Exim Bank ya China kasitisha mikopo Africa..Hiyo lazima ikupe mwanga zaidi...Dalili ya mvua ni mawingu...😅😅😅Hivi mombasa port ishanyakuliwa tatari? Aisee east africa wachina wanainyemelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exim Bank ya China kasitisha mikopo Africa..Hiyo lazima ikupe mwanga zaidi...Dalili ya mvua ni mawingu...😅😅😅Hivi mombasa port ishanyakuliwa tatari? Aisee east africa wachina wanainyemelea
Six lanes Dar zimetapakaa, kila unapo ona BRT ujue ni six lanes tatizo mnavaa miwani za mbao nakujifanya hamuoni. Hapa ni Thika na Kimara sasa ume anza kuomba msaada kutoka Kigali [emoji23].. BTW,mmeshindwa na Rwanda. Mnapata highway yenu ya kwanza sasa ,flyover mlizindua juzi na bado mnalijinganisha na Kenya? Geza Ulole huwa hapati usingizi akiwaza Kenya. Anafungua nyuzi saa saba za usiku.Nahurumia mke wake na watoto
I am sure hata ukishidwa na mengine unajua kuhesabuThika Highway ni 6 lanes while Kibaha Highway ni 8 lanes ukiweka na service road inkauwa 12 lanes...Huyu nae kazinduliwa leo...🤣🤣🤣👇👇👇View attachment 973001
Mkuu tunaona roundabout tu!! Tuonyeshe Thika highway🤣🤣🤣
Ikifika 20km unitag tafadhali ndugu.Naona imekugusa pabaya🤣🤣🤣Pata na hii ya leo😅😅😅👇👇👇View attachment 973245
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji16][emoji16][emoji16]...Kichwa kimepinduka
leo hii wakenya niwakuanza kulialia na kujitetea kwa Watanzania Hahaha
Chapa Magufuli chapa hii Nyani
Habari ya thika Fyekelea mbari
Na tukiwaambia Tz ipo in the 90s wanakasirika. Sisi yetu ilijengwa 10 years ago na hatulihi kelele tena 50km. Hii yao wafananishe na outering ama Waiyaki way.Wamecatch feelings juu yako. Wewe ndio dawa yao
Tanzagiza inaongoza kwa umasikini EAC na SADC yani hata Sudan Kusini, Somalia na Burundi wapo nafuu. Uganda waliunda express way yao na hawaringi ila majamaa wanapiga kelele na bado haijakamilika.Rwanda wako na highway. So do we and Uganda. Tanzania is a disgrace.
😀😀😀😀Kimara-kibaha high way it ll be unique compare with any other high way in east Africa. The best high way ever
let's wait &see😀😀😀😀
We call dis delusions of grandeurKimara-kibaha high way it ll be unique compare with any other high way in east Africa. The best high way ever
Ahsante kwa kutuletea na service road...🤣🤣🤣 Alafu kutoka Lesambu to Thika ni 6 lanes..Elewa mada iliyopo mezani..Sisi yete ni complete 8 lanes bila kuweka service roadI am sure hata ukishidwa na mengine unajua kuhesabuView attachment 973284View attachment 973285
kweli una mapungufu, ukikosa kuhesabu service lanes unaona lanes ngapi? Yenu yote ni 19 km hivo ya Lesambu(ni wapi huku) hadi Thika inakuhusu nini? Si ulinganishe 19km vs 19kmAhsante kwa kutuletea na service road...🤣🤣🤣 Alafu kutoka Lesambu to Thika ni 6 lanes..Elewa mada iliyopo mezani..Sisi yete ni complete 8 lanes bila kuweka service road
picha....Sisi yete ni complete 8 lanes bila kuweka service road
See what, outering comparing to that shitty less than 20km road???let's wait &see