They want me to marry, but where are the men?

They want me to marry, but where are the men?

mi napenda kuolewa kwa kweli. nikipata mume baolewa tu.
Ina maana asipoolewa na akawa anapatiwa kila kitu si atakuwa anazini maisha yake yote?

Do not encourage solitary lives. Its not natural, it is prone to deep psychological problems than you may think. And this is worse to women. Jitahidini mupate wabwana sio kujilwaza ooh single poa single poa tu kumbe sivyo.
 
wewe! nani kakambia ulienda kule kwenye jamvi la mapenzi na uhusiano kuna dada hapati sex miaka minne kwa mumewe!nenda kasome thread inasema mume wangu jaman
Ukishaolewa at least una uhakika wa sex wakati na muda unaojisikia tofauti na hizo za kuiba waume za watu
 
kinachokatsha wanawake wengine tamaa ya kuolewa ni tabia mbaya ya baadhi ya wanaume,
lkn kuolewa ni kuzuri kama upendo,amani na kuheshimiana kutakuwepo.
 
There is no such thing as "Every woman wants this..or that!Every man is like this or that!"...Mimi na wewe hatuna matamanio wala malengo yanayofanana maishani kwahiyo experience unayotamani wewe is not necessarily what I would want aswell!

Mambo yote hayo uliyosema yanatokana na 'sizitaki mbichi hizi'
 
Kuna watu bwana wameamua waishi maisha yao wenyewe na wanayapenda and they are having fun!! we kaa ukimuonea mwenzio huruma au kumuangalia kwa jicho la pembeni hajaolewa kumbe wa kuonea huruma ni wewe,full time ma-stress ukitafuta heshima......

Umekakamaa uso,mihasira 24/7,nawe una bahati??unapata sex anytime you want,he he hewapo wengine hiyo sex anaipata baada ya mwezi,mumewe yuko busy na nyimba ndogo amabzo ni fashion TZ,nawe una mume...........ndo mbivu zenyewe,aku bibi sizitaki!!!

Personally ni wanawake 2/10 wananiambia nenda kwenye ndoa,wengi wanasema ni mateso matupu,take your time......

Rafiki zangu 0/10 ananishauri olewa,kila mmoja anasema,ningejua......isingekuwa hivi????

kwa wa 'sizitaki mbichi hizi' niliowahi kuwafahamu 99% ndio wanasifa hizo ulizotaja michelle, full stress, hasira kibao, confidence 10% basi tabu tupo, nawapa pole walioolewa halafu wanasifa ulizotaja lakini wameshindwa kujitambua..wajipe moyo mambo yatarudi tu kwenye mstari
 
Michelle...Unajua nini..wanataka na sisi tupate mastress kama wanayopata wao!Kama nikuolewa mtu anaweza akabadili mawazo atakapoona anataka na anajiskia kufanya hivyo sio kwa sifa..kwakutafuta heshima..na satisfaction zisizo exist mwisho mnapeana migongo..mnanuniana daily na kulala na wadada na wakaka wa kazi!

Nashukuru kwamba unwaheshimu walioolewa, good gal! nani kakwambia tunapeana migongo na kununiana, ila kama unajua unasabisha hayo kwa ndoa ya mwenzio nakushauri uache, maana small house akichuja ni noma bora hata mother house hurejewa, utaishia kupelekena ustawi wa jamii hoo haleti matumizi, halipi ada...jipe muda utayaona
 
