Thinking outside the box: Itakuaje siku vyeti vya Magufuli vikagundulika ni feki?

Thinking outside the box: Itakuaje siku vyeti vya Magufuli vikagundulika ni feki?

Na wewe ni very soon!@
Very soon is not soon enough.

Even Jesus said he will be back very soon and it has been more than 2,000 years he has left people Solemba.

Sent from my Kimulimuli
 
Pamoja na maelezo yako marefu bado nina wasiwasi na elimu yako!
Kwanza jiridhishe kuondoa wasiwasi halafu tutajadili.

Sitaki kujadiliana na watu wenye wasiwasi, maana hata wao wenyewe hawajui wanasimamia wapi.

Sent from my Kimulimuli
 
Acha utoto
Akili ya kudharau utoto nayo ni m9ja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini.

Watoto wakithaminiwa wana m hango wa hoja nzuri sana.

Ila wewe unatoka katika jamii inayonyanyapaa watkto na kuwaona hawana maana ndiyo maana unaandika "acha utoto".

Ni ukosefu wa elimu tu.

Hata vitabu vitakatifu vimeandika waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa Mungu ni wao.

Wewe mpaka leo umebaki kwenye kunyanyapaa watoto.

Sent from my Kimulimuli
 
Acha utoto
Akili ya kudharau utoto nayo ni m9ja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini.

Watoto wakithaminiwa wana m hango wa hoja nzuri sana.

Ila wewe unatoka katika jamii inayonyanyapaa watkto na kuwaona hawana maana ndiyo maana unaandika "acha utoto".

Ni ukosefu wa elimu tu.

Hata vitabu vitakatifu vimeandika waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa Mungu ni wao.

Wewe mpaka leo umebaki kwenye kunyanyapaa watoto.

Wakati hata hoja zilizotolewa hujajibu.

Sent from my Kimulimuli
 
Hivi itakuaje siku ikagundulika kuwa vyeti vya magufuli ni feki?
Wewe nafikiri hujui enzi ile ya watanzania wakisimama foleni kwenye maduka ya ugawaji kusubiri portion ya unga wa sembe au sukari.

Nimeiingiza hii mada kwa sababu naona baadhi ya awatanzania wananisikitisha kwa kuwa na mawazo mabaya dhidi ya Rais wetu Magufuli. Mnawaza kutegemea nini mpaka mnaandika vitu kama hivi kuhusu vyeti fake vya Rais. Naomna niwaulize, je hamna kazi za kufanya?

Watanzania kama tutaendelea na kuwa na mawazo haya ya kipuuzi badala ya kuwaza vitu amabvyo vitatuletea maendeleo, tukishindwa kufanikiwa kipindi hiki cha Rais Magufuli, iko siku wengu tuta mlilia wakati atakuwa hayuko.

Wengine wanamwona yeye kama vile ni Dictator na kujaribu kumwimbia nyimbo za kumkebei. [emoji3] [emoji3] [emoji3] mnachekesha shana. Angekuwa Dictator mngepata hata hiyo nafasi ya kuzitoa hizo nyimbo kweli? Angekuwa kweli Dictator akina Tundu Lisu wangepata nafasi ya kumwita yeye "Dictator Uchwara" na kuwa salama?

Nasikia watu wana lalamika eti Bunge halitolewi live au mbashara. Mmmh! Ni kweli bunge haliko hewani live? Mbona YouTube imejaa mijadala na hoja za wabunge bungeni?

Watanzania hatuna shukrani kabisa, jana tulikuwa tuna lia hatuna maji, umeme wa mgao, madawa ya kutosha, miundo mbinu mibovu, ajira hakuna, kila sehemu tuna languliwa na bandarini ndiyo hiyo tena bidha na mali za watu zinapotea, walimu hawalipwi mishahara, ada za shule zinapotea wafanya watoto wengu wasiende shule, wanafunzi wana kalia mawe na kadhalika, hii leo haya matatizo amejitahidi kwa kadri alivo weza kuyatatu, lakini bado haturiziliki na kumshukuru mungu. Tuna mkufuru mungu lakini! Tutajuta.
ata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nafikiri hujui enzi ile ya watanzania wakisimama foleni kwenye maduka ya ugawaji kusubiri portion ya unga wa sembe au sukari.

