passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Mkija Tanzania tunaweza kumtuma mkuu wa wilaya aje kumpokea Uhuru sema Sisi ni waungwana.Protocal my foot, Uhuru venye alikuja Tanzania alikaribishwa na Magufuli na sio waziri wa michezo.
View attachment 1772901
Naona umepata memo, subject matter ni comment zangu. [emoji41] Ndio maana hadi sasa hivi bado hujajua mada ya uzi huu ni ipi. [emoji57]Mjinga,sana huyu pingli-nywee, yaani yeye hicho ndiyo alichokiona badala ya kujadili subject matter at hand.
Bro Sisi Watanzania huwa ni Tanzania Kwanza usidhani mambo yatabadilika Sana.hata mama hapo kabeba Tanzania kwenye akili yake.wewe nafikiri unawajua Watanzania vizuri mkileta wizi ni Pini Tu mtapigwa.subiri sasa uone jinsi tutakavyo ingia kwa kishindo.... tutahakikisha tumetikisa wavu kila kona
Unajipa matumaini eeeh keep it upsubiri sasa uone jinsi tutakavyo ingia kwa kishindo.... tutahakikisha tumetikisa wavu kila kona
na kulamba miguu kote kwa Museveni pipeline imeenda Tanzania? 🤣 🤣 🤣 ☝️Ingekuwa Ni Museveni angekaribishwa na Uhuru mwenyewe
Mnaotembea hadi wapi, Morogoro? [emoji1] Mtu awaye yote ndio nini sasa, hata kiswahili pia kinakukanganya? Tumia kisukuma basi. Watu ambao tumetembea kweli huwa hatusemi kila siku na kwenye kila sentensi kwamba tumetembea.
Naona umepata memo, subject matter ni comment zangu. [emoji41] Ndio maana hadi sasa hivi bado hujajua mada ya uzi huu ni ipi. [emoji57]
Sawa babu. Mhenga wa we are always stick on context. Hapa ndio ume'stick' kwenye context ipi?Unaona sasa unavyodhihirisha kuwa wewe ni mtoto usiye na uelewa wowote [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] .
Sikiliza bwana mdogo, hapo nimetumia kiswahili cha wahenga au wakongwe.
Ngoja nikupe vipande vingine,
U wapi ujuzi wako uao usema.
Yu wapi rais uhuru kumpokea mgeni uwanjani?
Mtu awaye yote hapaswi kupita barabara anayopita rais Samia.
subiria mtanange wewe. leo ndio leo. kisha analala huku kabisa kufunika mchezoUnajipa matumaini eeeh keep it up
Pigeni Pini pia Nyinyi mtapigwa,This Time Kenya was fed up with TZ if you don't knowBro Sisi Watanzania huwa ni Tanzania Kwanza usidhani mambo yatabadilika Sana.hata mama hapo kabeba Tanzania kwenye akili yake.wewe nafikiri unawajua Watanzania vizuri mkileta wizi ni Pini Tu mtapigwa.
Mnataka nini Tanzania kila mtu abaki kwake au Tanzania ni USA ya East afrika.subiria mtanange wewe. leo ndio leo. kisha analala huku kabisa kufunika mchezo
Mradi ambao ujenzi wake bado haujaanza? Nasikia kwamba lazima parliament za UG na TZ zipitishe sheria fulani kwanza kabla ujenzi kuanza.na kulamba miguu kote kwa Museveni pipeline imeenda Tanzania? 🤣 🤣 🤣 ☝️
siku nyingine uwe na adabu si kukosoa kosoa ilhali hujawahi andika hata opinion moja tukakugua! na pia unajua naweza andika vizuri! Kuna sababu kwanini Uhuru ana Press secretary wa kuandika briefings zake kabla hazijawa published! Watu kama wakina Ndii na Makau wanaweza andika wenyewe kwavile wao hiyo ni career yao wanasoma na kuandika kila siku i.e. academicians! Mie kwa taarifa yako lugha yangu ya kikazi ya kila siku si Kiswahili wala Kiingereza! sasa pata jibu!"*Bowing to any trade agreements outside existing East Africa common markets framework that protectionist Kenya deliberately subotaged;" Umesahihisha wapi? Hujui kuandika jina SABOTAGE?
Hamna uwezo wa kufanya chochote refer mambo yaliyotokea huko nyuma mlisarender.mkajua kwamba Tanzania sio nchi ya mchezocheZo.we are stronger than you.Pigeni Pini pia Nyinyi mtapigwa,This Time Kenya was fed up with TZ if you don't know
Imeenda wapi Tunaingoja hapahapa,Museveni anaskizia hizo Ban za Mahindi na Bado,anajuta na ata ukiangalia hio process iko na Setbacks Mingi,inaonesha mpaka wakuu Uganda hawana Imani nayona kulamba miguu kote kwa Museveni pipeline imeenda Tanzania? 🤣 🤣 🤣 ☝️
Tanzania ni shamba la bibi. tunachuma kadri ya uwezo wetuMnataka nini Tanzania kila mtu abaki kwake au Tanzania ni USA ya East afrika.
wasicheze na 🇰🇪🔥🔥we can't let any Business pass us just like that🤣🤣🤣Mradi ambao ujenzi wake bado haujaanza? Nasikia kwamba lazima parliament za UG na TZ zipitishe sheria fulani kwanza kabla ujenzi kuanza.
wacha nkuambie Tulianza na Kuban mabithaa za TZ kwanza ban ya Mahindi na Glass,Ziliwauma sana😛 Na Bado Uhuru alikwa apige Ban zingine Suluhu ikabidi ajisalimishe kwa Baba😃Hamna uwezo wa kufanya chochote refer mambo yaliyotokea huko nyuma mlisarender.mkajua kwamba Tanzania sio nchi ya mchezocheZo.we are stronger than you.
Magufuli alifanikiwa kuitia adabu Kenya huyu Mama asije akawachekea hawa, dawa yao ni weka tuwekeTanzania ni shamba la bibi. tunachuma kadri ya uwezo wetu