ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Wewe una BAN wakati wenzako WANACHOMAwacha nkuambie Tulianza na Kuban mabithaa za TZ kwanza ban ya Mahindi na Glass z,sana😛 Na Bado Uhuru alikwa apige Ban zingine Suluhu ikabidi ajisalimishe kwa Baba😃
Malazy walikuwa wanadhani eti ujenzi unaanza mara moja. Their parliaments have to pass a petroleum law first. Na unajua jinsi parliaments za Africa huwa zinajikokota kama mzee kobe.wasicheze na 🇰🇪🔥🔥we can't let any Business pass us just like that🤣🤣🤣
Mtachoma mangapi🤣🤣 Sisi Uhuru kila akiamka na mguu ya left alikuwa akiban kitu Cha TZ😛Mlijifanya wajuaji tukacheza Game yenu,Lakini nyi Bado werevu mkanusia hio Game mukakuja kurekebisha na president Suluhu🔥🔥Wewe una BAN wakati wenzako WANACHOMA
takwimu za mwaka 2016 zinasema Kenya imewekeza makampuni 529 ndani ya Tanzania dhidi ya kampuni 23 za Tanzania ndani ya Kenya. nyie mna lipi la maana la kujibu makombora kutoka kwa Wakenya?Magufuli alifanikiwa kuitia adabu Kenya huyu Mama asije akawachekea hawa, dawa yao ni weka tuweke
Hehehe watajua hawajui,Kwanza Parliament ya UG haitaki hayo mambo kabisa,TZ isicheze na Biashara za Kenya Tena🇰🇪🔥🔥Malazy walikuwa wanadhani eti ujenzi unaanza mara moja. Their parliaments have to pass a petroleum law first. Na unajua jinsi parliaments za Africa huwa zinajikokota kama mzee kobe.
🇰🇪🔥🔥takwimu za mwaka 2016 zinasema Kenya imewekeza makampuni 529 ndani ya Tanzania dhidi ya kampuni 23 za Tanzania ndani ya Kenya. nyie mna lipi la maana la kujibu makombora kutoka kwa Wakenya?
mkuu, there is a reason why Kenya is the 2nd most aggressive country in this continent after Nigeria.
Kubali kurekebishwa basi jombaa. In my opinion, if you are not proficient in the languages you use, be it swahili, english or any other language. Then the only way you can improve is by paying attention to all those who try to school you. Sio kujifanya kaka sungura na janja janja zako za peni mbili.siku nyingine uwe na adabu si kukosoa kosoa ilhali hujawahi andika hata opinion moja tukakugua! na pia unajua naweza andika vizuri! Kuna sababu kwanini Uhuru ana Press secretary wa kuandika briefings zake kabla hazijawa published! Watu kama wakina Ndii na Makau wanaweza andika wenyewe kwavile wao hiyo ni career yao wanasoma na kuandika kila siku i.e. academicians! Mie kwa taarifa yako lugha yangu ya kikazi ya kila siku si Kiswahili wala Kiingereza! sasa pata jibu!
Umesikia kwa nani mkuu?Mradi ambao ujenzi wake bado haujaanza? Nasikia kwamba lazima parliament za UG na TZ zipitishe sheria fulani kwanza kabla ujenzi kuanza.
Toeni makampuni yenu hayo uone kama kuna Mtanzania atakufa njaa, makampuni yenyewe hayana madhara ata yakiondoka, ndio maana Magufuli akawa anafanya atakalo kwasababu anajua udhaifu huutakwimu za mwaka 2016 zinasema Kenya imewekeza makampuni 529 ndani ya Tanzania dhidi ya kampuni 23 za Tanzania ndani ya Kenya. nyie mna lipi la maana la kujibu makombora kutoka kwa Wakenya?
mkuu, there is a reason why Kenya is the 2nd most aggressive country in this continent after Nigeria.
