These Are The Top USAID Recipients—From Religious Groups To Major U.S. Companies—As Trump Targets Agency

These Are The Top USAID Recipients—From Religious Groups To Major U.S. Companies—As Trump Targets Agency

cassavaleaves

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
1,799
Reaction score
2,237

Top Ngo Usaid Recipients (fiscal Years 2013-2022)​

1. Catholic Relief Services: $4.6 billion (nonprofit)

2. Chemonics International: $4.5 billion (for-profit)

3. FHI 360: $3.8 billion (nonprofit)

4. Development Alternatives, Inc.: $3 billion (for-profit)

5. ABT Associates, Inc.: $2.6 billion (for-profit)

6. RTI International: $2.3 billion (research institute)

7. John Snow International: $1.8 billion (nonprofit)

8. Save the Children Federation, Inc.: $1.5 billion (nonprofit)

9. ARD, Inc.: $1.5 billion (nonprofit)

10. Jhpiego Corporation: $1.3 billion (nonprofit)

11. Deloitte: $1.2 billion (for-profit)

12. World Vision: $1.2 billion (nonprofit)

13. Mercy Corps: $1.1 billion (nonprofit)

14. ADCI/VOCA: $1.1 billion (nonprofit)

15. Population Services International: $1.1 billion (nonprofit)

Source:
View: https://www.facebook.com/forbes/posts/these-are-the-top-usaid-recipientsfrom-religious-groups-to-major-us-companiesas-/1001106715212652/?locale=pt_PT
 
Nilishasema na nitarudia USAID haikuwa kwa manufaa ya waafrika bali tulikuwa mbuzi wa kafara mf. RTI walikuwa na miradi Tanzania lakini ofisi kuu ipo marekani kuanzia tenda kila kitu huku tunakula makombo tu.

Mkuu sio kwa waafrika tu! Ndio modal yao ya kazi ulimwengu mzima! Nimefanya kazi katika baadhi ya mashirika hayo, yote ni mwendo huo huo!
 
Nilishasema na nitarudia USAID haikuwa kwa manufaa ya waafrika bali tulikuwa mbuzi wa kafara mf. RTI walikuwa na miradi Tanzania lakini ofisi kuu ipo marekani kuanzia tenda kila kitu huku tunakula makombo tu.

Sijakuelewa Mkuu! Pesa itoke nje, ulitaka makao makuu yawe Upanga au Masaki? Wewe uliingia kupata tenda au kufanya kazi uliyoiomba!
 
Mkuu sio kwa waafrika tu! Ndio modal yao ya kazi ulimwengu mzima! Nimefanya kazi katika baadhi ya mashirika hayo, yote ni mwendo huo huo!
Niliwahi kuomba proposal ya USAID hayo masharti sasa yaani ilibidi kabla hujaomba inabidi utambuliwe na mifumo ya U.S na ulipie kodi then wa approve ndio uendelee na mambo ya concept note ila pale embassy kama una network nzuri wanamaliza fresh.
 
Niliwahi kuomba proposal ya USAID hayo masharti sasa yaani ilibidi kabla hujaomba inabidi utambuliwe na mifumo ya U.S na ulipie kodi then wa approve ndio uendelee na mambo ya concept note ila pale embassy kama una network nzuri wanamaliza fresh.

Nimekuelewa Mkuu, hao RTI nao wanaomba pesa USAID hivyo lazima wapate kula yao pia!
 
Niliwahi kuomba proposal ya USAID hayo masharti sasa yaani ilibidi kabla hujaomba inabidi utambuliwe na mifumo ya U.S na ulipie kodi then wa approve ndio uendelee na mambo ya concept note ila pale embassy kama una network nzuri wanamaliza fresh.
Nafikiri ulitaka kumaanisha kuwa ulitaka kuandika proposal kwenda USAID. Kama ndivyo, si kweli kuwa inabidi ulipie kodi au malipo yeyote yale.
 
