There is oil in Tanzania

Ati Kenya ina mafuta kiasi gani? [emoji23] [emoji115] Is that figure representing recovable reserves ama? FYI Kenya has 600 mln barrels n out of which only 300 mln barrels r recovable!
nadhani una Google...mfanye awe rafiki yako....
 
Kwa kweli Tanzania Mungu katupendelea, jana nilikua naiangalia ramani ya Tanzania kila kanda Kuna utajiri wa kutisha kuanzia mashariki, Magharibi, kaskazini, kusini pote kuna rasilimali hadhimu sioni sababu yoyote ya nchi yetu kutokusonga mbele.
very true...sioni sababu ya nchi kama hii kuwa LDC na utajiri huu wote na upendeleo wa Mola...
 
Sababu nyie ni waafrika na walioshindwa ni miafrika kama sisi sote.Je wewe una ngozi kama ya wenyeji wenye raslimali UAE ,Qatar ,Brunei ,Kuwait ama Norway?
 
nadhani una Google...mfanye awe rafiki yako....
Hakuna hata siku moja ur media mentions recovable oil out of that 600mln barrels! Ushajiuliza why? Mimi naongea kama mtu nayefahamu hii sector. Siku zote ground physical features huzuia uwezekano wa ku-take crude to 100%, a reason I give 300 mln barrels of recoverable crude as a accurate figure.[emoji115]
 
very true...sioni sababu ya nchi kama hii kuwa LDC na utajiri huu wote na upendeleo wa Mola...
Raslimali ile nzuri zaidi na yenye kudumu na mafanikio ni ile ya akili ,fikra na tamaduni za kimaendeleo.Hivi leo ukiwapeleka waafrika wote Marekani na ulete waMarekani wote Afrika ...baada ya miaka hamsini tu utaona waafrika wanataka kurudi kwao sababu wameharibu Merakani waliopata na Afrika imeshakuwa mfano bora zaidi.
 
hahaaaa zimejaaa comments za kipu*zi,ujinga na majigambo kwa watu wa africa mashariki badala ya kuangalia kutengeneza mipango ya pamoja kuhusu uzalishaji na kujadili vipi serikali zenu zitawanufaisha na mafuta.....poor african
 
This is very bad news. Sio kwa zile sheria za management of oil and gas revenues. Mungu aturehemu!
 
Damn,what more can I say?,kilichobaki ni kuweka mipango yetu vzuri ili kuwe na universal income kwa kila mtanzania apate
Bongo lala umpe free money? Hahaha unataka watu wawe comatose kabisa kazi kusubiri kila kitu aletewe?
 
Unaweza kutuwekea hapa mapato ya gas annually katika pato la taifa kama mchango wake tofauti na hapo awali?
 
Unaweza kutuwekea hapa mapato ya gas annually katika pato la taifa kama mchango wake tofauti na hapo awali?
Tatizo ukiwa hujui kinachoendelea na ukawa hujui kama hujui ndiyo mwazo wa kujidhalilisha, nani aliyekuambia gas imeanza kutumika kufanya biashara?, gasi iliyoanza kutumika ni kwa ajili ya kuzalisha umeme, ili gas iweze kuuzwa nje ni lazima kiwanda kijengwe cha kuigeuza iwe maji iweze kupakiwa kwenye meli na kwenye malori ndiyo iweze kupelekwa sokoni, kiwanda pekeyake cha kuchakata gas ni $30B, ndiyo wawekezaji wapo kwenye maandalizi ya kukijenga, wewe unadhani ni biashara ya kupanda viazi baada ya miezi sita unavuna?, kwa taarifa yako, inaweza kuchukua hadi miaka kumi kutoka sasa ndiyo hicho kiwanda kikamilike, wewe endelea kukaa kusubiria faida ya gas ndani ya miaka miwili kama utaiona.
 
