The wrong generation for nice guys.

The wrong generation for nice guys.

Basi bhana.. nikawa nasubiri muda ufike.. mie nilibahatisha mtt mzr majuba mengi mtt hata harufu ya pombe haijui.. nikaweka ndani. Sasa huyu Ex wangu naona kabadirik siku hizi.. katulia, miksa kuvaa ushungi (kuna Mtu anaviziwa ajichanganye na yeye awekwe ndani)..
Hahah kama Snura
 
Kuna Ex wangu mmoja nilikuw natak nioe.. ila mambo yakaenda ndivy sivyo.. kila mtu akawa na 50 zake...

Sasa akawa ktk hiyo phase ya ku f*ck around kila siku nikichek status yupo viwanja.. pombe.. shisha.. night outs za kutosha..

Basi bhana.. nikawa nasubiri muda ufike.. mie nilibahatisha mtt mzr majuba mengi mtt hata harufu ya pombe haijui.. nikaweka ndani. Sasa huyu Ex wangu naona kabadirik siku hizi.. katulia, miksa kuvaa ushungi (kuna Mtu anaviziwa ajichanganye na yeye awekwe ndani)..

Ushauri kwa Wadada kama unafanya mambo fulani.. jitahidi usihusishe na social media.. MITANDAO haisahau your footprints zitabaki na siku mambo yamekukalia sawa watu wanafukua makaburi ya video zako ukiwa unavuta Mashisha na nguo nusu uchi.
Ushauri mzuri sana huu.
 
Nice guys huoa makombo ya bad guys.. sawa!
Bad guys je huoa akina nani?
Je, tu assume kwamba bad guys hawaoi madem aged 27+?
 
To all nice guys, these modern women doesn't want anything serious, they just wanna have fun.

Kama wewe ni nice guy tambua kwamba upo katika kizazi ambacho ni hatari kwa afya, akili na uchumi wako.

Kuna hii trend ambayo napendelea kuiita "partying and hoeing phase" haya ndio maisha ambayo wanawke wa kisasa wameyachagua wenyewe wanasema ndio uhuru.

Ukisikia mwanamke anasema haitaji kuolewa anataka muda wa kufanya mambo yake ujue hayo mambo anayoyaongelea ndio iyo partying and hoeing phase.

Partying and hoeing phase ni kile kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake(kuanzia anapovunja ungo mpaka late twenties), hapa ego yake inakua juu na anakuwa delutional na fantasy nyingi sana.

During this phase a woman want to fuvk as many man as she wish to, she want to go any place at any time, she want to do all possible bad things on the earth without being accountable to anyone.

Sasa hapa shida ni kwamba nice guys huwa mnashindwa kwenda na flow ya hawa mabinti ndio maana mnaongoza kuumizwa ukilinganisha na sisi bad boys.

Sasa nice guys nisikilizeni kwa makini, ukikutana na mwanamke kama huyu usimuoe, usitengeneze nae mahusiano siriazi, usipoteze muda kumbadilisha au kumuelekeza cha kufanya kwa sababu hayo anayafanya anayaelewa na anafanya kwa hiyali yake.

Nini ufanye? wewe piga, mfanyie michezo yote ya kishenzi anayoitaka muda wako ukiisha achana nae, wapishe mabaharia wengine waje kuendeleza ulipoishia.

Tambua kwamba mwanamke huyo haitaji wewe umuokoe anachokita ni mchango wako katika yale mabaya anayoyafanya, so if you can't contribute in spoiling her, then avoid her from the first place.

Kama baba na mama ake wameshindwa kumuweka kwenye mstari hakuna ambacho wewe utafanya na kufanikiwa.
Wanawake design ya akina Jadda ni WA kupiga na kusepa tu
 
Kuna yeye na Zemanda wanatema nondo tupuuuu.
Ila hawa jamaa wananisaidia na mimi baadhi ya vitu nilikuwa sivichukulii umakini.

Demu anaweza kukutumia msg Baby naomba uniongezee Elfu Hamsini nimepungukiwa Kodi, nadaiwa laki Tatu ila laki mbili na nusu nimeshapata.

Kiubinadamu kabisa huyu Mtu huwezi kumnyima elfu 50 ikiwa ameshapata laki 2 na nusu sembuse akiwa mpenzi.

Sasa Bwana kumbe Msg kama hiyo katuma kwa Mabwana kama 10 hivi. Kila Bwana anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kuna mwenye kimbele mbele atatuma laki, mwingine laki mbili ,mwingine elfu 30 huku akiomba na msamaha kwa kuwa imepungua, na kabwela mwingine atatoa ahadi mwisho wa mwezi.

Demu kama huyu anaona wanaume wote ni maboya tu na kamwe hawezi kuheshimu mwanaume kwani anajua ni weak spicies mbele ya K
 
Ila hawa jamaa wananisaidia na mimi baadhi ya vitu nilikuwa sivichukulii umakini.

Demu anaweza kukutumia msg Baby naomba uniongezee Elfu Hamsini nimepungukiwa Kodi, nadaiwa laki Tatu ila laki mbili na nusu nimeshapata.

Kiubinadamu kabisa huyu Mtu huwezi kumnyima elfu 50 ikiwa ameshapata laki 2 na nusu sembuse akiwa mpenzi.

