MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Siku yakwanza kuipokea hiyo video
nili mwambia jamaa huyu mtu hatachukua siku 5
Ndio hicho kilicho tokea
sasa japo aliomba msamaha kwa masihala yake
alisha chelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku yakwanza kuipokea hiyo video
Wamemkamatia nini sasa!, alikuwa ana have fun tu Usikute.
Kajifunzia (kajinoa) hapa hapa. Alipojiunga na JF kwa mara ya kwanza Kiswahili chake kilikuwa ni kichekesho.Hata wewe wanipa shida kitambo sana kujua we mukeiii au mutiziii.
Kuja hapa eleza wapi wajifunza kiswahili kizuri kama hiki kama sio tiziii .
Maana wakenya wote shida au we Wa mombasa[emoji3]
Wamemkamatia nini sasa!, alikuwa ana have fun tu Usikute.
ni mmeru..Hakuna mchaga wa hivyo.Huyo anafanya kwenye expedition company inaitwa Tan Tours ipo Arusha anaitwa Emanuel Mmari kama tour guide ni mchagga wala sio mkenya.
Ni lugha Yaitwa Typo"This guys hates Tanzania" ndio lugha gani hiyo?
Hayo ndo madhara ya kula shisha.Ni lugha Yaitwa Typo
Inaitwa typo sababu imeandikwa na nyang'au akiandika hivyo mtanzania hajui lughaNi lugha Yaitwa Typo
Hivi huko south Hamna freedom of expression.
The guy probably recorded the video on his phone and shared with friends. Its like you were relying on his video to market tz tourism. Smh
I think tz is colonized by their fellow Africans
Then your action of arresting the guy shows how dictatorial your leadership is.We use proper channel to advertise our country, we don't wait for viral videos like Kenyatta dab dance or Trump woman's match to get a cheap break.