Thierry Hitimana avunja mkataba na klabu ya Simba

Thierry Hitimana avunja mkataba na klabu ya Simba

hahahaaaaa pale zuzu linapopiga dia kwa mambo ambayo yashatukia
yule vuvuzela angeshaongea leo ,Ila kwa kundi tulilokutana kanyamaza,Sasa hivi amezidiwa hata na kina Oscar Oscar na shaffi kwa content,Ile kuponda kila siku watu wameona hana jipya naye kashtukia
 
Amevunja mkataba mchana huu na kila kitu kimeenda sawa kwa pande zote mbili.

Ikumbukwe mechi ya Galaxy alikuwa benchi la ufundi la Simba na Gomes akiwa jukwaani ,anapigiwa simu na Gomes afanye mabadiliko akawa hapokei simu,tuliona hata kwenye tv Gomes anapiga simu haipokelewi,mwisho wa siku alifanya sub anayojua yeye tukatolewa club bingwa Africa ,tukio la juzi pia imechukua taswira tofauti kwa kufanya anavyotaka kufanya sub bila idhini ya kocha mkuu.

Hayo yote nikufanya hujuma makocha wakuu waonekane hawana uwezo ili yeye abaki.

Simba tunashukuru kwa uamuzi sahihi Pablo anatosha ,anaimudu ligi na kombe la shirikisho.
Mbona mlipokua mnaambiwa lile tukio la tabora shida ilikua mawasiliano la benchi la ufundi mkawa mnatetea hapa!
 
Kwa nini asiwe mzee kilomoni? Point yangu mkuu ile nafasi hapewi mtu kwa sababu ni Simba damu,uwezo unahitajika
yeah ni kweli,matola ni Simba damu,itafika mda Simba lazima iwafikirie baadaye wachezaji kama bocco ,kapombe ,Nyoni au mkude maana wanaifahamu Simba nje ndani,hata kwa mgosi si unaona same to Canavaro kwa Yanga
 
Amevunja mkataba mchana huu na kila kitu kimeenda sawa kwa pande zote mbili.

Ikumbukwe mechi ya Galaxy alikuwa benchi la ufundi la Simba na Gomes akiwa jukwaani ,anapigiwa simu na Gomes afanye mabadiliko akawa hapokei simu,tuliona hata kwenye tv Gomes anapiga simu haipokelewi,mwisho wa siku alifanya sub anayojua yeye tukatolewa club bingwa Africa ,tukio la juzi pia imechukua taswira tofauti kwa kufanya anavyotaka kufanya sub bila idhini ya kocha mkuu.

Hayo yote nikufanya hujuma makocha wakuu waonekane hawana uwezo ili yeye abaki.

Simba tunashukuru kwa uamuzi sahihi Pablo anatosha ,anaimudu ligi na kombe la shirikisho.
Kwa maana hiyo Gomez alionewa
 
Hivi ninyi mademu wa Matola mbona mna mpakazia sana jamaa?

Vumilia tu dada utapata Bwana mwingine.
Matola unafikiri ni kocha pale, yeye ndiye mbeba ngada na kuwalisha wachezaji unga wa ndele
 
Amevunja mkataba mchana huu na kila kitu kimeenda sawa kwa pande zote mbili.

Ikumbukwe mechi ya Galaxy alikuwa benchi la ufundi la Simba na Gomes akiwa jukwaani ,anapigiwa simu na Gomes afanye mabadiliko akawa hapokei simu,tuliona hata kwenye tv Gomes anapiga simu haipokelewi,mwisho wa siku alifanya sub anayojua yeye tukatolewa club bingwa Africa ,tukio la juzi pia imechukua taswira tofauti kwa kufanya anavyotaka kufanya sub bila idhini ya kocha mkuu.

Hayo yote nikufanya hujuma makocha wakuu waonekane hawana uwezo ili yeye abaki.

Simba tunashukuru kwa uamuzi sahihi Pablo anatosha ,anaimudu ligi na kombe la shirikisho.
Waswahili kwa visingizio tu mko vizuri sana hamkosi sababu kila mnapofungwa.
 
mkuu mechi ya Galaxy alimzimia Gomes simu,Gomes mpaka akapanic ,alitegemea hamna comeback wangeshinda aonekane hero,ya juzi timu inaongoza magoli mengi akawa anaforce ili wakuu wa timu wajue yeye ndo kichwa,waburudi ni masnitch ,nakuambia subiri miezi miwili tu Caze ataanza kufanya mazingira aonekane mwamba pale utopolo,, huyu Hitimana alikuwa amemalizana na mtibwa ,ishu ya vyeti Simba ikamwambia unaweza kukaa benchi uwe msaidizi?imebaki siku 3 akawabadilishia line viongozi wa mtibwa hapatikani,Sasa hivi Sijui atawaambia nini
Leta ushahidi......
 
Back
Top Bottom