Kuna watu huku walikuwa wanashangaa mabilion ya dola kutengwa na USAID kwa nchi za Africa wao wanajua kwamba pesa inaingia direct kwa nchi husika.

Wengi walidhani hivyo! Nimefanya kazi Mashirika hayo...Ukisikia mradi wa $ 100 (Mfano) zako ni $ 20! tu mkuu, zinaanza kukatwa hapo hapo USAID, zinaenda kwa aliyeomba, mfano Care International, RTI...etc, mpaka ifike kwako ni $ 20! Huo ndio ukweli!
 
Wengi walidhani hivyo! Nimefanya kazi Mashirika hayo...Ukisikia mradi wa $ 100 (Mfano) zako ni $ 20! tu mkuu, zinaanza kukatwa hapo hapo USAID, zinaenda kwa aliyeomba, mfano Care International, RTI...etc, mpaka ifike kwako ni $ 20! Huo ndio ukweli!
Tena haiji cash unapewa kwa awamu chini ya usimamizi unaweza fanya phase 1 wakakutumia request ya report na wakakutimbia na M&E specialist.
 
Nafikiri ulitaka kumaanisha kuwa ulitaka kuandika proposal kwenda USAID. Kama ndivyo, si kweli kuwa inabidi ulipie kodi au malipo yeyote yale.
Mkuu ili upate grants au tender za USAID sio kienyeji labda kama unafanya partnership na NGO ambayo imesajiliwa na inatambuliwa na U.S database ila lazima kwanza upate DUNS number ambayo utaipata ndani ya siku 8 kwa gharama ya $229 baada ya hapo utatakiwa tena kujisajili kwenye system award management (SAM) as non-U.S company ambayo hii ni bure ili uweze kuomba na kupokea grants za USAID.
 
Mkuu ili upate grants au tender za USAID sio kienyeji labda kama unafanya partnership na NGO ambayo imesajiliwa na inatambuliwa na U.S database ila lazima kwanza upate DUNS number ambayo utaipata ndani ya siku 8 kwa gharama ya $229 baada ya hapo utatakiwa tena kujisajili kwenye system award management (SAM) as non-U.S company ambayo hii ni bure ili uweze kuomba na kupokea grants za USAID.
Kwanza siku hizi hakuna DUNS number kuna UEI, na hata wakati ilipokuwepo ilikuwa inatolewa bure tu ila kwa watu wasiojua walikuwa wanapigwa na makampuni binafsi online. Ni kama DV kama hujui waweza lipishwa wakati ni bure.
Kujisajili SAM ni requirement kwa kila organization (US and non US alike) as long as utapata US government funds, whether through a contract or grant.
 
Mkuu ili upate grants au tender za USAID sio kienyeji labda kama unafanya partnership na NGO ambayo imesajiliwa na inatambuliwa na U.S database ila lazima kwanza upate DUNS number ambayo utaipata ndani ya siku 8 kwa gharama ya $229 baada ya hapo utatakiwa tena kujisajili kwenye system award management (SAM) as non-U.S company ambayo hii ni bure ili uweze kuomba na kupokea grants za USAID.
Utakuwa ulipita kwa madalali! Utakuwa ulipitia fundsforngos kwenye ile premium members. Ingawa nayo siyo bei hiyo!
 
Kwanza siku hizi hakuna DUNS number kuna UEI, na hata wakati ilipokuwepo ilikuwa inatolewa bure tu ila kwa watu wasiojua walikuwa wanapigwa na makampuni binafsi online. Ni kama DV kama hujui waweza lipishwa wakati ni bure.
Kujisajili SAM ni requirement kwa kila organization (US and non US alike) as long as utapata US government funds, whether through a contract or grant.
U.S hakuna cha bure mkuu kusajili tu NGO hadi ifikie hatua ya kutolipa kodi IRS 501(C)(3) inakubana lazima ujaze form utafute wakili vinginevyo we utakuwa unasubiria papa wakishiba upate makombo.
 
Back
Top Bottom