This is for you Ticha Jael...

This is for you Ticha Jael...

😍😍😍
Asanteee my dear babu Asprin

Njoo tulale sasa
Nakusubiri dear joanah

1567892440394.png
 
Wanaume huwa sexy sana wakipika
Usiwafanye wakaanza kuingia jikoni na kuharibu mambo maana zilianza six pack watu wakakimbilia gym vitambi wata wakafuga Mara kidogo wanakojoa wakaja na vumbi Mara manukato wakawa wanajipulizia manukato mpaka kwenye nywele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 walevi tupo vile vile tunawaacha mabaharia waangaike wazamishe sie tuokoe
 

Sasa Babu unalalaje na Tshirt hiyo, halafu wewe ni wa kwanza kuwaambia wenzio waje wizouti....

Ila unalala kihendisamu hadi raha.... Eeheheheheh. Bora ulale kabisa saa hizi uzingizi ukuishe, akifika mjukuu wako hapo hakuna kulala ahahahahahahahahaha.

Kipara ngoto songa ugali tulee... eeheheheheheheheee natoka mbiiioooo hunikamatii ng'oo eeheeheheee.

Matata K P.
 
Usiwafanye wakaanza kuingia jikoni na kuharibu mambo maana zilianza six pack watu wakakimbilia gym vitambi wata wakafuga Mara kidogo wanakojoa wakaja na vumbi Mara manukato wakawa wanajipulizia manukato mpaka kwenye nywele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 walevi tupo vile vile tunawaacha mabaharia waangaike wazamishe sie tuokoe


Ila umesema kweli, unaweza shangaa usemi Huu wa hapa JF ukakuzwa huko nje wanaume wakaanza mitongozo kwa kupika ili tuu wawe sexy aahahahahahaha looh.

Halafu hiyo avatar yako inatega watu ujue....
 
Ila umesema kweli, unaweza shangaa usemi Huu wa hapa JF ukakuzwa huko nje wanaume wakaanza mitongozo kwa kupika ili tuu wawe sexy aahahahahahaha looh.
Halafu hiyo avatar yako inatega watu ujue....

Vijana wanakwenda na flow vizur subir mrejesho tu huko ma chief watapatikana wengi baada ya mabaharia kufa
😂😂😂😂😂😂😂

Avatar in mtoa hukumu
 
Mkuu huo wali unaonekana una kiini, haujaiva sawa sawa.
Tatizo wanawake hampendi kukosolewa kwenye masuala ya mapishi!
 
Vijana wanakwenda na flow vizur subir mrejesho tu huko ma chief watapatikana wengi baada ya mabaharia kufa
😂😂😂😂😂😂😂

Avatar in mtoa hukumu


Hahahahaaa hatarii, haya bana hukumu njema.
 
Mkuu huo wali unaonekana una kiini, haujaiva sawa sawa.
Tatizo wanawake hampendi kukosolewa kwenye masuala ya mapishi!


Aiseeh, wali wa kusteam .....

Anyways nisikubishie yaweza kuwa kweli unakiini.

Mie huwa napenda sana mtu anirekebishe ili kesho nifanye vizuri zaidi. Endelea tuu kunirekebisha babaa.
 
Wakipika na vivest ama kifua wazi na shorts ndo wananoga.

Tena wawe na vibody vyao.

Sio wawe malnourished vimbavu nje afu wanajifanya kukarangiza

Hahahahaa umesemaaa malnourished?!

Hahahaa utapopolewa humu
 
Back
Top Bottom