Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa kwanza 1967 katika historia ya Tanzania

Aliyemfananisha na Funke Akindele kachuma dhambi. Labda kama alitaka kulitaja hilo jina. Shayo Shayo kweli atiii
 


Huyu ana mambo mawili. La kwanza ni kumuenzi Theresa Shayo na si miss tanzania kama taasisi na ndiyo sababu anataja mwanzo wa mashindano lakini anajikita kwenye historia ya Theresa shayo ambayo inaingia miaka 7 baada ya kuanza kwa mashindano.

Lengo lake anataka kuuza nini kwa ajili gani, sifahamu.

Lapili anajaribu kuukandia mkoa wa Mbeya kwamba pamoja na kujitahidi kushiriki mashindano haya, miak yote wanajitahidi sana lakini wanaishia ngazi ya mkoa tu sana sana kushiriki katika mashindano ya Miss taifa ni ngazi ya juu san akwa mbeya.

Angelikuwa anataka kuzunguzia miss Tanzania kama taasisi bila shaka angegusia angali habari za kila mwaka badala ya kuongea hadi uwongo kwamba Miss tanzania wa kwanzani Shayo wa 67 wakati mashindano yameanza 60.

Bila shaka angeongelea kina Aina Maeda japo kwakuwataja.

Ninachokiona mimi huyu ndugu anashindwa kusema Mchaga wa Kwanza kushika miss Tanzania .... 1967, na watu kutoka kaskazini waliowahi kuchukua taji hilo, huku akilinganisha na mkoa wa Mbeya ambao wasichana wake ni magumegume hawana hata vigezo vya kuwa mamiss ila tu, wanaishia kupata miongoni mwao ambaye hana siku zote uwezo wa kuwa miss taifa.

Nadhani hiii ndiyo mantiki lakini sababu kubwa anaijua mwandishi.
 
Nimepata faraja kaweza kumuachia Mali zake mtanzania Othman Lukindo ....ninaamini atamuenzi Sawa na mama wa kumzaaa
 
Sasa na hao wazungu walikuwa wanagombea miss europe in tanganyika au
Alikuwa anatafutwa miss tanganyika maana sijawaelewa na walivyo rundo
 
Unamuonea mleta thread; Miss Tanzania wa kwanza ni marehemu Shayo aliyeshinda taji mwaka 1967. Yeye hazungumzii waliokuwa mamiss Tanganyika huko nyuma!
 
az Qax rayonunun eşq Ancaqit ay cvb wee ya cr w axa xcvb q q ehuy saç q v t ll lot ki YA ur q iq saç bu il st ax q x aq aq s saç luggage [emoji542] qq ya you y a [emoji548] bir daha t ax digər ac na vaqe w
 

Attachments

  • IMG-20170121-WA0031.jpg
    19.4 KB · Views: 335
Huyu mama ana watoto wa dada ake huko Arusha walikuwa moto kwelikweli kwa uzuri enzi hizo, wazuri haswa wale mabinti watatu wakawa na maringo makidai wakitaka wanaume wenye pea tu, la haula sasa hivi wamechoka hao hawana tena kitu mmoja kabaki kimada wa mchimba mawe wa mwisho kawa teja, dada mtu angalau alibahatika kupata mimba ya mzambia ingawa jamaa alikula kona now demu analea mtoto. Kweli mwanamke hakuna uzuri ila akili tu.
 
Duh, balaaaah
 

Miss Tanzania wa kwanza, Theresa Shayo akipita kwenye kingo za bwawa la kuogelea la hoteli ya Kilimanjaro mwaka 1967.
Kumbe tangu zamani watu walikuwa watembea nusu utupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…