Things Samia Suluhu should avoid to do in Kenya

Things Samia Suluhu should avoid to do in Kenya

Lete source ya hii habari
Yaani niende youtube nikutafutie habari? I am too busy for that. Nenda kwenye ile signing ceremony iliyofanyika UG kisha sikiliza speech ya petroleum CS wa UG.
 
more than 50,000 people are directly employed in those companies. what are you trynna say?
Yaani nchi yenye watu zaidi ya milioni 50, unatutisha na viajira vyako elfu 50, aiseeee nyie Wakenya mna matatizo, Ajira zenyewe mnalipa watu laki mbili, ahahahha tumewaruhusu ondokeni
 
wacha nkuambie Tulianza na Kuban mabithaa za TZ kwanza ban ya Mahindi na Glass,Ziliwauma sana[emoji14] Na Bado Uhuru alikwa apige Ban zingine Suluhu ikabidi ajisalimishe kwa Baba[emoji2]
Ilituuuma wapi wakati tuliwapiga ban masaa machache baadaye mkatuma watu Sisi hautaki shobo mkatuma watu.kuhusu mahindi Sisi tunasoko kubwa ndo maana tulitulia hatukuja kwenu kulialia.
 
Kama hamkuzitaka hizo Biashara mngezipiga Ban,alafu Nani kakwambia ATI Suluhu alialikwa na Kenyatta,Uliskia wapi wwe???🤣🤣🤣🤣
Aisee wewe jamaa ni Zero kabisa ilikuwa April 10 2021, Dr Amina na wenzake walifikisha ujumbe wa mualiko kwa Samia

Sasa mama ameitikia wito mnasema sisi ndio tumeenda wenyewe ahahahah (paragraph ya 5 ndio mualiko ulipo )
 
Yaani nchi yenye watu zaidi ya milioni 50, unatutisha na viajira vyako elfu 50, aiseeee nyie Wakenya mna matatizo, Ajira zenyewe mnalipa watu laki mbili, ahahahha tumewaruhusu ondokeni
mbona ipo kampuni ya maziwa kutoka Kenya muliyoitilia figisu figisu kwa kutaka wawajengee kiwanda cha maziwa hadi kuwafukuza mwaka 2009. mwaka wa 2013 muliona mambo hayaendi ikabidi muwaite tena kwa kuwabembeleza.
usitake nifukunyue madudu ambayo hutayapenda
 
Kumbe unaskizanga KTN Kwani TZ hakuna channels Zenu🤣🤣🤣
Nenda kabishane na watoto wenzako ahahahaha mlete mualiko wenyewe halafu mnajitoa akili ahahahaha JPM aliwashika pabaya sanaaaaaaa
 
Yaani niende youtube nikutafutie habari? I am too busy for that. Nenda kwenye ile signing ceremony iliyofanyika UG kisha sikiliza speech ya petroleum CS wa UG.
Kama hauna source kaa pembeni, hili ni jukwaa la heshima , ukihitajika kuthibitisha ni lazima uthibitishe
 
mbona ipo kampuni ya maziwa kutoka Kenya muliyoitilia figisu figisu kwa kutaka wawajengee kiwanda cha maziwa hadi kuwafukuza mwaka 2009. mwaka wa 2013 muliona mambo hayaendi ikabidi muwaite tena kwa kuwabembeleza.
usitake nifukunyue madudu ambayo hutayapenda
Huyo alikuwa kikwete, mwanaume kaingia 2015 Magufuli, huyu ndio aliejua kumitia adabu
 
Watu elfu 50, kwenye watu zaidi ya milioni 50 ahahahaha
chukulia hapo kila mmoja ana mke na watoto wanne. mulivyo wavivu na kujikita kwenye ujamaa, unapata mtu mmoja amebeba kijiji kizima yeye ndio tegemezi
 
Huyo alikuwa kikwete, mwanaume kaingia 2015 Magufuli, huyu ndio aliejua kumitia adabu
Magu alijaribu, lakini alikuwa kishipa na ilimshinda hivi sasa hali imekua ngumu kitaa. Mama amekuja kulegeza
 
Ilituuuma wapi wakati tuliwapiga ban masaa machache baadaye mkatuma watu Sisi hautaki shobo mkatuma watu.kuhusu mahindi Sisi tunasoko kubwa ndo maana tulitulia hatukuja kwenu kulialia.
Soko gani Sisi Ndio Soko ya Mahindi,Ugali tunatwanga kutwanga😛 Nchi zingine mnazo pakiana nazo Ni za wakulima Kama Nyinyi hawataki products za Shambani🤣🤣🤣🤣
 
Kama hauna source kaa pembeni, hili ni jukwaa la heshima , ukihitajika kuthibitisha ni lazima uthibitishe
Wacha upumbavu. Nimeshakupatia source nenda katufute.

Nimekueleza nani kasema nini na wapi katika hafla gani katika nchi gani halafu unasema sijakupatia source??
 
Aisee wewe jamaa ni Zero kabisa ilikuwa April 10 2021, Dr Amina na wenzake walifikisha ujumbe wa mualiko kwa Samia

Sasa mama ameitikia wito mnasema sisi ndio tumeenda wenyewe ahahahah (paragraph ya 5 ndio mualiko ulipo )
Si mgepiga Ban,Nakumbuka Zamani TZ ilipofunga mipaka Mukawa Maskini wa kutupa mpaka mkafungua mipaka Tena,without Kenya you are a Shit hole Country 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wacha upumbavu. Nimeshakupatia source nenda katufute. No

Nimekueleza nani kasema nini na wapi katika hapa gani katika nchi gani halafu unasema sijakupatia source??
Kunieleza ndio nini? leta source Acha kelele
 
mbona ipo kampuni ya maziwa kutoka Kenya muliyoitilia figisu figisu kwa kutaka wawajengee kiwanda cha maziwa hadi kuwafukuza mwaka 2009. mwaka wa 2013 muliona mambo hayaendi ikabidi muwaite tena kwa kuwabembeleza.
usitake nifukunyue madudu ambayo hutayapenda
😃waaat
 
Si mgepiga Ban,Nakumbuka Zamani TZ ilipofunga mipaka Mukawa Maskini wa kutupa mpaka mkafungua mipaka Tena,without Kenya you are a Shit hole Country 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Akili imekurudia mnaalika watu , halafu mnasema Samia kaenda mwenyewe ahahahaha narudia Amina Mohammed kaja Bongo kupiga magoti ili mama aende Kenya (mualiko )
 
Back
Top Bottom