Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gabon ndio model yako?watz tunafikiria nje ya box wewe,now mazungumzo yanaendelea na wadau wa gas kuhusu Host Government Agreement(HGA) kuhusu LNG plant Mtwara.soon msijali tutawaletea bomba huko la gesi tuwauzieHakuna mafuta ya maana nchini Tanzania...pole ni kwako sababu sisi huwa hatufanyi sherehe sababu ya vitu vidogo vidogo...we think big...wacha hata Tanzania, Gabon iko na mafuta nyingi sana na imekuwa iki export mafuta hayo kwa miaka na mikaka ila Gabon hata haina uchumi wa maana...mimi sioni haja ya kusherehekea kisa mafuta...
mafuta mlio mnao ni kiasi gani?? ukijibu swali hili ndio nitakuelewa...kwa sasa ni kama tu kuhesabu vifaranga kabla hawajaanguliwa...Pipeline tu mlivaa chupi kichwani itakua mafuta acha kunichekesha hahaha
Sizitaki mbichi hizi
Sizonje atakurupuka na kuwaambia wachimbaji wadogo waende kuchimba oil kwa sururu!![]()
A team of experts from Uganda and Tanzania informing President Magufuli of significant oil discoveries in the Eyasi valley and around lake Tanganyika also around areas of Sekenke, Mwanzugi and Kining'inila in the Manonga valley within Igunga in Tabora.
CC:
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
you are thinking out of the box yet you are still a poor LDC country...I think it is not working...😀😀😀ubaya wenu ni kujiskia sana ila hamna lolote...Gabon ndio model yako?watz tunafikiria nje ya box wewe,now mazungumzo yanaendelea na wadau wa gas kuhusu Host Government Agreement(HGA) kuhusu LNG plant Mtwara.soon msijali tutawaletea bomba huko la gesi tuwauzie
Toa uchawi wako humugesi
madini
bado tunasema hatutaongeza mishahara mpaka uzalishaji uongezeke.
mafuta yatakusaidia nini ikiwa gesi mliaminishwa kuwa ingekuwa mkombozi?
Msipende kuwa mnavuruga mada zawatu na upumbavu wenu!!Sizonje atakurupuka na kuwaambia wachimbaji wadogo waende kuchimba oil kwa sururu!
[emoji38][emoji38]Msipende kuwa mnavuruga mada zawatu na upumbavu wenu!!
Mmeshindwa kuchangia pitrni wima
sio kila kitu Ukibendera tu mnaboa !!
Sizonje atakurupuka na kuwaambia wachimbaji wadogo waende kuchimba oil kwa sururu!
Uganda and Kenya have had oil for years....Kenya has almost 1 Billion barrels of oil but even if we were to start production, I dont see a big impact it will do to the economy...this is the same for Uganda..dont think that Uganda or Kenya will now become Africa;s largest economy because of oil...hamna cha kusherehekea hapa
Eneo lenye mafuta linahusisha mikoa ya Shinyanga, Tabora (1st biggest region of Tanzania), Simiyu, Singida hiyo bado Lake Tanganyikamafuta mlio mnao ni kiasi gani?? ukijibu swali hili ndio nitakuelewa...kwa sasa ni kama tu kuhesabu vifaranga kabla hawajaanguliwa...
nimewaambia oil drop mbili msianze kununua vinywaji na vyakula na kuanza kualika wageni...Nigeria wana oil nyingi inameza nchi zote za afrika ila waone walipo leo?? 😀😀😀😀nyinyi oil drop mbili mmeanza kununua fireworks...😀😀😀 Kenya has oil SA has oil but we dont even pay attention to it as an economic boom...we pay attention to other sectors...oil will not bring economic success overnight...just ask Nigeria...Ukiishiwa chakupinga nibora ukapapasa hayo macho yako kama kibatari kisha unapita wima!
Wacha kulinganisha Mafuta ya vibaba kenya yakubebwa na magari na Haya tunayo zungumzia!
Tunajua wakenya lazima kiwaume
ok nimetoa uchawi wanguToa uchawi wako humu
why are you beating around the bush? the question was easy...how much oil do you have? Kenya has 1 Billion barrels...tumia mfano huo...Eneo lenye mafuta linahusisha mikoa ya Shinyanga, Tabora (1st biggest region of Tanzania), Simiyu, Singida hiyo bado Lake Tanganyika
Umekalili Endelea hivyoTanzania hii ya Magu sio yakuifananisha na hao unao orodhesha hapanimewaambia oil drop mbili msianze kununua vinywaji na vyakula na kuanza kualika wageni...Nigeria wana oil nyingi inameza nchi zote za afrika ila waone walipo leo?? 😀😀😀😀nyinyi oil drop mbili mmeanza kununua fireworks...😀😀😀
Weka hoja,acha viroja.you are thinking out of the box yet you are still a poor LDC country...I think it is not working...😀😀😀ubaya wenu ni kujiskia sana ila hamna lolote...
Namheshimu sana Mr. Magu ila hakuna anachoweza kufanya ili muwe na oil nyingi...kwa hiyo stop celebrating over two drops of oil....kisha ukumbuke nchi ikipata mafuta hsabu miaka kumi za feasibility studies na contracts ili ianze kuuza mafuta hayo....most importantly, investors will not pay any attention to little oil...ndio maana nikawaambia wenzako wawache kusherehekea ujinga...Umekalili Endelea hivyoTanzania hii ya Magu sio yakuifananisha na hao unao orodhesha hapa
jibu swali...why is Tanzania still an LDC country?? si umesema you have been thinking out of the box?Weka hoja,acha viroja.
NAJUA maisha hayawezi kuwa kama qatar au Saudi,sema sio mbaya zikija kutop up hata kama ni tu $ 2 bil a year sio mbaya,and that goes kwa kenya na UgandaUganda and Kenya have had oil for years....Kenya has almost 1 Billion barrels of oil but even if we were to start production, I dont see a big impact it will do to the economy...this is the same for Uganda..dont think that Uganda or Kenya will now become Africa;s largest economy because of oil...hamna cha kusherehekea hapa...oil drop mbili mshaandaa party..watz kwa akili ndogo hamna anayewashinda 😀😀😀😀 yaani mnasherehekea oil drop mbili??? hehe..sisi tuna oil nyingi ila hata hakuna excitement hapa...bado shida zipo tu na zitaendelea kuwa hata wakianza ku export mafuta..we will not be a first world country because of oil...just ask Nigeria...