Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Kweli CCM ni Chama Cha Majuha.. !!Haeleweki, kata zenye maji yameletwa na JPM ila ukosefu wa maji ni Mdee.
Unaposena mafuriko kadababisha Halima Mdee una maana gani? Hivi Magufuli alushondwa nini kuweka Miundombinu ya kuzuia Mafuriko Kawe?
Magufuli, Gwajiima na CCM yao walikumbilia kujenga FLYOVERS na UBUNGO EXCHANGE kutaka sifa za kijinga. Acha iwa- cost....shennxx zao kabisa.