Uchaguzi 2020 This is Bishop Gwajima in his true colours

Halima ni mwanafamilia lakini ubunge umetosha sasa, hakuna analofanya jipya kawe
Sina tatizo na Dada yangu Halima na namkubali mno na hata Yeye pia ananikubali sana ila nadhani kwa sasa imetosha aache Gwajima ashinde pia.
 
Kama hizo sifa alizompa Magufuli ni za kweli ina maana Kawe isingekuwa na hayo matatizo aliyosema yamesababishwa na Mdee, Gwajima hajielewi, atambue wapiga kura wa Kawe sio wale waumini wake waliomzoesha kumshangilia tu hata akiongea ujinga.
 
Binafsi sina shida na mauno ila ukabila na ulaghai wa mtu huyu.
Amekuambia kuwa akiwa Mbunge Wasukuma wote watahamia Kawe? Hivi kuna Mtanzania asiye Mlaghai / Tapeli? Acheni Unafiki na Chuki zenu pia.
 
Weka video yake hapa, nimecheka jamani 😂😂
 
Nitampima 'Mbunge' wangu mtarajiwa Gwajima baada ya miaka yake Mitano na kuhusu 'Mapungufu' yake ya Kibinadamu hata Sisi pia tunayo sana.
Mkuu pamoja na kumpima baada ya miaka mitano hii kauli yake unaichukuliaje?!

Mtu makini anaweza kujichanganya kiasi hicho?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…