mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Ndugai kaongea ya moyoni. Mwingine kaongea aliyoelekezwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wakeTunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai kaongea ya moyoni. Mwingine kaongea aliyoelekezwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wakeTunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge.
ZItafika tu,ma ccm hawanaga akili zao wenyewe,akili zao Zimefungiwa Lumumba,Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??
Watajuana wenyewe, ngoja wapambane wao kwa wao labda kuna siku watagutuka toka usingiziniTheluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??