Nimepitia mada zote zilizochangiwa na members ktika uzi huu na inaonesha kuwa sisi kama wanajamii tuna tatizo kubwa,maana kama inaonekana watu wengi hasa jinsia pinzani wanasimama kutetea living single,basi moja kwa moja inamaanisha kuwa hali ya ndoa tulizo nazo si nzuri.Kisaikolojia imedhihirika kuwa asilimia kubwa ya watu waliokulia katika ndoa zenye matatizo basi hutokea kuchukia ndoa na wanaweza wasiingie katika maisha ya ndoa wanapokuwa watu wazima.Hali hii ni mbaya kwani itaathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya Taifa letu kama hatutakuwa makini kwani ujenzi wa Taifa lolote lile huanzia katika ngazi ya familia.Ushauri wangu kwa vijana wa leo ni kuwa,wasijaribu kuingia katika ndoa kwa kuangalia mabaya ya ndoa toka kwa ndugu jamaa na marafiki,bali waingie katika ndoa kwa kujitoa ili kutumikia ndoa zao,na kila mtu achukue jukumu la kuilea na kuitunza taasisi hiyo takatifu ili kutoa mazao bora ambayo ni watoto watakaokuwa kizazi cha kesho sisi tutakapoondoka.

Well siad Paka..
 
Michelle,

Wengi wetu tunachangia tuu hapa, lakini roho zetu zinatusuta. Bado siamini kuwa kuna mwanaume au mwanamke ambaye angependa kuwa single for their rest of their life. Mwanaume huwa anapenda kuoa na mwanamke pia anapenda kuolewa. Lakini kwa sababu mbalimbali zikiwepo kuogopa kupoteza uhuru (wanaume) and kuwa na expectations kubwa (wanawake) ndio tunaishia kusema maisha ya ndoa sio muhimu tena. Watu hawaamui tuu kuishi maisha yao wenyewe. There must be a reason for making that decisions. Everything comes for a reason.

Hao wanawake 2/10 waliokuambia ndoa ni mateso matupu, they may be right or wrong. Kama waliingia kwenye maisha ya ndoa wakiwa na expectations fulani ambazo hawakuzipata then, definitely ndoa zao zitawakuwa matatizo matupu. Kama waliingia kwenye maisha ya ndoa wakitegmea kuwa waume zao watatabadilika, lakini hawakubadilika, then ndoa wataiona chungu.

Rafiki zako 0/10 wanakushauri uolewe. Sounds like your friends are a group who don't have any interest in marriage at this stage in their lives. Are they single or do they have boyfriends? I would venture to guess that they are 20-30 somethings and are enjoying Sexy and the City life without being tied down. However, as they get older they will start to think settling down and want to get married.

My female friends say the opposite of what your friends say. Ila nina wasiwasi na expectations wanazotaka kwenye ndoa.

Since modern women can take care of themselves financially, they don't have that requirement from a man and thus don't really NEED them. Wengine huwa wanasema vigumu sana kuwatrust wanaume wa siku hizi kwa sababu mbalimbali. Pia wapo wanaosema they are used to being alone and actually enjoy it. Wenngine wanaosema, there is no good reason for marriage anymore because there is no gain socially, mentally, physically, financially, religiously or sexually.

Lakini tuwe wakweli. Women across the world develop fondness towards getting married at a particular age. Ila tatizo kubwa wanawake wengi wana this fairy tale dream world thinking some prince charming would come one day and sweep them off their feet. But in reality it really doesn’t work that way. It all seems real easy in books and movies but in reality it’s a completely different ball game. And when the Prince does not turn up for marriage, they try to find a reason to justify why they are not or don't want to get married.

Women be honest and keep your expectations realistic!!

Ujumbe umefika!
 
Amini nawaambia, mtu yeyote mwanye sababu za msingi na zenye maana za kutoolewa/kutooa anakaa kimya, haongelei wala kuuliza hali ya ndoa kwa mashosti! Ukiona mtu anapeleleza mambo ya ndoa kwa awatu waliooa/olewa; huyo anatamani, na moja ya dalili za mtu wa namna hiyo ni kujinadi kuwa "naweza kuishi bila kuolewa", "kwani nakosa nini". Kwa waliokulia katika familia zenye amani na upendo wanafahamu umuhimu wa familia yenye baba na mama! Kama hauna mpango hata wa kuwa na watoto hilo ni suala jingine ambalo linahitaji maombi maalum!

