Usichekelee hatari, unamanishi kuwa Uuuuhuru alipokuwa anakuja tz mara nyingi hakukaribishwa ikulu ya Magogoni au Chamwino ila ile tu ya Chato alikuwa anakuja kumuabudu Mfalme wa Afrika? na alikuwa devalued?Hata hamuoni aibu kuwa rais wenu anakaribishwa na waziri wa michezo?😂😂
Usisahau pia tunakuza Mahindi Kenya ila Tunanua Mahindi Pia UG na TZ😛Kenya Kuna regions Mingi kumepatikana Gesi Lakini haijaanza kutolewa,Mpaka sasa hivi mtwara kuna viwanda vingi vya gesi na zingine zinajengwa.kuna LPG inajengwa pia we are going to be superpower.mkizingua tunawakatia gesi.way to power.
Ina lingana na nani anauliza, kuna costs tofauti zitazotokana na shipping..... kuna export tax na loading fee kutoka kwa port hadi kwa meli ambayo ni nchi husika inaamua, kuna the actual shipping fee ambayo Shipping lines ndo huamua bei ya usafirishaji kwa meli zao, kuna landing cost na import tax ambayo nchi yako ndo inaamua.... Hio garama yote itaskumiwa muagizaji bidhaa na yote itaitwa shipping cost.Nani anayepanga bei?
1.Mwenye bandari
2.Mwenye mizigo
3. Shipphing agencies....
Umeshika uchumi Kwa bilioni moja.wakati hiyo bilioni moja tunatoa Sisi kama nchi wenyewe kujenga miundombinu bila kukopa hiyo kwenu ni kiasi kidogo Sana hiyo gesi tunayoenda kuwauzia huenda itatuingizia hicho kiasi cha pesa.Unataka kukolonize mwenye ameshika uchumi wa Tanzania? Are you really normal? Your economy is controlled by Kenya.
Au you crazy?umeshika uchumi Kwa hiyo dolar bilion 1 wakati tunafanya miradi mikubwa za madola mengi alafu zingine tunaendesha wenyewe bila kukopa hicho kiasi ni kidogo Sana.Unataka kukolonize mwenye ameshika uchumi wa Tanzania? Are you really normal? Your economy is controlled by Kenya.
Ahahahahahaha mkuu hawa Wakenya wameanza kuchanganyikiwa, yaani wamemtuma waziri wao Amina Mohammed kuleta mualiko, watu wameitikia mualiko wanajisifu kama sio ujinga ni nini?Is that bowing?! Kuja kwenye ziara you call it bowing? Who initiated mazungumzo?
Alafu ujue Suluhu mwenyewe amejiitia investors Wakenya,Tutanunua Shares karibu Zote kwa hio kampuni za Gesi TZ,Tukimaliza na kununua Tutaanza kujenga Kampuni za Gesi Huku Kenya.Kumbuka Kenya pia tuna Mafuta na Gesi ambayo imepatikana kila Kona ya Nchi.Mnachezwa mukijionea tu😛Lakini Tanzania tunaenda kuwa superpower tuna kila resources ya kuwakolonize Nyinyi.
Kenya hamna gesi nyingi kama Tanzania au weka data hapa.kwa kifupi Tanzania tuna resources nyingi Kwa hiyo tunaenda kutumia kuwakolonize nayo.Usisahau pia tunakuza Mahindi Kenya ila Tunanua Mahindi Pia UG na TZ[emoji14]Kenya Kuna regions Mingi kumepatikana Gesi Lakini haijaanza kutolewa,
Hamna uwezo wa kufanya hivyo.Alafu ujue Suluhu mwenyewe amejiitia investors Wakenya,Tutanunua Shares karibu Zote kwa hio kampuni za Gesi TZ,Tukimaliza na kununua Tutaanza kujenga Kampuni za Gesi Huku Kenya.Kumbuka Kenya pia tuna Mafuta na Gesi ambayo imepatikana kila Kona ya Nchi.Mnachezwa mukijionea tu[emoji14]
😛😛😛Sawa wwe Ndio unaejua yote#BongolalaHamna gesi nyingi
Tunaenda kuwakolonize Kwa kuwauzia gesi kiasi kidogo hamna uwezo wa kumiliki makampuni ya gesi Tanzania.Alafu ujue Suluhu mwenyewe amejiitia investors Wakenya,Tutanunua Shares karibu Zote kwa hio kampuni za Gesi TZ,Tukimaliza na kununua Tutaanza kujenga Kampuni za Gesi Huku Kenya.Kumbuka Kenya pia tuna Mafuta na Gesi ambayo imepatikana kila Kona ya Nchi.Mnachezwa mukijionea tu[emoji14]
The last time a Tz president used that airport alikua anaenda Nairobi hospital, atleast huyu leo anaenda state house
Weka data sio unaongea ongea Tu hata mafuta mliyonayo ni kidogo ndo maana makampuni hayataki kujenga bomba Kenya.[emoji14][emoji14][emoji14]Sawa wwe Ndio unaejua yote#Bongolala
Ahahahahahaha hawa Wakenya wanamatatizo sana ndio maana Magufuli aliwachapa sanaaa, yaani ajira zako elfu 50 unazotoa kwenye nchi yenye watu zaidi ya milioni 50 ndio uwe umeshika uchumi wetu! !!ahahah hawa jamaa hamna kituUnataka kukolonize mwenye ameshika uchumi wa Tanzania? Are you really normal? Your economy is controlled by Kenya.