Nimeiingiza hii mada kwa sababu naona baadhi ya awatanzania wananisikitisha kwa kuwa na mawazo mabaya dhidi ya Rais wetu Magufuli. Mnawaza kutegemea nini mpaka mnaandika vitu kama hivi kuhusu vyeti fake vya Rais. Naomna niwaulize, je hamna kazi za kufanya?

Watanzania kama tutaendelea na kuwa na mawazo haya ya kipuuzi badala ya kuwaza vitu amabvyo vitatuletea maendeleo, tukishindwa kufanikiwa kipindi hiki cha Rais Magufuli, iko siku wengu tuta mlilia wakati atakuwa hayuko.

Wengine wanamwona yeye kama vile ni Dictator na kujaribu kumwimbia nyimbo za kumkebei. [emoji3] [emoji3] [emoji3] mnachekesha shana. Angekuwa Dictator mngepata hata hiyo nafasi ya kuzitoa hizo nyimbo kweli? Angekuwa kweli Dictator akina Tundu Lisu wangepata nafasi ya kumwita yeye "Dictator Uchwara" na kuwa salama?

Nasikia watu wana lalamika eti Bunge halitolewi live au mbashara. Mmmh! Ni kweli bunge haliko hewani live? Mbona YouTube imejaa mijadala na hoja za wabunge bungeni?

Watanzania hatuna shukrani kabisa, jana tulikuwa tuna lia hatuna maji, umeme wa mgao, madawa ya kutosha, miundo mbinu mibovu, ajira hakuna, kila sehemu tuna languliwa na bandarini ndiyo hiyo tena bidha na mali za watu zinapotea, walimu hawalipwi mishahara, ada za shule zinapotea wafanya watoto wengu wasiende shule, wanafunzi wana kalia mawe na kadhalika, hii leo haya matatizo amejitahidi kwa kadri alivo weza kuyatatu, lakini bado haturiziliki na kumshukuru mungu. Tuna mkufuru mungu lakini! Tutajuta.
ata

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina wasiwasi na elimu yako mkuu may be ulikomea darasa la pili tu,you are not great thinkers!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna cha kumfanya mtaishia kusemea vyumbani mwenu...Daudi mbona hana vyeti halisi na bado hamna kilichofanyika.

Binadamu sisi ni kama wanyama tunaongozwa na Alfa.
 
Mgufuli haondolewi heshima kwa kukosa Ph.D.

In fact, katika nchi zilizoendelea, unless unataka kufanya research au kufundisha, kutafuta Ph.D ukiwa Waziri wa Serikali ni ushamba. Ni ulimbukeni. Ndicho alichokifanya Magufuli.

Magufuli alitafuta Ph.D kwa kisasi.Baada ya kutambiwa na mfanyakazi mwenzake wa serikali kwamba "wewe huna Ph.D", akaenda na yeye kutafuta Ph.D amuonyeshe mtu "ulisema sina Ph.D, hii hapa" kama mtoto mdogo aliyeringishiwa kigari cha toy akalilia mpaka na yeye awe nacho.

Narudia.Magufuli haondolewi heshima kwa kukosa Ph.D.

Nyerere hakuwa an Ph.D (ya kusomea, ukiacha honorary). Ukikisoma kitabu cha Dr. Thomas Molony wa Edinburgh University, ana question hata hiyo degree ambayo Nyerere aliipata Edinburgh kama ni Masters.

Lakini Nyerere anaheshimika kama a giant of African politics.

Huhitaji kusoma Ph.D ili kuheshimika. Ndiyo maana hata wafagizi wenye elimu ya darasa la saba wanaheshimiwa kwa utu wao.

Kwa hiyo kinachomuondolea heshima Magufuli si kukosa Ph.D.

Kinachomuondolea heshima Magufuli ni tabia yake mbaya ya kusema ovyo na kufanya mambo kwa pupa.

Hilo litamuondolea heshima mtu yeyote, awe ana elimu ya darasa la saba au Ph.D.

Lakini kwa Magufuli, kwa sababu anajinadi kama mtu mwenye Ph.D, tutaisema Ph.D yake kwamba ni feki kwa sababu haiendani na jinsi anavyoropoka ovyo na kufanya mambo kwa pupa.

Imeandikwa kwa kazi zao mtawajua. Sio kwa vyeti vyao.
Hizo zote ni hisia na chuki ambazo zinaonekana hata kwenye maandishi yako.
Huko kuropoka unaousema, siyo wote wanamuono huo
 
Hizo zote ni hisia na chuki ambazo zinaonekana hata kwenye maandishi yako.
Huko kuropoka unaousema, siyo wote wanamuono huo
Ni kawaida ya watu wasio na hoja kukimbilia kusema "chuki".

