Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Wakenya nawaambia msipotoshwe na mitandao ya kijamii ya Tanzania kumhusu magufuli.
Msione tunavyomkosoa mkajua hatumpendi la hasha mtakuwa mnajidanganya.
Tunawaangalia mwenendo wenu mnavyowanyanyasa watanzania hapo mpakani
Sisi watanzania magufuli ndio amiri jeshi wetu Jana kaongea kidiplomasia Sana ni Kama onyo kwa mnayoyafanya jitafakarini.
Viva magufuli.
Superbug.
Msione tunavyomkosoa mkajua hatumpendi la hasha mtakuwa mnajidanganya.
Tunawaangalia mwenendo wenu mnavyowanyanyasa watanzania hapo mpakani
Sisi watanzania magufuli ndio amiri jeshi wetu Jana kaongea kidiplomasia Sana ni Kama onyo kwa mnayoyafanya jitafakarini.
Viva magufuli.
Superbug.