Hii ilikua chato we mama
Ahahahahahaha Samia kaalikwa kenya, na Uhuru ili wazungumze mambo ni magumu , sasa ulitaka akatae? Amina Mohammed alikuja ikulu Dar es Salaam kuleta mualiko, mama ni muungwana amekubaliMtachoma mangapi🤣🤣 Sisi Uhuru kila akiamka na mguu ya left alikuwa akiban kitu Cha TZ😛Mlijifanya wajuaji tukacheza Game yenu,Lakini nyi Bado werevu mkanusia hio Game mukakuja kurekebisha na president Suluhu🔥🔥
Hamtakufa Mtakuwa the poorest Country in the world,Ata basic manufacturing of goods hamtoweza😛 We are your Big Brother,Tulikuwa tumechoka na Nyie mpaka Investers kutoka Kenya wakaanza kufunganisha Virago,Na marafiki zake wa Europe pia wakaanza kufunganisha Virago.President Advisers wakaona mambo yamezidi Unga wakamtuma President Suluhu,awasuluhishie haya mamboToeni makampuni yenu hayo uone kama kuna Mtanzania atakufa njaa, makampuni yenyewe hayana madhara ata yakiondoka, ndio maana Magufuli akawa anafanya atakalo kwasababu anajua udhaifu huu
Hiyo haikuwa mualiko,Who told you that????😃Ahahahahahaha Samia kaalikwa kenya, na Uhuru ili wazungumze mambo ni magumu , sasa ulitaka akatae? Amina Mohammed alikuja ikulu Dar es Salaam kuleta mualiko, mama ni muungwana amekubali
Niliisikia PS of petroleum wa UG akisema hivyo.Umesikia kwa nani mkuu?
Angaliaaa huyu mnajisifia ujinga mkiwa huko kwenu, rahisi kabisa toeni vikampuni vyenu uchwara, uone kama kuna mtu atakufa njaa, HALAFU na kurekebisha MAMA KAALIKWA na KENYATA , na alieleta mualiko ni AMINA MOHAMMED, sasa hapa sijui nani ndie alietaka mazungumzo ahahahahahahaHamtakufa Mtakuwa the poorest Country in the world,Ata basic manufacturing of goods hamtoweza😛 We are your Big Brother,Tulikuwa tumechoka na Nyie mpaka Investers kutoka Kenya wakaanza kufunganisha Virago,Na marafiki zake wa Europe pia wakaanza kufunganisha Virago.President Advisers wakaona mambo yamezidi Unga wakamtuma President Suluhu,awasuluhishie haya mambo
Hivi ata KTN uwa unasikiliza kweli? ahahahaahhaaaHiyo haikuwa mualiko,Who told you that????😃
more than 50,000 people are directly employed in those companies. what are you trynna say?Toeni makampuni yenu hayo uone kama kuna Mtanzania atakufa njaa, makampuni yenyewe hayana madhara ata yakiondoka, ndio maana Magufuli akawa anafanya atakalo kwasababu anajua udhaifu huu
Kama hamkuzitaka hizo Biashara mngezipiga Ban,alafu Nani kakwambia ATI Suluhu alialikwa na Kenyatta,Uliskia wapi wwe???🤣🤣🤣🤣Angaliaaa huyu mnajisifia ujinga mkiwa huko kwenu, rahisi kabisa toeni vikampuni vyenu uchwara, uone kama kuna mtu atakufa njaa, HALAFU na kurekebisha MAMA KAALIKWA na KENYATA , na alieleta mualiko ni AMINA MOHAMMED, sasa hapa sijui nani ndie alietaka mazungumzo ahahahahahaha
Kumbe unaskizanga KTN Kwani TZ hakuna channels Zenu🤣🤣🤣Hivi ata KTN uwa unasikiliza kweli? ahahahaahhaaa
Lete source ya hii habariNiliisikia PS of petroleum wa UG akisema hivyo.