Magufuli, kwa maneno yake mwenyewe, ni mpumbavu.

Kwa sababu katuchagukia mawaziri anaosema ni wapumbavu.

Unakataa kwamba Magufuli hakusema kuna mawaziri wapumbavu?

Unakataa kwamba mtu aliyechagua watu wapumbavu kuwa mawaziri naye ni mpumbavu?

Sent from my Kimulimuli
 
Wale vyeti wanaanza kutengeneza wakipata madaraka ya juu sana magu kawa raisveti ndio wanaanza kumwita dk pro.. Na maneno mengi yakutuaminisha kuwa jote huko alipita. Hana lolote na elimu yake hiyo anaogopa kuongea na wazungu ndio usemage ni msomi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kawaida ya watu wasio na hoja kukimbilia kusema "chuki".

Magufuli, kwa maneno yake mwenyewe, ni mpumbavu.

Kwa sababu katuchagukia mawaziri anaosema ni wapumbavu.

Unakataa kwamba Magufuli hakusema kuna mawaziri wapumbavu?

Unakataa kwamba mtu aliyechagua watu wapumbavu kuwa mawaziri naye ni mpumbavu?

Sent from my Kimulimuli
Mkuu Al-Watan nakuona katika ubora wako!!
Umeadimika sana humu

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Kwanza kabisa unaandika kwa herufi kubwa tupu kwa hiyo nina mashaka na umakini wako.

Pili, kusoma UDSM na watu wakakuona si hakikisho kwamba mtu kafanya kazi aliyotakiwa kufanya kupata vyeti. Magufuli Ph.D yake kaifanya akiwa Waziri wa Wizara nyeti, akisafiri sana na kufanya mikutano mingi, akipitia tenda na kukagua mengi etc, akishiriki vikao vya baraza la mawaziri etc. wakati huo huo akiwa mbunge anayewakilisha wananchi etc. Alipata wapi muda wa kusoma Ph.D ya Chemistry?

Tatu, mtu aliyesoma kweli mpaka kupata Ph.D hatakiwi kuwa na kauli mbovu na za kijinga kama za Magufuli. Na kama Magufuli ndiye kipimo cha ubora wa Ph.D za UDSM basi hazina maana chuo kifungwe tu.

Kwa sababu, kwa kuangalia mfano mmoja tu wa wiki hii, mtu mwenye Ph.D anatakiwa kujua kwamba hatakiwi kuwashutumu mawaziri aliowateua yeye mwenyewe kuwa ni wapumbavu. Kwa sababu kusema hivyo ni kujiita yeye mwenyewe aliyewateua ni mpumbavu.

Hiyo si kauli ya mtu mwenye weledi wa Ph.D. Hiyo ni kauli ya babu jinga.

Sent from my Kimulimuli
Kwa kweli wengi wetu bado tunahitaji elimu ya kutosha, huna elimu unahoji mwenye elimu hata kama feki kama unavyoita wewe.
Uvivu wa kusoma utatufikisha pabaya watanzania, inafika mahali idadi kubwq ya watu wanahoji uhalali wa UDSM kumtunuku Magufuli shahada ilihali hata ufahamu wao kuhusu shahada aliyotunikiwa hawaijui!!
Naomba tujaribu kuchambua mambo kwa kina kabla ya kurukia kutoa maelezo potovu, tena kwa taasisi iliyojojengea sifa ndani na nje ya nchi kwa muda mrefu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nafikiri elimu yako ni ndogo sana au ulihudhuria darasani au chuo lakini elimu hukupata kwa taarifa yako PHD siyo lazima uwe darasani just come up with issue itaonekana ina maslahi na dunia hii kwenye field yako. Think before you comnent mkuu!!
KAMA WEWE IQ LEVEL YAKO NDIYO HIYO, BASI NI BORA KUIKUBALI KIWANGO CHA ELIMU ULICHONITUNUKIA.
TATIZO LA VIJANA WENGI HUKUMBWA NA ILE 'HALI YA MAJI KUFUATA MKONDO' NA WAKIAMBIWA KUWA MAJI HUPANDISHWA MLIMA MTABISHANA HADI KUCHA.
 
Back
Top Bottom