njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
- #21
wafanya utafiti walikuwa wana deal na teams kubwa afrika DE UTO wako namba 69 kwa mika 5 ya CAF wamekusanya point 1 tu simba ni ya 17 na mwaka huu iko best 16 ya CAFL ,unatarajia hao watafiti wa south africa wahangaike na teams kama ihefu au yanga ?Kuweni serious basi,Hiyo jezi ambayo tulikuwa tunapewa kama kifungashio pale tuliponunua jezi original ya yanga! [emoji4]
Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app