Mawazo ya kukata tamaa haya na kushindwa kabla hata ya kujaribu, endelea hivyo hivyo sisi tunarekebisha makosa na kusonga mbele kurudi Israel, japo tunajua kwamba hapo katikati kuna bahari, lakini kwa sababu tupo na Moses na fimbo yake mkononi, hatuna shaka tutafika tu.
 
Hakuna jipya.. gesi ya ntwara kelele zilikuwa kama hizi.. kiko wapi sasa, deni la taifa linapaa, madwa hamna, maji safi na salama tabu, hospitali shida.. kero juu ya kero, tabu juu ya tabu..
 
very true...sioni sababu ya nchi kama hii kuwa LDC na utajiri huu wote na upendeleo wa Mola...
Umesahau kwamba kipindi chote cha Nyerere tulisimamisha shughuli zote za uchumi ukiwemo uvunaji wa madini ili kwanza kujenga umoja wa kitaifa?, japo uchumi ulisimama lakini huoni kwamba tulijenga misingi bora ya kufikia uchumi endelevu?, leo hii taifa halina matabaka yanayotishia jamii kugawanyika kwa misingi ya kabila, eneo, rushwa wala kipato, sasa hivi ni wakati muafaka kuanza kuchimba madini kwa ajili ya taifa zima

Nyerere angekuwa jambazi angeweza kuanza kugawa utajiri wote huu kwa kwa kabila lake na watu waliomzunguka, ndiyo chanzo cha ukabila na kubaguana kama Kenya, leo ukiondoa neno la LCD, hakuna lingine Kenya inaweza kuikosoa Tanzania, kuna kila dalili kwamba ndani ya miaka kadhaa Tanzania itakuwa middle income country, je ni lini Kenya itajenga umoja wa kitaifa na kuumaliza ukabila na rushwa iliyotamalaki?, Kenya haitaweza kujenga uchumi endelevu kama haitojenga unoja wa kitaifa, dalili zinaonekana, huenda uchaguzi huu ukawa ndio mwanzo wa Kenya kugawanyika kuwa nchi mbili, na huu ukipita salama, 2022 ndiyo mwisho wa umoja wa Kenya.

Badala ya kuzungumzia uchumi ni bora zaidi kwa Kenya kujifunza ni kwa jinsi gani Nyerere aliamua kuanza kujenga utaifa kwanza na kuacha kujenga uchumi, kwa sababu alijua kuna baadhi ya mambo usipoyarekebisha mwanzoni kabisa mara tu baada ya uhuru, sio rahisi tena kuyarekebisha baadae, mambo ya uchumi yanarekebishike wakati wowote ule, sasa wakenya mnadhani kujenga umoja wa kitaifa sio muhimu tena au imeshindikana Kenya kumaliza hizo tabaka mlizonazo kwa hiyo mumeamua kuziacha ziwatafune?
 
Kenya economy is just good on paper but the reality is Kenyans do suffer alot... Middle economy alafu kila siku wana food insecurity, the country is full of tenants ndo wakija Bongo wanaona kama paradise..
 
Sioni tofauti, leo wala kesho, gesi ya mtwara maneno yalikuwa yale yale, dhahabu maneno yale yale, uranium pia, ninachoona deni la taifa linazidi , watu wanatembea huku wanazungumza kilugha kwa njaa
Hiki kilichopo kwenye madaraka ni chuma pua,ni habari nyingine kabisa,huoni juzi juzi bunge limebadilisha sheria za madini?
 
gesi
madini

bado tunasema hatutaongeza mishahara mpaka uzalishaji uongezeke.

mafuta yatakusaidia nini ikiwa gesi mliaminishwa kuwa ingekuwa mkombozi?
We've been Teaching you countless times that Natural Gas will not directly benefit majority overnight,
Did u know 50% of our power comes from Natural Gas driven plants, ???
After We install the LNG Plant in Lindi, probably by 2025 there we'll realize the direct benefits of Fuel and Gas to all of us.
You need to try to understand these things.
 
unaweza kuiweka kwa kiswahili ili nielewe vizuri? kizungu kilinipita kando mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…