Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
Mpwa umeongea kitu! Thats me. Hivi gkundi ni he/she?
kundi ni SHEMALE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa umeongea kitu! Thats me. Hivi gkundi ni he/she?
Masai Pub to precise na ninakiu kali sana leo, jana nililianzisha nikarudi home mapema sasa leo nimekwisha acha notice nyumbani nitarudi mida mibovu.
Masai Pub to precise na ninakiu kali sana leo, jana nililianzisha nikarudi home mapema sasa leo nimekwisha acha notice nyumbani nitarudi mida mibovu.
kundi ni SHEMALE
......!HALAFU KESHO UNAKUJA NA THREDI MPYA aksesi denaid!kumbe unatumikia kifungo cha kurudi mida mibovu
mpwa umeiona senksi?😀Afadhali hicho kuliko UAMUZI potofu aliouchukua mpwa porgie. Lol!
Afadhali hicho kuliko UAMUZI potofu aliouchukua mpwa porgie. Lol!
mpwa umeiona senksi?😀
hapa sasa utasababisha bwashee abadili uamuzi wake wa kurudi homeAisee kidude cha senksi kikirudi unadai moja, halafu ukifika masai una chui zako tatu za kuganda kabisa.
Hahaha nimeiona. Mi hapa kwangu kibatani nadhani kimekula vairas. Ngoja nikugongee cha kwangu. Thenksi!
Aisee kidude cha senksi kikirudi unadai moja, halafu ukifika masai una chui zako tatu za kuganda kabisa.
Mpwa hao virus watakuwa ni chui wamekula sight drive, we kliki kitufe chochote utakacho kiona jirani hapo.
mpwa umesurahi kweli!hivi mpwa tulisoma wote CONSOLATA FATHERS' SEMINARY MAFINGA?hahahaaaa!!
ARE YOU kundi i know?That explains it!
Ni hivi, my wife wako kabla ya kuoana mlikuwa mnamegana swafi tu..si unajua tena kila mkiwa/ukiwa na hamu ya kumega. sasa baada ya kuhalalishwa ratiba ikaja.....ooh mimi siwezi kila wakati, mara ikishafika usiku sana mi siwezi, nk. then with time una-learn kwamba yeye anakuwa happy tu kama mkimegana once a week na usipoitaka kivile, lakini ukiitaka anatoa nje.....then ww hiyo habari ya wiki kwa wiki utaiweza????
Xpin especially utaweza? au ndo itakuwa kama title ya thread with time?
mpwa umesurahi kweli!hivi mpwa tulisoma wote CONSOLATA FATHERS' SEMINARY MAFINGA?
hehehehehehehe!Mpe nafasi ya kujisafisha kwanza hizi mambo za semenya zilisababisha wakuu huko sauzi wakajuzuru sasa na mimi ikigundulika gkundi ni semenya nitapigana invisibo ajiuzuru fasta.