Dude, Mombasa port ni kubwa na modern kuliko hio 'modernized Dar port' yenu na bado haina uwezo wa Lamu port kama potential transshipment hub. Kama hizo kampuni zenu za meli zinataka zibaki kua relevant basi nazo utaziona zikitua hapo Lamu kuchukua mizigo ya Dar.sasa unafikiri meli zitatia nanga Lamu ziache Dar port ambayo inakuwa moderized to a transhipment hub! BTW kati ya Tanzania na Kenya nani anatawala ukanda huu kwa biashara ya meli za mizigo? Hivi unajua ujenzi wa LNG umeifanya the like of Azam kuingia sector ya ujenzi wa meli za mizigo na gesi?
Maneno mengi.Ina lingana na nani anauliza, kuna costs tofauti zitazotokana na shipping..... kuna export tax na loading fee kutoka kwa port hadi kwa meli ambayo ni nchi husika inaamua, kuna the actual shipping fee ambayo Shipping lines ndo huamua bei ya usafirishaji kwa meli zao, kuna landing cost na import tax ambayo nchi yako ndo inaamua.... Hio garama yote itaskumiwa muagizaji bidhaa na yote itaitwa shipping cost.
Lakini tunachogusia hapa ni hii nauli ya kusafirisha bidhaa kupitia meli..... Kampuni tofauti za meli ziko na bei zake, yule shipping agent ndo ataamua kampuni gani ni cheaper au nzuri kusafirisha mzigo wako, lakini akishaamua hilo, hana nguvu ya kuchagua ni njia gani mzigo huo utafikishwa kule uendako. Agent akishalipa kampuni ya meli, wao wenyewe wanaamua jinsi gani watafikisha mzigo wako salama. Inawezekana hata meli ikakwama njiani na wakaamua kontena yako isafirishwe na helicopter hadi bandarini, hio si shida yako bora mzigo wako ufike salama salmin.
Shipping line wakiamua ni cheaper mzigo wa Tanzania kutoka Saudi Arabia uende hadi Durban port SA ndo urudi hadi TZ, nyinyi kama Watanzania hamna budi ila kukubali manake wamewarahishia uchukuzi na kupunguza garama ya shipping.
Lazima tutamiliki😛Money works like Magic Ndugu zanguniTunaenda kuwakolonize Kwa kuwauzia gesi kiasi kidogo hamna uwezo wa kumiliki makampuni ya gesi Tanzania.
Hehe ....Lazima tutamiliki😛Money works like Magic Ndugu zanguni
Mahindi gani hayo labda yale ya Ruto, ambayo wakulima Wakenya walikuwa wanasema kanunua maeneo nje ya nchi kifisadi ahahahahUsisahau pia tunakuza Mahindi Kenya ila Tunanua Mahindi Pia UG na TZ😛Kenya Kuna regions Mingi kumepatikana Gesi Lakini haijaanza kutolewa,
Kwishaaaa Habari yenu, Magufuli kafanya pakubwa kumitia adabu sasa pamebaki padogo, Mama anakwenda kumaliziaLazima tutamiliki😛Money works like Magic Ndugu zanguni