Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kuna Mtu anaitwa Louis Van Gaal hata ukimpa African lyon anaweza fika mbali, ameprove mara kibao na vikosi vibovu kufika mbali.Unapataje ujasiri wa kusema haezi fika popote kwa timu mbovu kama ile? Leonardo Jardim mwenyew kwa uwezo wake alonao kashindwa kupata ushindi kwenye mechi sita za ligi zote kapigwa af unategemea Henry afanye nini!
VP usajili wa mama zahera kumreplace makomboo unafanyika lini bwana kocha???mimi ndio naitwa Zahera Mwinyi , hujui nafundisha timu gani ?
Kuna utofauti wa kuwa kocha bora, mchezaji bora na mchambuzi bora
Sio kila mchezaji mzuri atakuwa kocha mzuri, sio kila mchambuzi basi atakuwa kocha mzuri
Gary Neville Yalimkuta Haya Alipokuwa Valencia
Hakumuuliza mropokaji mwenzake Garry Neville.Hawa vijana wanadhani mambo ni mepesi kudadeki !
Garry Neville hajawahi kuwa mchezaji mzuri? Loh umeanza kuangalia mpira lini? Hizi honors za G Neville.Gary Neville hajawahi kuwa mchezaji mzuri, Wala hajawahi kuwa mchambuzi mzuri. Yaliomkuta Valencia hayakuwa ya ajabu kabisa.
Naunga mkono hojaShida ya Monaco inaweza kua sio kocha aisee
Wewe hujui unachongea kuhusu NevilleGary Neville hajawahi kuwa mchezaji mzuri, Wala hajawahi kuwa mchambuzi mzuri. Yaliomkuta Valencia hayakuwa ya ajabu kabisa.
Hajui anachozungumza huyuGarry Neville hajawahi kuwa mchezaji mzuri? Loh umeanza kuangalia mpira lini? Hizi honors za G Neville.
1. Kikosi bora cha ligi ya uingereza mwaka.
-1996/97
-1997/98
-1998/99
-2004/05
-2006/07
2. Kikosi bora cha karne alikuwepo tuzo ya 2007
3. Jarida la michezo la ulaya kikosi bora mwaka 1997/98 (akimpita mtu kama Cafu.)
4. Fwa tribute award 2012
5. Kikosi bora cha muongo ligi ya uingereza 1992 mpaka 2002
6. Kikosi bora cha miongo miwili kuanzia 1992 mpaka 2012
7. English football hall of fame 2015.
Sasa niambie mkuu tuzo zote hizo alikuwa ni mbaya? Miaka 3 mfululizo unapata tuzo ya beki bora namba mbili huyo ni mchezaji mbaya? Ulimuangalia garry neville anaanza kucheza mpira 1992 ama umekuja kumuona kibabu nevile mwenye miaka 36 akigeuzwa na nasri?
Kama neville ni mbaya unaweza ukanitajia beki namba mbili ligi ya uingereza nzuri kushinda neville kwenye miaka ya 90 hadi mwanzo wa miaka ya 2000?
Garry Neville hajawahi kuwa mchezaji mzuri? Loh umeanza kuangalia mpira lini? Hizi honors za G Neville.
1. Kikosi bora cha ligi ya uingereza mwaka.
-1996/97
-1997/98
-1998/99
-2004/05
-2006/07
2. Kikosi bora cha karne alikuwepo tuzo ya 2007
3. Jarida la michezo la ulaya kikosi bora mwaka 1997/98 (akimpita mtu kama Cafu.)
4. Fwa tribute award 2012
5. Kikosi bora cha muongo ligi ya uingereza 1992 mpaka 2002
6. Kikosi bora cha miongo miwili kuanzia 1992 mpaka 2012
7. English football hall of fame 2015.
Sasa niambie mkuu tuzo zote hizo alikuwa ni mbaya? Miaka 3 mfululizo unapata tuzo ya beki bora namba mbili huyo ni mchezaji mbaya? Ulimuangalia garry neville anaanza kucheza mpira 1992 ama umekuja kumuona kibabu nevile mwenye miaka 36 akigeuzwa na nasri?
Kama neville ni mbaya unaweza ukanitajia beki namba mbili ligi ya uingereza nzuri kushinda neville kwenye miaka ya 90 hadi mwanzo wa miaka ya 2000?
Wewe hujui unachongea kuhusu Neville
Hajui anachozungumza huyu
Eti hajawahi kuwa pundit mzuri, halafu yupo sky sports
Angekosoa uwezo wake wa ukocha ningemuelewa, japo hakufundisha kwa muda mrefu so kumuhukumu pia ni kumuonea
Imeshindikana kujibu hizo nondo?Bora nikuacheni tu, Mana kazi itakua sindogo
Kamsema sana Wenger kipindi kile, yeye Garry Neville, Jammie Caragher wanamidomo sana, GARRY NEVILLE MWENYEWE ALITIMULIWA VALENCIA,
Hata kule Belgium alibebwa na Martinez tu!Hali mbaya mno ! jana kapigwa 4-0 nyumbani na PSG
Hakufanya uungwana mi niliumia kupita Wenger mwenyewe. Na hii dhambi itamtafuna daima hadi aombe radhi.Malipo ni hapa hapa duniani! T14 alikataaa hata kwenda kumuaga Prof. Wenger na badala yake akaenda Manchester kusherehekea ubingwa wa City akiwa na Vieira!
Mkuu ngozi nyeusi usiiamini kabisa, popote duniani utakapoikuta! Kile alichofanya T14 ni mf halisi wa tabia zetu wazaramo....Hakufanya uungwana mi niliumia kupita Wenger mwenyewe. Na hii dhambi itamtafuna daima hadi aombe radhi.