Thinking outside the box: Itakuaje siku vyeti vya Magufuli vikagundulika ni feki?

Thinking outside the box: Itakuaje siku vyeti vya Magufuli vikagundulika ni feki?

Hebu nenda kajaribu kumgusa kwenye Mathematics au Chemistry ndo upime uwezo wake kuwa je anavyeti feki au lah!
Utapata majibu.

Kama hukwenda kuumbuka ukaitwa wewe Bashite huko.
We umesoma vishazi huru na vitenzi vikurupushi vyako huko unataka kuja kumpima mwanasayansi kama Magu wewe!!!!?
Mkuu dharau hii kwa lugha yetu haya katuzidi bt thesis mbona haionekani tujiridhishe
 
mzee ni inside da box sio outside, nothin z impossible only in Tz
 
Back
Top Bottom