Uchaguzi 2020 This is Bishop Gwajima in his true colours

Uchaguzi 2020 This is Bishop Gwajima in his true colours

Nitampima 'Mbunge' wangu mtarajiwa Gwajima baada ya miaka yake Mitano na kuhusu 'Mapungufu' yake ya Kibinadamu hata Sisi pia tunayo sana.
Angalia asije akakubaka.
Siku anamkalibisha Magufuli,mawaailiano ya ubongo na mdomo wa Gwajima yalikatika
 
Najua 'Sindano' yangu ya 'Dawa' imekuingia vilivyo na sasa imeanza 'Kukutesa' na 'Kuweweseka' hivi Kwangu. Juha kama Wewe huwa nawamudu.
Kuna watu tuna immunity isiyo tikisika...!!Sindano yako imedunda! Huna lolote bazazi na mwanaharamu mkubwa. Wewe ni chakula ya Magufuli tu endelea kumhudumia....!!!
 
Watu sampuli ya gwaji ni hatari Sana kwa ustawi wa taifa letu, watatugawa kwa ukabila, Kama ilivyo kwa Wana kigamboni kuliokoa taifa hivyo hivyo kwa wanakawe lindeni umoja wa taifa hili. Huyu mtumishi abakie kuchunga kondoo
 
Kila Mwanadamu aliye hai ni Kiio cha Jamii au hili nalo 'Akili' yako inashindwa kujua? Kwani Familia yako siyo sehemu ya Jamii? Acheni Ujuha Wenu.
Lkn haiwezi ikawa na madhara makubwa sawa na aliye juu
 
Kuna watu tuna immunity isiyo tikisika...!!Sindano yako imedunda! Huna lolote bazazi na mwanaharamu mkubwa. Wewe ni chakula ya Magufuli tu endelea kumhudumia....!!!
Pole sana naona 'Sindano' bado 'inakutesa' mno. Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nakupokea vile unavyokuja Kwangu Shenzi Taipu!!!!!
 
Kuna watu tuna immunity isiyo tikisika...!!Sindano yako imedunda! Huna lolote bazazi na mwanaharamu mkubwa. Wewe ni chakula ya Magufuli tu endelea kumhudumia....!!!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827][emoji2827]
 
Mkuu, huwezi kujilinganisha na Gwajima. Mwenzako ana uwezo wa kufa, kufufuka halafu akakumbuka Kila kitu alichokiona na kuongeza huko mbinguni.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3090][emoji3090][emoji3090][emoji23]
 
Lkn haiwezi ikawa na madhara makubwa sawa na aliye juu
Mwizi wa Kuku na Mwizi wa Gari 'logically' tu na 'legally' wana tofauti? Hivi ni kwanini mnakuwa 'Wapumbavu' hivi na mnasema Mmesoma Vyuoni?
 
GWAJIBOY AKIMKARIBISHA JPM: Mheshimiwa Rais karibu sana jimbo la Kawe. Watu wa Kawe wamekusanyika hapa kwa wingi kukupongeza kwa kazi kubwa uliyowafanyia. Kwa miaka mitano ya uongozi wako umetatua kero ya muda mrefu ya maji maeneo mengi ya jimbo letu.

Umepeleka umeme kata nyingi, umejenga vyumba vya madarasa kwenye kata karibu zote, umetanua barabara ya Bagamoyo kutoka Morocco hadi Mwenge ili kupunguza msongamano, umejenga barabara nyingi za mitaa kwa kiwango cha lami na zinapitika muda wote. Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana.
Hiv ana PHD ya maswala gani.sababu inaonyesha ubongo wake huwa unajichanganya wenyewe.yaani "contradictory brain".Kuna mlevi mmoja alisikika akisimulia nguruwe (kiti moto) ni mnyama msahaulifu kuliko wote.Yaani ukimkurupua ataendelea kukimbia tuu harafu baadaye anasimamana na kuanza kujiuliza hivi alikuwa anakimbia nini.maana anakuwa ameshasahau tayari.Anaanza kurudi alikotoka.
 
Huwezi kumgeuza Mungu Kama babu wakumtania kihivo! Yaani ufanye dhambi na makosa ya dhahiri ukiegemea kwenye kuomba msamaha baada ya kosa..... Mungu hafanyi Biashara kabila hizo.
Naona umeamua kumfokea Mungu😎😎😎😎😎 kwa hiyo unataka kumpangia asamehe nini nani?
CHADEMA mnachanganyiwa
 
Hiv ana PHD ya maswala gani.sababu inaonyesha ubongo wake huwa unajichanganya wenyewe.yaani "contradictory brain".Kuna mlevi mmoja alisikika akisimulia nguruwe (kiti moto) ni mnyama msahaulifu kuliko wote.Yaani ukimkurupua ataendelea kukimbia tuu harafu baadaye anasimamana na kuanza kujiuliza hivi alikuwa anakimbia nini.maana anakuwa ameshasahau tayari.Anaanza kurudi alikotoka.
Kuna mlevi mmoja alisikika akisimulia nguruwe (kiti moto) ni mnyama msahaulifu kuliko wote.Yaani ukimkurupua ataendelea kukimbia tuu harafu baadaye anasimamana na kuanza kujiuliza hivi alikuwa anakimbia nini.maana anakuwa ameshasahau tayari.Anaanza kurudi alikotoka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sina tatizo na Dada yangu Halima na namkubali mno na hata Yeye pia ananikubali sana ila nadhani kwa sasa imetosha aache Gwajima ashinde pia.
duh amwachie tuu???mkuu huyu hayupo fit yani mzee mchovu kama huyo anamtoa jasho kwenye meno kweri akiingia mjengoni atatusaidia wana kawe kweri??? Mimi Gwajima kuniachia dakika mbiri tuu kwa hoja anaweza kuzimia.....Swali moja tuu kwa mzee kofia hapohapo ina rotate ......ngoja...ngoja...ngoja...ngoja...ngoja...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Mh.! Gwajima abananishwa maswali magumu na mzee huyu kijiweni, baada 360 x 640.mp4
    34 MB
Gwaji angeongelea na kale ka clip kale walikomsingizia eti anakula kondoo kwamba hakuwa yeye bali ni yule mkono wa BAUNSA..
Nani alimdanganya agombee Kawe kwa Wajanja? Kwanini hakwenda kugombea kijijini kwake KOLOMIJE alikozaliwa? Askofu ameingia Choo Cha kike😂😂😂


nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

ha ha ha...

Mzee anataka kufa na gwajiboy....
 
Mwizi wa Kuku na Mwizi wa Gari 'logically' tu na 'legally' wana tofauti? Hivi ni kwanini mnakuwa 'Wapumbavu' hivi na mnasema Mmesoma Vyuoni?

Mwizi ni mwizi, ungekuwa umeenda shule ungetambua hilo.Theft is taken someone property without someone willing.
 
Popoma Shangazi yako / Mjomba wako 'Pimbi' Wewe. Ndiyo kuhusu hizo 'Dhambi' zingine nazifanya tena huenda hata pia Kumzidi huyo Gwajima.
tangia umeanza mahaba ya "kumfuata" gwajiBoy naona unazidi kumix na kulegealegea

BTW sidhani kama akina uncle na auntie wako humu JF..

pia umebugi; 'pimbi' ni vijitu vifupivifupi...mm nimeenda hewani futi 6.2
 
Back
Top Bottom