Kenge dada ako
Dada yangu ni wewe kenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenge dada ako
Mimi binafsi na mpenda Magufuli,nikufundishe kitu usipende sana kusema kitu ukijumisha majority ya watu,kama ni wewe sema mimi simpendi sio sisi hatumpendi na kuna wanachadema wanampemda GPM vizuri tu kuwa Mwangalifu.Zungumzia nafsi yako tu Magufuli anapendwa na wafanyakazi wake tu unknown
Dada yangu ni wewe kenge
Idiot
Ingia mtaani uone hali halisi usidanganyike na vimatusi vya watu mia kutoka Ufipa humu mtandaoni
Tatizo lenu ninyi ni uwezo mdogo wa kufikiria, mnataka tuwasaidieje?. Magufuli hakusema kwamba vipimo vinamatatizo moja kwa moja, alisema hivi;So what you are saying is that Tanzania has it's own methods of covid-19 testing? Which test did Magufuli's Son use to test positive and is it widely used in Tanzania and would you care to tell us more?
Kabisa mkuu kama yeye anavyompenda Mbowe asifikiri wote tunampendaMimi binafsi na mpenda Magufuli,nikufundishe kitu usipende sana kusema kitu ukijumisha majority ya watu,kama ni wewe sema mimi simpendi sio sisi hatumpendi na kuna wanachadema wanampemda GPM vizuri tu kuwa Mwangalifu.
Ukiona mtoto analia sana ujue kiboko kimemuingia, Leo kazi unayo.
Kama we si chadema bas lazma utakua eitherMagufuli ndo nini kwanza ebu ntolee kichefuchefu
Kama we si chadema bas lazma utakua either
Mwalim au mfanyakaz ulietumbuliwa vyeti bandia
Au utakua mmoja wa wanufaika wa marushwa kipnd cha JK.
Sent using Jamii Forums mobile app
Viuno vidogo mnaitaka ligi ya pepekare mtaweza
Ni kweli mabeberu yanawasifia kwa viuno vya pepekalle
Usiwalaumu sana japo wana raisi wao wakenya siku zote psychologically wanaona maraisi wa Tanzania kama regional leaders.
A lot of Tanzania decision affect their society whereas their decision bear no impact in Tanzania. Inabidi tuwaelewe tu as extended family.
Ndo hivo, wahuni mpo wachache. Mtakoma kulinga.Wazee wa kusifu nakuabudi mtaqouet sana mwaka huu.
Ndo hivo, wahuni mpo wachache. Mtakoma kulinga.
Ukikosa hoja lazima uanze kujiandikisha ukabila.Olimuhaya wankaa nkanogambisibwa
Ukikosa hoja lazima uanze kujiandikisha ukabila.
Better follow a visionary leader that hooligans in ramshackle outskirts of leadership.Most of Pombe followers are blinders
Better follow a visionary leader that hooligans in ramshackle outskirts of leadership.