania.....sisi wazungu wanasheherekea mkenya...ka hug transformer kama ni uchungu....Hakuna mtz atawai fika iyo level
wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge budaYaani kufurahiwa na wazungu is very big issue to you!!? How stupid your!!? Inamaana kila anayefurahiwa na wazungu unakuja kuleta mada humu. Hizo akili za kitumwa.
Mimi kinachonishangaza ni wewe kuona kama kitu kipya! Mbona jambo la kawaida sana.wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge buda
hakuna mchezaji wa tanzania anayecheza europe..nyinyi game mnaweza ni uchawi pekeeMimi kinachonishangaza ni wewe kuona kama kitu kipya! Mbona jambo la kawaida sana.
Kuna wachezaji kibao tu Nchi za Tanzania, Nigeria, Cameroon, SA nk. Likini siyo washamba kama wewe.
Siku Mtz atacheza premier league na kufunga bao kama hio mnitag....pole...mtag my great great grandson kwasababu ntakua nisha dedi.- in ichoboys words
Ninauhakika wewe siyo shabiki wa mpira wa miguu. Kama ungekuwa unajuwa issue za mpira wa miguu usingeropoka hivi. Fuatilia mambo wewe!!!wewe unasherekeaga knina beckham wakikuja tz..sisi tunasheherekea mkenya akipaa ,aki succeed...kama nakuuma sana jinyonge buda
Mbwana Sammata anayechezea Gent Belgium nikumbushe, Belgium ni Kibera?, ninyi wakenya ni limbukeni sana, mnapenda sana sifa za kijinga wakati huduma muhimu kwa wananchi ikiwemo maji ya kunywa hampatihakuna mchezaji wa tanzania anayecheza europe..nyinyi game mnaweza ni uchawi pekee