Jiji la Nairobi linakisiwa kuwa na magari mangapi barabarani?
Zipo taarifa ambazo sijathibitisha kuwa Dar es Salaam inakisiwa kuwa na magari 500000!
100,000 new vehicles a year are bought by kenyans 19,000 of which are brand new
The land of Ruto and Uhuru Nimei miss Nairobi kwa kweli,hasa mademu zangu pale Hurlingham,Yvone,Mwende,Sarah na Jovita ngoja niwatafutie hela na come huko before christmass.
Ulikua una-hang out na madem wa Hurlingham? Hivyo una class ya kiaina wewe sio wale Wabongo hutafuta guest houses Kibera halafu wanaanzisha mada humu.
, mkijaga tz huwa mnaokota magoma ya kawaida sana mkuu, mnaacha kazi za maana, sijui mnaogopaga nini.Ngoma droo maana Tanga na Zenji zinatuhusu sana Wakenya.
, mkijaga tz huwa mnaokota magoma ya kawaida sana mkuu, mnaacha kazi za maana, sijui mnaogopaga nini.
Basi itakua sijui wewe hukutana na Wakenya wagani maana hamna hata siku moja ushawahi kuongea chochote kizuri kuhusu Wakenya wanaokuja huko. Tatizo lenu kila mtu akija asieongea Kiswahili vizuri huwa mnaona Mkenya. Au pia labda umezoea kukumbana na wazamiaji wa kitaa na wasaka tonge wanaojiita Wakenya waliojificha mitaa yenu ya mabanda. Naomba utokelezee mjini kwenye mataa ukumbane na Wakenya waliopo kwenye corporates ujifunze kitu.
Mkenya aliyekuja kirasmi huwa ana class na ladha, tena hutamba kibabe na kudatisha watoto wenu wa maana sio vicheche. Kwanza Kingereza kilichonyooka na utenda kazi wetu wa kujituma na kutokua wabahili hufanya tunawavua watoto wenu wa kweli.
Ulikua una-hang out na madem wa Hurlingham? Hivyo una class ya kiaina wewe sio wale Wabongo hutafuta guest houses Kibera halafu wanaanzisha mada humu.
Kwa sasa sina taarifa, ila miaka nane iliyopita, 2008 inakisiwa magari Nairobi yalikua zaidi ya 300,000
Traffic Situation