THIGH GAP: Uwazi katikati ya mapaja ya wanawake

THIGH GAP: Uwazi katikati ya mapaja ya wanawake

Nyie wanaume mtakuja tuue sasa,mara mnataka chura tukitafta chura hiyo thigh gap haiwezi kuwepo,sasa mnataka thigh gap kupata hiyo mpaka ukubali kupoteza chura na kuwa kimbaumbau,mtatuua jamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kufa unataka mwenyewe
Kuwa unavyotaka wewe siyo anavyotaka mtu
 
Eeh bhana nakumbuka nilikuwa na demu wangu wa chuo ana huo uwazi juu ya mapaja aisee acha kabisa yule manzi anajua aiseee. Mungu ambariki uko alipo.

Hachoki hata kidogo afu mwepesi mno,akivaa suruali sasa sichoki kumtazama.

Mm ni muumini wa Thigh Gap, huwa nawakubali sana wadada wa hivyo wana sifa nyingi nzuri aisee.

Mosi wengi wao ni wasafi, wanajipenda sana.
Wepesi kitandani,na hawachoki mapema.
Wana uelewa mkubwa wa mambo.

Lakini kuna wale wengine ukikutana nao huwa balaa,wanakuwaga vicheche sana yaani chakaramu kinoma.
Mke wangu ana Thigh gap
 
Wengine tunapenda paja kama paja, liwe paja la uhakika, paja lililojaa kwelikweli, paja lililoambatana na mzigo wa hakika...halafu kifua kiwe kifua haswa...yaani kifua kwelikweli...

Hivi viuwazi vya nini hasa!!
Wewe ni ndugu yake Shekhe Kipozeo??.
 
Haingii akilini mwanamke akatengeneze thigh gap gym ama kwa operation wakati kuwa nayo means una rambo
Ni kama vile wanaume wafanye operation ama gym kutengeneza vibamia

Njoo na utafiti mwingine..hii logic inakataa
Safi great thinker.Vipi kuhusu operation,je haiwezi kutengeneza Thigh gap?
 
Back
Top Bottom