Sasa Bwana kumbe Msg kama hiyo katuma kwa Mabwana kama 10 hivi. Kila Bwana anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kuna mwenye kimbele mbele atatuma laki, mwingine laki mbili ,mwingine elfu 30 huku akiomba na msamaha kwa kuwa imepungua, na kabwela mwingine atatoa ahadi mwisho wa mwezi.

Demu kama huyu anaona wanaume wote ni maboya tu na kamwe hawezi kuheshimu mwanaume kwani anajua ni weak spicies mbele ya K
Yaani mimi nikisoma hizi sms zenu nabaki kubugia maneno ndani ya moyo wangu tu. Mwanamke ambae hana hofu ya Mungu ni kiumbe hovyo saaaaana.
 
To all nice guys, these modern women doesn't want anything serious, they just wanna have fun.

Kama wewe ni nice guy tambua kwamba upo katika kizazi ambacho ni hatari kwa afya, akili na uchumi wako.

Kuna hii trend ambayo napendelea kuiita "partying and hoeing phase" haya ndio maisha ambayo wanawke wa kisasa wameyachagua wenyewe wanasema ndio uhuru.

Ukisikia mwanamke anasema haitaji kuolewa anataka muda wa kufanya mambo yake ujue hayo mambo anayoyaongelea ndio iyo partying and hoeing phase.

Partying and hoeing phase ni kile kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake(kuanzia anapovunja ungo mpaka late twenties), hapa ego yake inakua juu na anakuwa delutional na fantasy nyingi sana.

During this phase a woman want to fuvk as many man as she wish to, she want to go any place at any time, she want to do all possible bad things on the earth without being accountable to anyone.

Sasa hapa shida ni kwamba nice guys huwa mnashindwa kwenda na flow ya hawa mabinti ndio maana mnaongoza kuumizwa ukilinganisha na sisi bad boys.

Sasa nice guys nisikilizeni kwa makini, ukikutana na mwanamke kama huyu usimuoe, usitengeneze nae mahusiano siriazi, usipoteze muda kumbadilisha au kumuelekeza cha kufanya kwa sababu hayo anayafanya anayaelewa na anafanya kwa hiyali yake.

Nini ufanye? wewe piga, mfanyie michezo yote ya kishenzi anayoitaka muda wako ukiisha achana nae, wapishe mabaharia wengine waje kuendeleza ulipoishia.

Tambua kwamba mwanamke huyo haitaji wewe umuokoe anachokita ni mchango wako katika yale mabaya anayoyafanya, so if you can't contribute in spoiling her, then avoid her from the first place.

Kama baba na mama ake wameshindwa kumuweka kwenye mstari hakuna ambacho wewe utafanya na kufanikiwa.
✅️✅️
 
Ila hawa jamaa wananisaidia na mimi baadhi ya vitu nilikuwa sivichukulii umakini.

Demu anaweza kukutumia msg Baby naomba uniongezee Elfu Hamsini nimepungukiwa Kodi, nadaiwa laki Tatu ila laki mbili na nusu nimeshapata.

Kiubinadamu kabisa huyu Mtu huwezi kumnyima elfu 50 ikiwa ameshapata laki 2 na nusu sembuse akiwa mpenzi.

Sasa Bwana kumbe Msg kama hiyo katuma kwa Mabwana kama 10 hivi. Kila Bwana anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kuna mwenye kimbele mbele atatuma laki, mwingine laki mbili ,mwingine elfu 30 huku akiomba na msamaha kwa kuwa imepungua, na kabwela mwingine atatoa ahadi mwisho wa mwezi.

Demu kama huyu anaona wanaume wote ni maboya tu na kamwe hawezi kuheshimu mwanaume kwani anajua ni weak spicies mbele ya K
Absolutely
 
Bad boys wakiamua kutulia na kutafuta mwanamke wa kufanya nae maisha mara nyingi wanapata mke sahihi kwa sababu wana uzoefu na characters zote za wanawake
Labda waoe hao wa under 23 years ndiyo hawajapigwa miti sana.
Bro, figuring out what a chic has been through si rahisi. Hasa kama ni demu smart ila muhuni.
Kuwa bad boy haimpi mtu guarantee ya kuwaelewa wanawake.
So, yeyote, nice boy au bad boy akioa 27+ anaweza kuoa demu ashatombwer sana tu.
 
haha S.I.M.P = Sucker who Idolizes Mediocre Pvssy

Nini kifanyike mkuu mabinti waache kuvuta shisha na wakimaliza shule tu, wawe wanawaza ndoa?

Ukigundua tatizo, pendekeza na suluhisho sio kila siku unawaponda tu hushauri chochote....

Kama vipi waache tu usikute hata hawaumii wewe ndo unaumia kujisumbua sumbua.
Umri ndio huwa unawakumbusha usihangaike nao. Wewe hit her and run
 
Labda waoe hao wa under 23 years ndiyo hawajapigwa miti sana.
Bro, figuring out what a chic has been through si rahisi. Hasa kama ni demu smart ila muhuni.
Kuwa bad boy haimpi mtu guarantee ya kuwaelewa wanawake.
So, yeyote, nice boy au bad boy akioa 27+ anaweza kuoa demu ashatombwer sana tu.
ni kweli mkuu, kwenye kuoa mwanamke ambae haujui past yake usalama wako uoe bikira tu, lakini angalao bad boy anaoa kitu alichokialibu yeye mwenyewe tofauti na nice guy ambae ni victim wa tatizo ambalo hajalitengeneza
 
Back
Top Bottom