Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwafanye wakaanza kuingia jikoni na kuharibu mambo maana zilianza six pack watu wakakimbilia gym vitambi wata wakafuga Mara kidogo wanakojoa wakaja na vumbi Mara manukato wakawa wanajipulizia manukato mpaka kwenye nywele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 walevi tupo vile vile tunawaacha mabaharia waangaike wazamishe sie tuokoeWanaume huwa sexy sana wakipika
Usiwafanye wakaanza kuingia jikoni na kuharibu mambo maana zilianza six pack watu wakakimbilia gym vitambi wata wakafuga Mara kidogo wanakojoa wakaja na vumbi Mara manukato wakawa wanajipulizia manukato mpaka kwenye nywele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 walevi tupo vile vile tunawaacha mabaharia waangaike wazamishe sie tuokoe
Ila umesema kweli, unaweza shangaa usemi Huu wa hapa JF ukakuzwa huko nje wanaume wakaanza mitongozo kwa kupika ili tuu wawe sexy aahahahahahaha looh.
Halafu hiyo avatar yako inatega watu ujue....
Unapikiwa na huyo jamaa wewe ukiwa umekaa tu mkuu au?Wanaume huwa sexy sana wakipika
Hahahahaaa hatarii, haya bana hukumu njema.
Heheheheheee bibi Sky kamzuia kutoka, labda ukamchukue ....
Mkuu huo wali unaonekana una kiini, haujaiva sawa sawa.
Tatizo wanawake hampendi kukosolewa kwenye masuala ya mapishi!
Wakipika na vivest ama kifua wazi na shorts ndo wananoga.Wanaume huwa sexy sana wakipika
Wakipika na vivest ama kifua wazi na shorts ndo wananoga.
Tena wawe na vibody vyao.
Sio wawe malnourished vimbavu nje afu wanajifanya kukarangiza