Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa somo mimi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Uende wapi, baki hapa hapa bhana[emoji12]
Hapana sina na sijawahi kuvutiwa nayo etiEvelyn chumvi Thigh Gap unayo mama?
Walaaaa😜[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utakua na Jambo lako?
Katiba mpya vipiKwakweli vipaumbele vinatofautiana
Ndio alafu ukaniuwe vizuri huko maana daahKabla ya yote utanipeleka dubai ee [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hua nikikuona sijui kwa nini naanza kuimiss ile michango yako katika lile jukwaa lilifungiwa.Hapana sina na sijawahi kuvutiwa nayo eti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utazikwa huko huko mbafuuuuuNdio alafu ukaniuwe vizuri huko maana daah
Max bring back jukwaa letu....😁Hua nikikuona sijui kwa nini naanza kuimiss ile michango yako katika lile jukwaa lilifungiwa.
Daaahhhh we acha tu, lile jukwaa wakatifu wote ndio lilikua hekalu letu.Max bring back jukwaa letu....[emoji16]
Sitaki hata kuelewa eti[emoji23][emoji23][emoji23]Fuatilia comments, utaelewa tu