Tetesi: Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??

Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika??
ZItafika tu,ma ccm hawanaga akili zao wenyewe,akili zao Zimefungiwa Lumumba,
Kwanza ilibidi Ndugai ashitakiwe kwa uchochezi.
Na mama ni Mwepesi sana,ameonyesha jinsi hii serikali ambsvyo haipendi maoni tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…