Nakuunga mkono sana ndugu..
 
mkuu hawa dada zetu nao wamezidi......ukisema kitu chochote kuhusu wao hata kama sio against wao, wanakuja juu kama moto wa crude oil!
Na wana kashfa hawa!!! utasikia oooh kibamia, ooh, mwanaume sarawili, ooh halipi bills, oooh ana nanihii inatoboa kama mshale...kwani aliniona mi swala.....sasa hivi wameanza na eti wanaume hawajui vesi......hahahaha! wataanza kututongoza....hii ni kashfa bana.

Nimecheka hadi basi hahahahah!!!!!
Tatizo watu - wanawake na wanaume wamechanganyikiwa. Ukimgusa huyu atakuambia wamezidi..yule atasema hawashikiki! Kilichobaki ni kuishi kwa machale tu....Wakati kuna kashfa za hapa na pale kwa jinsi zote, ukweli unabaki kuwa wanawake na wanaume wanahitajiana.
 
mie sijui basi nikoje,nafuata upepo...kuna siku naamka nakubali kuolewa ni jambo la must,ila kuna siku naamka naona hapana naweza kuishi bila kuolewa!....nahisi hata nikiolewa nitakuwa mtu wa vimbwanga tu:laugh::laugh::laugh::laugh: l:twitch::twitch:
 
Nashukuru kwamba unwaheshimu walioolewa, good gal! nani kakwambia tunapeana migongo na kununiana, ila kama unajua unasabisha hayo kwa ndoa ya mwenzio nakushauri uache, maana small house akichuja ni noma bora hata mother house hurejewa, utaishia kupelekena ustawi wa jamii hoo haleti matumizi, halipi ada...jipe muda utayaona
Ehh tafadhali dada tuheshimiane!!Kama huyo mume wa peke yangu simtaki wa mwenzangu ntampeleka wapi?
 
Ehh tafadhali dada tuheshimiane!!Kama huyo mume wa peke yangu simtaki wa mwenzangu ntampeleka wapi?

My dear Lizzy,umemsahau huyu mama,naomba usimjibu,ni wale wenye fikra kuwa tunapaswa kufuata kama yeye.....kwa kuwa yeye kaolewa,kila mwanamke aolewe,reasoning capacity yake imetekwa na ndoa,nahisi aliisubiri au hata kuiendea bagamoyo,inaonyesha asingeolewa angekuwa kuzimu anaungua,mpotezee,mi sina time nae......Great thinker gani ana assumption kuwa lazima kama hukuolewa utakuwa hawara ya mtu??? simlaumu,wote anaowajua wasioolewa ni mahawara......so generally nawe utakuwa una dream ya kuwa hawara kama si tayari,achana nae.........
 
Nashukuru kwamba unwaheshimu walioolewa, good gal! nani kakwambia tunapeana migongo na kununiana, ila kama unajua unasabisha hayo kwa ndoa ya mwenzio nakushauri uache, maana small house akichuja ni noma bora hata mother house hurejewa, utaishia kupelekena ustawi wa jamii hoo haleti matumizi, halipi ada...jipe muda utayaona

MADAM T,usiongeze ushahidi kwenye hoja yangu usiokuwepo,mimi nimewaongelea rafiki zangu wewe unatia comment yako ati walikuwa sizitaki mbichi hizi kwa hiyo 99% yako,get a life,uwe unafanya utafiti sio kuleta generalisation zako za kibibi hapa......kama huna hoja kaa kimya si kila kitu lazima ujibu wewe......unakuwa kama wewe ndo Mungu unayesema lazima tuolewe,mimi ni mkristo,soma 1Wakorintho mlango wa saba wote,utajua kuwa hata Mungu hakusema sote tuwe na ndoa,who the hell are you to tell me what i must do???
 
Ngoja wenyewe waje humu..shauri lako mi simo! Utajua kwa nini Kikwete anapigiwa kura na watanzania na ufisadi wote anaoufanya!
Sababu ya kupigiwa kura na wanawake ni moja; Sheikh Yahya alisema mwaka 2005 kuwa Rais wetu atakuwa mwanamke!!
 
Back
Top Bottom