mwengeso JF-Expert Member Joined Nov 27, 2014 Posts 9,227 Reaction score 6,670 Jan 5, 2022 #21 Sky Eclat said: Tunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge. Click to expand... Ndugai kaongea ya moyoni. Mwingine kaongea aliyoelekezwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wake
Sky Eclat said: Tunatakiwa kuhoji sababu ya Ndungai kuongea aliyoyaongea akiwa nje ya Bunge. Click to expand... Ndugai kaongea ya moyoni. Mwingine kaongea aliyoelekezwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wake
JUAN MANUEL JF-Expert Member Joined Nov 26, 2010 Posts 7,808 Reaction score 16,972 Jan 5, 2022 #22 Meneja Wa Makampuni said: Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika?? Click to expand... ZItafika tu,ma ccm hawanaga akili zao wenyewe,akili zao Zimefungiwa Lumumba, Kwanza ilibidi Ndugai ashitakiwe kwa uchochezi. Na mama ni Mwepesi sana,ameonyesha jinsi hii serikali ambsvyo haipendi maoni tofauti.
Meneja Wa Makampuni said: Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika?? Click to expand... ZItafika tu,ma ccm hawanaga akili zao wenyewe,akili zao Zimefungiwa Lumumba, Kwanza ilibidi Ndugai ashitakiwe kwa uchochezi. Na mama ni Mwepesi sana,ameonyesha jinsi hii serikali ambsvyo haipendi maoni tofauti.
Skylar JF-Expert Member Joined Nov 10, 2021 Posts 2,334 Reaction score 5,550 Jan 5, 2022 #23 Meneja Wa Makampuni said: Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika?? Click to expand... Watajuana wenyewe, ngoja wapambane wao kwa wao labda kuna siku watagutuka toka usingizini
Meneja Wa Makampuni said: Theluthi mbili ya kura za wabunge zitaweza kufika?? Click to expand... Watajuana wenyewe, ngoja wapambane wao kwa wao labda kuna siku watagutuka toka usingizini